Kishindo cha Awamu ya Tano katika muhula wa pili kiko wapi?

Ndio
 
Kumbe ilikuwa mkopo, who msaada?
 
Aibu kubwa sana, leo wamekopa pesa mradi wa umeme malagarasi. Sasa unajenga JNHPP malaragarasi ya nini? Wacha1

Nahisi hii account yako leo wameihack. Tumesema hiyo project ya JNHPP tuna mashaka kama itiasha, ndio maana wanasema mradi wa SG utaisha 2022 lakini wanaweka kijimradi kingine.

Huu wizi wa kura uliofanyika utawekwa hadharani tu hivi karibuni. Na nyie praise team mtapoteana lazima.
 
we hujaona kishindo kimeanza kwa kutoa majina hewa ya ualimu?
Kweli safari hii tumepatikana. Niliposikia tu ajira za waalimu nikajua tu ni uongo. Nilipokuja kupitia ile list hapo nikapata ukweli wote.
 
Wapo bize kutengeneza ishu ya hawa wabunge 'Covid 19'. Na diliishabuma Chadema wameteketeza Covid 19!
Tumasubiri Ndugai awarudiahe bungeni kama wagombea binafsi au awasajili rasmi kwake.
 
Kishindo cha nini na uchaguzi umeshaisha dola imeshakamatwa? Huu ni muda wa kula sasa, kishlndo subiri awamu ya sita nitapogombea.
 
Aibu ya kukaa Ikulu bila kura halali za Wananchi, He knows He is a thief...hana legitimacy ya kumsumbua mtu mwingine yeyote
 
Bro upo sawa? Mimi sio praise team ni mtu ambae nahoji mambo ya msingi. Kama JNHPP inaweza kuzalisha Mw 2115 kwa akili ya kawaida hakuna ulazima wa kukopa pesa kwa ajili ya miradi midogo midogo. Haya ni matumizi mabaya ya pesa za umma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…