Kisumu vs Mwanza

the problem is that your education system is bogus, its not recognised by uk and Us standards. one cannot graduate there and join masters abroad, unlike kenya
Bogus is your government administration,you and your journalists who got degrees and masters from Kenya which enable them to report fake news about Tz,Pumbavu kabisa unazuia mahindi wakati nchi yenu ni njaa mwili mzima.Ndo maana serikali haijawajibu imekaa kimya mpaka mmeyaruhusu wenyewe hata wiki haijaisha mgekufa njaa wapumbavu.Endelee kufikiria UK na U.S.A wakati tunawalisha,hizo hizo degree na master kutoka Tz ndo zinawalisha pumbavu.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Outside of Nairobi ...... I don’t think there is any other county with a better road network..... well planned, almost zero traffic jams!!! It’s high time watu waache kujazana Nairobi!!!
πŸ‘‡πŸ‘‡Mombasa, kenya
jameni kenya sio nairobi pekee.. haya toa maoni yako, hapa ni mombasani basi.. toa hizo zako umbea tukuskize
 
Please!!!tuoneshe na baiskeli usiwanyanyapae wenye baiskeli nao wanatoa huduma Kisumu city in KenyaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ukiongea hivi mtu hawezi jua boda boda ya baiskeli ni kitu cha kawaida Tanzania.
View attachment 1724820View attachment 1724821
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚nikitu cha kawaida kwa shinyanga namiji midogo kama Kisimu ambayo ni city uchwara lakini haziwezi kufanya kazi majiji makubwa kama Mwanza na Dar zaidi ya kuwatafutia kifo.Kitu kingine Kisumu sizi yake ni shinyanga wala haifiki nusu ya Mwanza acha ubishiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…