Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
imeparalyze.Kwa hiyo ipo likizo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
imeparalyze.Kwa hiyo ipo likizo?
Ndio umejua leo?Bro upo sawa? Mimi sio praise team ni mtu ambae nahoji mambo ya msingi. Kama JNHPP inaweza kuzalisha Mw 2115 kwa akili ya kawaida hakuna ulazima wa kukopa pesa kwa ajili ya miradi midogo midogo. Haya ni matumizi mabaya ya pesa za umma.
Wakati anafungua bunge la 12 JPM alisemaje? Acha upuuzi, JPM alisema wazi tumbua tumbua itaendelea kama kawaida, na kasi aliyoanza nayo ataiendeleza.Kwani huoni ajira za waalimu zimetoka?,
Awamu hii ya mwisho sio ya mikiki mikiki,,ni awamu ya utulivu na kutenda tu,kwa upole kabisa
Dogo nimehoji ili tujue kama kweli serikali imekopa, huenda watu wanazua uzushi wao. Maana Mw 19 za mto malagarazi za nini
? kama kuna Mw 2115 zitazalishwa kwa mkupuo!
Ndio maana inapambana na viti vya CDM ili wapate hela ya Mabeberu, wamuuguzie Ndugai!.hali ni tete serikali imefilisika.
Kuna jina limejitokeza mara kibao, isije ikawa list feki hakuna binadamu wenye majina hayo?Kwani huoni ajira za waalimu zimetoka?,
Awamu hii ya mwisho sio ya mikiki mikiki,,ni awamu ya utulivu na kutenda tu,kwa upole kabisa
Nakumbana na kadhia gani, unadhani mimi ni mwepesi wa hivyo? Nasema hivi, piga simu TANESCO uulize habari hizo.Ahaaaaa, acha hasira najua unakumbana na kadhia nzito. Kuna member humu alidai Tanzania imekopa pesa ajiri ya mradi wa Malaragarasi
Kwani Tanesco ndio wizara ya nishati? Kama nataka info naingia website ya wizara ya nishati.Kwani kadhia linaloitikisa Chadema halijakugusa?Nakumbana na kadhia gani, unadhani mimi ni mwepesi wa hivyo? Nasema hivi, piga simu TANESCO uulize habari hizo.
Kwani Tanesco ndio wizara ya nishati? Kama nataka info naingia website ya wizara ya nishati.Kwani kadhia linaloitikisa Chadema halijakugusa?
Mabango ya Jiwe nchi nzima. Na kuwalipa watu wa kuchomeka kura wizi. Wewe uliamini pale alioosema, "uchaguzi wa safari tumegharamia wenyewe"?Mmmh hizi helazote tumezifanyia nn?
Ingia huko wizarani uulize. Kadhia la cdm ingekuwa wameshindwa kufukuza hao wahuni ndio ingekuwa tatizo. Lakini hao wahuni wamefukuzwa mimi roho kwatu.