Kisumu vs Mwanza

Kisumu vs Mwanza

Hivi hapo kuna gorofa au ndo mmeamua kutuchekesha??Kweli kisumu ni sawa na Moshi city au iringa city [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nilikuambia Mwanza na Kisumu nikama usiku na mchana. Mwanza ni panya inajaribu kushindana na Ndovu(Kisumu)
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji23]
Tofauti kubwa kama shilingi ya Kenya na Tanzania [emoji23]
221622008.jpg
images%20-%202021-05-18T034402.172.jpg
1134908875.jpg
images%20-%202021-05-18T041045.355.jpg
2001916196.jpg
images%20-%202021-05-18T041241.842.jpg
images%20-%202021-05-18T042245.567.jpg
images%20-%202021-05-18T040330.061.jpg
 
Nilikuambia Mwanza na Kisumu nikama usiku na mchana. Mwanza ni panya inajaribu kushindana na Ndovu(Kisumu)
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji23]
Tofauti kubwa kama shilingi ya Kenya na Tanzania [emoji23]View attachment 1789074View attachment 1789075View attachment 1789076View attachment 1789078View attachment 1789079View attachment 1789081View attachment 1789082View attachment 1789083
🙊🙊 mungu wangu.......
this is what we reffer to as 'Sheer' contrast!
 
Nilikuambia Mwanza na Kisumu nikama usiku na mchana. Mwanza ni panya inajaribu kushindana na Ndovu(Kisumu)
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji23]
Tofauti kubwa kama shilingi ya Kenya na Tanzania [emoji23]View attachment 1789074View attachment 1789075View attachment 1789076View attachment 1789078View attachment 1789079View attachment 1789081View attachment 1789082View attachment 1789083
Lakini watanzania kwa Kiswahili mingi hawana mpinzani, vitu obvious lazima wapinge tu 😂😂😂😂😂😂,. sasa ona😂😂😂.,
 
Lakini watanzania kwa Kiswahili mingi hawana mpinzani, vitu obvious lazima wapinge tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],. sasa ona[emoji23][emoji23][emoji23].,
Unakumbuka wakipingana hapa ju ya Magufuli [emoji23][emoji23][emoji23]
 
🙊🙊 mungu wangu.......
this is what we reffer to as 'Sheer' contrast!
🙊🙊 mungu wangu.......
this is what we reffer to as 'Sheer' contrast!
Tumeamua kukaa kimya ili mwendelee kubweka kama Mbwa koko.Tumeamua kuacha hiyo Kisumu iangaike na Arusha.Sisi Mwanza hizo mechi za kitoto huwa hatuchezi😂😂😂Sasa endeleeni kupambana na Arusha,Moshi,iringa au Dodoma.Sasa Mwanza inapambana na Kampala,Kigali na Mombasa old town kwa mbaaaali.
 
Lakini watanzania kwa Kiswahili mingi hawana mpinzani, vitu obvious lazima wapinge tu 😂😂😂😂😂😂,. sasa ona😂😂😂.,
Na ukiona tumekaa kimya jua tumeisha wazalau hiyo Kisumu iendelee kupamba na Arusha na hivyo vimiji vingine vijaribu kwa Iringa,moshi,mbeya au Dodoma.
 
Tumeamua kukaa kimya ili mwendelee kubweka kama Mbwa koko.Tumeamua kuacha hiyo Kisumu iangaike na Arusha.Sisi Mwanza hizo mechi za kitoto huwa hatuchezi😂😂😂Sasa endeleeni kupambana na Arusha,Moshi,iringa au Dodoma.Sasa Mwanza inapambana na Kampala,Kigali na Mombasa old town kwa mbaaaali.
Wapige chini tu, me sasa nimeamua kuwazoom tu kama siwaoni wakilishana matango pori kuhusu MWANZA.
 
Na ukiona tumekaa kimya jua tumeisha wazalau hiyo Kisumu iendelee kupamba na Arusha na hivyo vimiji vingine vijaribu kwa Iringa,moshi,mbeya au Dodoma.
Jibu ndio mmekosa kabisaa kutoka Mwanza, Kiswahili tumezoea, unajitia hamnazo tu😂😂😂😂., Ni njia ya kukwepa tu😂😂😂.,
 
Jibu ndio mmekosa kabisaa kutoka Mwanza, Kiswahili tumezoea, unajitia hamnazo tu😂😂😂😂., Ni njia ya kukwepa tu😂😂😂.,
Miji yenu ilivyo kwasasa Mwanza ilishatoka huko mwaka 2005.Nyie pambaneni na arusha na miji mingine ya Tanzania kama Mbeya, dodoma na miji mingine.
 
Naton Jr. ulijaribu kututisha na video clip ya iringa, pia wee hii hapa ya eldoret city! and please take note of our residential and real estates in eldoret,.. its one of its kind in sub-saharan african, only comparable to ones in pretoria SA


eldoret10.jpg
eldoret13.jpg
eldoret01.jpg
eldoret02.jpg

residential housing and real-estates in eldoret👇
eldoret06.jpg
eldoret07.jpg
eldoret11.jpg
2021_05_20_14.42.07.jpg
eldoret16.jpg
👇rupa mall eldoret
eldoret17.jpg
eldoret18.jpg
 
Naton Jr. ulijaribu kututisha na video clip ya iringa, pia wee hii hapa ya eldoret city!

Hii ilishinda Mwanza kwa thread ya Dar vs Nairobi last year 😂😂😂., weka video ya Mwanza kisha linganisha.., from start to finish residential za Eldoret ata Dar wakaazi hawana very few rich guys., 😂😂😂., Hapa Kuna a functioning international airport mostly for export na import ya bidhaa., Mwanza zero!
 
Hii ilishinda Mwanza kwa thread ya Dar vs Nairobi last year 😂😂😂., weka video ya Mwanza kisha linganisha.., from start to finish residential za Eldoret ata Dar wakaazi hawana very few rich guys., 😂😂😂., Hapa Kuna a functioning international airport mostly for export na import ya bidhaa., Mwanza zero!
hebu wacha nitafute hio mwanza, niianike hapa live
 
Naton Jr. ulijaribu kututisha na video clip ya iringa, pia wee hii hapa ya eldoret city! and please take note of our residential and real estates in eldoret,.. its one of its kind in sub-saharan african, only comparable to ones in pretoria SA


View attachment 1790883View attachment 1790884View attachment 1790864View attachment 1790865
residential housing and real-estates in eldoret👇
View attachment 1790886View attachment 1790888View attachment 1790890View attachment 1791729View attachment 1791916👇rupa mall eldoretView attachment 1790896View attachment 1790899eve

Hii level yake ni Sumbawanga
 
Back
Top Bottom