Kishindo cha Awamu ya Tano katika muhula wa pili kiko wapi?

Kishindo cha Awamu ya Tano katika muhula wa pili kiko wapi?

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Tulitegemea amsha amsha tulizozizoea tangu JPM aingie madarakani, tumbua tumbua, vamia vamia maofisi ya wizara na ziara za kushutukiza na kutumbua majipu.

Lakini tangu JPM aingie madarakani tunashuhudia ukimya wa ajabu, baraza la mawaziri kimya, hatusikii tumbua tumbua,hatusikii ziara za kushutukiza. Hali kwa wananchi bado ni mbaya sana sio kwamba kero zao zote zimetatuliwa wakati wa awamu ya kwanza ya JPM.

Ukitaka kuamini hili tembelea na fanya tafiti juu ya maisha ya wananchi wa kawaida bado ni mbaya sana. Wengi wanaishi kwa mlo mmoja, uonevu unaofanywa na vyombo vya dola, watumishi wa umma kwa wananchi bado ni tatizo kubwa.

Kishindo cha awamu ya Tano awamu ya pili kiko wapi? Au Ccm mnadhani mmetatua kero zote za wananchi?
 
Wapo bussy kujadili ni jinsi gani watalipa madeni ya mikopo kwaajili ya kupambana na Covid-19. Pamoja na kuficha sura zao kwa aibu.

Mikopo yenyewe ya kupambana na Covid-19 kama ifuatayo;

1) € 27 Million - Kutoka kwa EUROPEAN UNION.

2) $ 14.3 Million - Kutoka kwa INTERNATIONAL MONETARY FUNDS (Mwezi June).

3) $ 3.4 Million - Kutoka kwa WORLD BANK (Mwezi September).

4) $ 50.7 Million - Kutoka kwa AFRICAN DEVELOPMENT BANK (Mwezi October).

5) $ 11 Million - Kutoka kwa GLOBAL FUND.
 
Tulitegemea amsha amsha tulizozizoea tangu JPM aingie madarakani, tumbua tumbua, vamia vamia maofisi ya wizara na ziara za kushutukiza na kutumbua majipu.

Lakini tangu JPM aingie madarakani tunashuhudia ukimya wa ajabu, baraza la mawaziri kimya, hatusikii tumbua tumbua,hatusikii ziara za kushutukiza. Hali kwa wananchi bado ni mbaya sana sio kwamba kero zao zote zimetatuliwa wakati wa awamu ya kwanza ya JPM.

Ukitaka kuamini hili tembelea na fanya tafiti juu ya maisha ya wananchi wa kawaida bado ni mbaya sana. Wengi wanaishi kwa mlo mmoja, uonevu unaofanywa na vyombo vya dola, watumishi wa umma kwa wananchi bado ni tatizo kubwa.

Kishindo cha awamu ya Tano awamu ya pili kiko wapi? Au Ccm mnadhani mmetatua kero zote za wananchi?
vp mdee bado mwanachama au mmetimua?? Tuanzie hapo 1
 
Wapo bussy kujadili ni jinsi gani watalipa madeni ya mikopo kwaajili ya kupambana na Covid-19. Pamoja na kuficha sura zao kwa aibu.

Mikopo yenyewe ya kupambana na Covid-19 kama ifuatayo;

1) € 27 Million - Kutoka kwa EUROPEAN UNION.

2) $ 14.3 Million - Kutoka kwa INTERNATIONAL MONETARY FUNDS (Mwezi June).

3) $ 3.4 Million - Kutoka kwa WORLD BANK (Mwezi September).

4) $ 50.7 Million - Kutoka kwa AFRICAN DEVELOPMENT BANK (Mwezi October).

5) $ 11 Million - Kutoka kwa GLOBAL FUND.
Mmmh hizi helazote tumezifanyia nn?
 
Tulitegemea amsha amsha tulizozizoea tangu JPM aingie madarakani, tumbua tumbua, vamia vamia maofisi ya wizara na ziara za kushutukiza na kutumbua majipu.

Lakini tangu JPM aingie madarakani tunashuhudia ukimya wa ajabu, baraza la mawaziri kimya, hatusikii tumbua tumbua,hatusikii ziara za kushutukiza. Hali kwa wananchi bado ni mbaya sana sio kwamba kero zao zote zimetatuliwa wakati wa awamu ya kwanza ya JPM.

Ukitaka kuamini hili tembelea na fanya tafiti juu ya maisha ya wananchi wa kawaida bado ni mbaya sana. Wengi wanaishi kwa mlo mmoja, uonevu unaofanywa na vyombo vya dola, watumishi wa umma kwa wananchi bado ni tatizo kubwa.

Kishindo cha awamu ya Tano awamu ya pili kiko wapi? Au Ccm mnadhani mmetatua kero zote za wananchi?
Hawajui pa kuanzia beberu kakata mirija
Hela ya kuunda serikali hawana Hawa wahuni,

Mawaziri Ni watatu tu. mpaka TRA idundulize kwa kuwakamua wanyonge ndo ipatikane hela ya kuendesha genge la wahuni( serekali)
 
Hawajui pa kuanzia beberu kakata mirija
Hela ya kuunda serikali hawana Hawa wahuni,

Mawaziri Ni watatu tu. mpaka TRA idundulize kwa kuwakamua wanyonge ndo ipatikane hela ya kuendesha genge la wahuni( serekali)
Aibu kubwa sana, leo wamekopa pesa mradi wa umeme malagarasi. Sasa unajenga JNHPP malaragarasi ya nini? Wacha1
 
Back
Top Bottom