Kisumu City gallery, Kenya's 3rd city

Kisumu City gallery, Kenya's 3rd city

Wewe nakupata vizuri kiswahili safi
tangu id ilee ya @hbuyosh

huyo Iconoclastes (hbuyosh) wakati fulani mwaka 2014 alikuwa anatukejeli sana watz hapa jf na kingereza chake cha kikenya.

so siku moja Mimi na mkuu geza ulole tukapanga mkakati mzito wa kumfanyia cyber intelligence and information gathering ili tumfahamu vizuri.

nikamwambia Geza niachie kazi.
hatimaye nikapata ID yake fulani hivi katika mtandao mmoja maarufu wa kijamii.

kwa muonekano wake katika picha,nikagundua he is an innocent lonely guy ,kama tunge mu-expose hapa, tungemuonea.

Mpaka hii leo sijamwambia geza ulole kuwa iconoclastes ni mtu fulani.

ila siku hizi kidogo amestaarabika.hana zile tabia za ujinga za vijana wa kikenya za kujafanya wanajua kila kitu kumbe hawajui.
 
huyo Iconoclastes (hbuyosh) wakati fulani mwaka 2014 alikuwa anatukejeli sana watz hapa jf na kingereza chake cha kikenya.

so siku moja Mimi na mkuu geza ulole tukapanga mkakati mzito wa kumfanyia cyber intelligence and information gathering ili tumfahamu vizuri.

nikamwambia Geza niachie kazi.
hatimaye nikapata ID yake fulani hivi katika mtandao mmoja maarufu wa kijamii.

kwa muonekano wake katika picha,nikagundua he is an innocent lonely guy ,kama tunge mu-expose hapa, tungemuonea.

Mpaka hii leo sijamwambia geza ulole kuwa iconoclastes ni mtu fulani.

ila siku hizi kidogo amestaarabika.hana zile tabia za ujinga za vijana wa kikenya za kujafanya wanajua kila kitu kumbe hawajui.

Haha @hbuyosh yule si wa sasa
Unajua Jamaa tulimuandama sana 2014
kiasi kuona bora abadili Id
Na baada tu yakubadili Id akawa mtu mwenye busara kiasi
ila kumezuka Mizuka wengine hata sijui wametokea wapi!!
Full kuropoka
mtu anaropoka vitu bila kutumia ubongo
Kejeli yenyewe hajui
Ngoja tuanze kuchunguza hizo Id
pengine ni walewale wameamua kuja kivingine na Id husika,
Yaani Id moja Inakuwa ya kupost ujinga ujinga.

Kuhusu huyo Iconoclastes huyu ni kijana mdogo sana
ni wa miaka ya 1990+
Japo sasahivi kameanza kukua
 
0fgjhs53mo2de0tvg.f3ce07da.jpg


Kondele-2.jpg


These Idiots!!!!!!!
maxresdefault.jpg

Sababu kubwa nini
magari kushindwa kupita DARAJANI
KUMBE DARAJA!!
 
Haha @hbuyosh yule si wa sasa
Unajua Jamaa tulimuandama sana 2014
kiasi kuona bora abadili Id
Na baada tu yakubadili Id akawa mtu mwenye busara kiasi
ila kumezuka Mizuka wengine hata sijui wametokea wapi!!
Full kuropoka
mtu anaropoka vitu bila kutumia ubongo
Kejeli yenyewe hajui
Ngoja tuanze kuchunguza hizo Id
pengine ni walewale wameamua kuja kivingine na Id husika,
Yaani Id moja Inakuwa ya kupost ujinga ujinga.

Kuhusu huyo Iconoclastes huyu ni kijana mdogo sana
ni wa miaka ya 1990+
Japo sasahivi kameanza kukua
kuhusu yule kijana aliyechezea block last few days,dawa yake inachemka.

ukitumia social media kujifanya shujaa, inabidi uwe mwerevu sana.la sivyo ni rahisi kufahamika.
 
kuhusu yule kijana aliyechezea block last few days,dawa yake inachemka.

ukitumia social media kujifanya shujaa, inabidi uwe mwerevu sana.la sivyo ni rahisi kufahamika.
Kadoda hii sasa ni trend ya Kenya ntadeal na wewe vizuri sana.....ata mkiniblock sina issue
 
Badilisheni basi thread mueke kisumu vs arusha twendeni kazi au tuwape ipi tanga au Zanzibar
😀😀😀😀😀😀😀😀 ongeeni basi
 
Kadoda hii sasa ni trend ya Kenya ntadeal na wewe vizuri sana.....ata mkiniblock sina issue
karibu sana kijana.
shida yetu sisi na wewe ni matusi.ukiwa mstaarabu,hutopata tabu na sisi.

halafu huo mkwara wa kudeal na mimi hutoweza.
 
We msee kwanza uliniboo day ulisema unataka vita ya uchaguzi I happen Kenya ndio mpite Kenya...hiyo ni ujinga sipendagi..hapa nako ni trend ya Kenya ntadeal na wewe vizuri sana
Kenya kupigana kwenye uchaguzi ni jambo la kawaida sana ndio maana kwangu sishangai
Ulitaka niseme hamjawahi pigana au???? Tribalism na roho mbaya zinawaua kimya kimya😀. 😀😀😀😀
 
karibu sana kijana.
shida yetu sisi na wewe ni matusi.ukiwa mstaarabu,hutopata tabu na sisi.

halafu huo mkwara wa kudeal na mimi hutoweza.
We mwenyewe pia una matusi but huonagi dawa ya moto moto leta matusi hapa I swear utakijua
 
Sawa anza ujinga..hapa hii si trend ya Anal..anza ata sai
umepanic kijana....kuwa mpole.jaribu kuwa mstaarabu.

halafu nadhani ugeni wa kutoijua jf vizuri unakusumbua.hakuna restrictions za kuzua mtu asi-comment kwa thread kisa ni ya kenya.

hatuanzishi thread kwa lengo la kuwa- marginalize member wa jf.

mtu yoyote anaweza changia thread yoyote mradi havunji sheria za jf.

tabia za kuwa-marginalize watu ni tabia za kikenya.Tz hatuna tabia hiyo.
 
Nyie kenye mnaniboo nayo mnataka vita ikue Kenya.iyo reasoning yenu si poa.Mimi mwenyewe sijawai taka vita Tanzania,somalia,Rwanda etc
 
Back
Top Bottom