Mcqueenen JF-Expert Member Joined Nov 2, 2019 Posts 6,843 Reaction score 11,702 Jan 2, 2022 #141 Watu8 said: Huo ni mchakato mrefu mno... Click to expand... Kwani Kuna marefu yasiyokuwa Na ncha bro?
Watu8 said: Huo ni mchakato mrefu mno... Click to expand... Kwani Kuna marefu yasiyokuwa Na ncha bro?
Kalunya JF-Expert Member Joined Oct 5, 2021 Posts 13,322 Reaction score 18,609 Jan 2, 2022 #142 Slowly said: Wabunge tunampima Raisi na hatoshi , soon tunapiga Kura ya kutokuwa na Imani nae Click to expand... Mlizoea bahasha aliyekupeni ulaji hayupo,2025 lazima mchezee vitasa vya wajumbe
Slowly said: Wabunge tunampima Raisi na hatoshi , soon tunapiga Kura ya kutokuwa na Imani nae Click to expand... Mlizoea bahasha aliyekupeni ulaji hayupo,2025 lazima mchezee vitasa vya wajumbe
Mcqueenen JF-Expert Member Joined Nov 2, 2019 Posts 6,843 Reaction score 11,702 Jan 2, 2022 #143 Lwiva said: Akivunja ndiyo tunakwenda kwenye uchaguzi wa bunge na uraisi kama sijakosea Click to expand... Ni wA Bunge Tu
Lwiva said: Akivunja ndiyo tunakwenda kwenye uchaguzi wa bunge na uraisi kama sijakosea Click to expand... Ni wA Bunge Tu
M Mkiti JF-Expert Member Joined Nov 28, 2013 Posts 1,013 Reaction score 666 Jan 2, 2022 #144 Inchi hii rais ndo kilakitu. Kwa mujibu wa katiba.
chazachaza JF-Expert Member Joined Feb 21, 2018 Posts 2,829 Reaction score 3,835 Jan 2, 2022 #145 ngoja nipekuepekue nione wapi kifungu Cha katiba,kina display makosa ya spika,halafu nitarudi kuungana na ww Pascal mayalla baadae!!! Otherwise hii hoja umeileta huenda ilianzia kwenye tumbo ,maana njaa nayo hupoteza uwezo wa mtu kufikiri!!
ngoja nipekuepekue nione wapi kifungu Cha katiba,kina display makosa ya spika,halafu nitarudi kuungana na ww Pascal mayalla baadae!!! Otherwise hii hoja umeileta huenda ilianzia kwenye tumbo ,maana njaa nayo hupoteza uwezo wa mtu kufikiri!!