Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NdioTulitegemea amsha amsha tulizozizoea tangu JPM aingie madarakani, tumbua tumbua, vamia vamia maofisi ya wizara na ziara za kushutukiza na kutumbua majipu.
Lakini tangu JPM aingie madarakani tunashuhudia ukimya wa ajabu, baraza la mawaziri kimya, hatusikii tumbua tumbua,hatusikii ziara za kushutukiza. Hali kwa wananchi bado ni mbaya sana sio kwamba kero zao zote zimetatuliwa wakati wa awamu ya kwanza ya JPM.
Ukitaka kuamini hili tembelea na fanya tafiti juu ya maisha ya wananchi wa kawaida bado ni mbaya sana. Wengi wanaishi kwa mlo mmoja, uonevu unaofanywa na vyombo vya dola, watumishi wa umma kwa wananchi bado ni tatizo kubwa.
Kishindo cha awamu ya Tano awamu ya pili kiko wapi? Au Ccm mnadhani mmetatua kero zote za wananchi?
Covid 19 chali imeisha hiovp mdee bado mwanachama au mmetimua?? Tuanzie hapo 1
Una swali?vp mdee bado mwanachama au mmetimua?? Tuanzie hapo 1
Kumbe ilikuwa mkopo, who msaada?Wapo bussy kujadili ni jinsi gani watalipa madeni ya mikopo kwaajili ya kupambana na Covid-19. Pamoja na kuficha sura zao kwa aibu.
Mikopo yenyewe ya kupambana na Covid-19 kama ifuatayo;
1) € 27 Million - Kutoka kwa EUROPEAN UNION.
2) $ 14.3 Million - Kutoka kwa INTERNATIONAL MONETARY FUNDS (Mwezi June).
3) $ 3.4 Million - Kutoka kwa WORLD BANK (Mwezi September).
4) $ 50.7 Million - Kutoka kwa AFRICAN DEVELOPMENT BANK (Mwezi October).
5) $ 11 Million - Kutoka kwa GLOBAL FUND.
Aibu kubwa sana, leo wamekopa pesa mradi wa umeme malagarasi. Sasa unajenga JNHPP malaragarasi ya nini? Wacha1
Kweli safari hii tumepatikana. Niliposikia tu ajira za waalimu nikajua tu ni uongo. Nilipokuja kupitia ile list hapo nikapata ukweli wote.we hujaona kishindo kimeanza kwa kutoa majina hewa ya ualimu?
subiri press ya kesho 😂😂😂😂😂😂 yan saivi mgogoro ni ndani ya cdm sio serkali tenaa😃😃Una swali?
Kuna hela walipewa kama msaada na kuna hela waliomba kama mkopo kwajili ya kupambana na covid-19.Kumbe ilikuwa mkopo, who msaada?
Aibu ya kukaa Ikulu bila kura halali za Wananchi, He knows He is a thief...hana legitimacy ya kumsumbua mtu mwingine yeyoteTulitegemea amsha amsha tulizozizoea tangu JPM aingie madarakani, tumbua tumbua, vamia vamia maofisi ya wizara na ziara za kushutukiza na kutumbua majipu.
Lakini tangu JPM aingie madarakani tunashuhudia ukimya wa ajabu, baraza la mawaziri kimya, hatusikii tumbua tumbua,hatusikii ziara za kushutukiza. Hali kwa wananchi bado ni mbaya sana sio kwamba kero zao zote zimetatuliwa wakati wa awamu ya kwanza ya JPM.
Ukitaka kuamini hili tembelea na fanya tafiti juu ya maisha ya wananchi wa kawaida bado ni mbaya sana. Wengi wanaishi kwa mlo mmoja, uonevu unaofanywa na vyombo vya dola, watumishi wa umma kwa wananchi bado ni tatizo kubwa.
Kishindo cha awamu ya Tano awamu ya pili kiko wapi? Au Ccm mnadhani mmetatua kero zote za wananchi?
Tumetengeneza Covid-19 yetu ya Kitanzania.Mmmh hizi helazote tumezifanyia nn?
ABDALLA kajitokeza Mara 196!Au hana magari ya kutumia hadi yale yabadilishwe rangi. itakuwa wanasubiri yakauke
Bro upo sawa? Mimi sio praise team ni mtu ambae nahoji mambo ya msingi. Kama JNHPP inaweza kuzalisha Mw 2115 kwa akili ya kawaida hakuna ulazima wa kukopa pesa kwa ajili ya miradi midogo midogo. Haya ni matumizi mabaya ya pesa za umma.Nahisi hii account yako leo wameihack. Tumesema hiyo project ya JNHPP tuna mashaka kama itiasha, ndio maana wanasema mradi wa SG utaisha 2022 lakini wanaweka kijimradi kingine.
Huu wizi wa kura uliofanyika utawekwa hadharani tu hivi karibuni. Na nyie praise team mtapoteana lazima.