Kisumu vs Mwanza

Kisumu vs Mwanza

Mbona vipicha na vigorofa ni vilevile kila siku😂😂😂ndo maana tukawachia Moshi,iringa na Arusha ndo saizi yenu.Tulijaribu kufunguka kidogo mkalete Mombasa nayo ni old town.😂😂😂
huyu senge anaona zake, amelaaniwa na migorofa na vyumba.. teargas alikua ana try ku highlight usafi, beautification na mandhari ya kisumu city streets. na mashetani zake zinamuelekeza kwingine.. ishindwe riswa!.
 
huyu senge anaona zake, amelaaniwa na migorofa na vyumba.. teargas alikua ana try ku highlight usafi na beautification of kisumu city streets. na mashetani zake zinamuelekeza kwengine.. ishindwe riswa!.
Picha tatu na tayari kashakuwa confused 😂😂
 
🤣🤣🤣 kitombile utakufa kwa presha😥
🤣🤣🤣🤣 sijapata kuona mtu mbishi kama wewe asee ila huku Mwanza tumepatikana, sasa Mwanza itakuwa ni yakisiasa zaidi kuliko maendeleo si kwa huyu kilaza chalamila.
 
😂😂😂Hii A-city ndo saizi ya kisumu city.Mwanza city level zake ni Kampala city,Kigali city,Mombasa city ndo maana jopo la wataalum na Mzee Mkapa wakakubali Mwanza city ndo second largest na best city after Dar hakuna nyingine zaidi.Hayo maneno mengine ni sawa na taarabu tu hayana utaalam wowote😂😂😂😂
Nilishawaambia Mwanza kushindana na kisumu ni kupoteza muda tu, kisumu size yake ni wakina arusha au Tanga, kushindana na kisumu ni kujishusha hadhi ni kama vile bayern munich ikacheze na azam fc
 
Mbona vipicha na vigorofa ni vilevile kila siku😂😂😂ndo maana tukawachia Moshi,iringa na Arusha ndo saizi yenu.Tulijaribu kufunguka kidogo mkalete Mombasa nayo ni old town.😂😂😂
Waache washindane na Arusha sio Mwanza, naona mdazi anajitaidi kutuma vipicha vya mji wa arusha.
 
i can only relate kisumu to dubai. infact its ranked the cleanest city in kenya. 2020ranking







now this is what i was talking about.. i needed to see a serious city like this for me to give it a credit..
A-town, ooyeeh!
Acha unafiki, et a town oyee wakati arusha kwa Mwanza inaingia mara mbili.
 
huyu senge anaona zake, amelaaniwa na migorofa na vyumba.. teargas alikua ana try ku highlight usafi na beautification of kisumu city streets. na mashetani zake zinamuelekeza kwengine.. ishindwe riswa!.
We kweli ni mpumbavu kuna nn kisumu ambacho Mwanza hakuna? Lakini kuna vitu vingi ambavyo Mwanza vipo kisumu havipo nitavihorodhesha.
 
weeee.... baki na hio laana yako ya size. size tunaangalia tu kiasi but sanasana sophistication:- ammenities, regional offices and organizations, cleanliness and infrastructure!. ona, kinshasa ni kubwa shinda johannesburg, lakini??... mumbai ni kubwa shinda new york lakini??.. hebu yatafakari hayo🤔🤔

kama ni size na idadi tu,.. basi nakuru ingekua the 3rd largest city!. but kuna vitu kisumu ikonayo nakuru haina ndo maana nakuru haijapewa hadhi ya city status... (ingekua tz, ingepewa in 1990)

boss,. hapa kenya hatuangalii idadii ya watu, tunazingatia vitu mingi tu!



View attachment 1787136


kama ni idadi na size, basi nakuru itaivua mwanza surwali mchana peupe!. nakuru had 951,267 population!!!!. (2020 nakuru urban censors).........
na mwanza around 750,000
Unajua population ya mkoa wa Mwanza wewe au unajifanya mjinga kwanza Nyamagana yenyewe inakimbilia 1.2mil people.
 
