Sara hakumuonea Huruma Hajiri, Ila alichokifanya ilikuwa ni kumdhihaki Ibrahim Kama ndiye mwenye Tatizo na sio yeye(mwanamke) hivyo kumwambia Ibrahim amuingilie Hajiri ni kumuumbua kuwa yeye ndiye mwenye Tatizo.
Hivyo baada ya Hajiri kupata mimba ikadhihirika na kuthibitika wazi kuwa mwenye Tatizo ni Yeye(Sara) ndio hapo Akawa Duni Kwa Mjakazi wake, Hajiri kuwa yeye ndiye mgumba na sio Mumewe Ibrahim.
Ili uone Kama Hakuwa na huruma Kama ulivyoiita, angalia baada ya yeye kupata mimba baada ya miaka Saba iliyofuata anamfukuza Hajiri Kwa kisingizio cha Urithi ilhali kuna manabii kibao walioa mke zaidi ya mmoja na hawakufukuza wake zao