Waache washindane na Arusha sio Mwanza, naona mdazi anajitaidi kutuma vipicha vya mji wa arusha.
arusha ndo jiji pekee ambayo kidogo ntaweza ilinganisha na miji za kikenya; nairobi, mombasa, kisumu, nakuru, eldoret. etc. iko ligi moja jinsi ilivyo ratibiwa, usafi, muundo msingi(mbinu), na hata magorofa. na iko na CBD.
ata Dar yenyewe na Tanga haina cbd, hio nilijua thru' mwalimu wetu wa Geography, nikiwa high school
 
Unajua population ya mkoa wa Mwanza wewe au unajifanya mjinga kwanza Nyamagana yenyewe inakimbilia 1.2mil people.
mkuu......... sisemi population ya mkoa ama wilaya ama county,
namaanisha population ya City-Proper. yani idadi ya jiji lenyewe (town centre na estates yake) bila kuhusisha, metropolitan area ama mashinani (mashambani)
 
mkuu......... sisemi population ya mkoa ama wilaya ama county,
namaanisha population ya City-Proper. yani idadi ya jiji lenyewe (town centre na estates yake) bila kuhusisha, metropolitan area ama mashinani (mashambani)
hawaelewagi hawa watu hata maana ya city proper 😥 Kuna zwazwa mmoja wa huko ziwani aliniambia mwanza inawatu million 4🤣🤣 hii ndio official website yao wasikupe taarifa za magazeti

Screenshot_20210517-094314.png
 
hawaelewagi hawa watu hata maana ya city proper 😥 Kuna zwazwa mmoja wa huko ziwani aliniambia mwanza inawatu million 4🤣🤣 hii ndio official website yao wasikupe taarifa za magazeti

View attachment 1788130
bass.. habari ndo hiyo. statistics toka serkali kuu mwanzo.. yani 363,000.. pekee!. japo ni 2012 censor. basi ata eldoret inaweza kua kubwa na 473,000 ata kama censor ni ya 2019
 
wah! sikua nimeona hii... sikujua Arusha iko smart hivi!. very neat and organized! and with skyscapers.. even the CBD is clear, unlike mwanza

na kwa hawa, Dpresident, kitombile na geza ulole.... tafadhalini nawaomba huo mji wenu wa mwanza, hebu mjaribu kuipanga kidogo.. in contrast with A-town, its more dirty, dusty and disorganized. ata CBD sio clear
Tzn hapa Miji ya maana ni Dar,Arusha na Dom tuu japo barabara na slums ndio zinafanya isiwe mizuri

But kwa Dodoma itakuwa nzuri zaidi kuliko miji mingine kwa Tzn coz udhibiti wa Slums at least unafanyika
 
Acha kujipendekeza kwa lofa mdazi alafu nyie endeleeni kujazana ujinga na upumbavu kuhusu MWANZA, Mwanza sie level yenu tumewaacha mshindane na wa size yenu sasa ni kisumu vs arusha, kwa level ambayo mpo sasa nyie na arusha, Mwanza tulishatoka huko mwaka 2005 poleni sana na wivu wenu lakini ndani ya mioyo yenu mnajua Mwanza ni kiwango gani.
Imagine Arusha kuna hadi motorcycle racing competition na michezo mingine kibao ya kishua ambayo huwezi kuta kwenye hicho kijiji cha washamba cha Mwanza
 
Imagine Arusha kuna hadi motorcycle racing competition na michezo mingine kibao ya kishua ambayo huwezi kuta kwenye hicho kijiji cha washamba cha Mwanza
😂😂😂Mnateseka bure watalaamu walishafanya yao ya kitaalamu wakasema Mwanza city a.ka Rock city is second largest and best city in Tanzania after Dar es salaam no less or more.😂😂nashindwa kuelewa shida inatoka wapi.Kama ni gugu basi mmewazidi mama wa kambo au wake wenza.Na kama mnahitaji kuwa wa kwanza au pili jitangazeni kwani shida hiko wapi au Mwanza city au rock city inawazuhia nini??😂😂
 
Mbona Mwanza imezubaa hivyo?., na wanaita second city to Dar?..,
😂😂😂Mwanza city or rock city is the second city to Dar hilo swala liko kitaalamu zaidi sio kwa maneno ya kike kike.Na wataalam hao wanatoka national wise na international wise hayo mangine ni majungu tu waafrika ndo tamaduni zetu ndo maana tunaitwa black continent😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom