dopchinski
JF-Expert Member
- Mar 11, 2021
- 3,387
- 3,683
huyu senge anaona zake, amelaaniwa na migorofa na vyumba.. teargas alikua ana try ku highlight usafi, beautification na mandhari ya kisumu city streets. na mashetani zake zinamuelekeza kwingine.. ishindwe riswa!.Mbona vipicha na vigorofa ni vilevile kila sikuπππndo maana tukawachia Moshi,iringa na Arusha ndo saizi yenu.Tulijaribu kufunguka kidogo mkalete Mombasa nayo ni old town.πππ
Picha tatu na tayari kashakuwa confused ππhuyu senge anaona zake, amelaaniwa na migorofa na vyumba.. teargas alikua ana try ku highlight usafi na beautification of kisumu city streets. na mashetani zake zinamuelekeza kwengine.. ishindwe riswa!.
π€£π€£π€£π€£ sijapata kuona mtu mbishi kama wewe asee ila huku Mwanza tumepatikana, sasa Mwanza itakuwa ni yakisiasa zaidi kuliko maendeleo si kwa huyu kilaza chalamila.π€£π€£π€£ kitombile utakufa kwa preshaπ₯
Nilishawaambia Mwanza kushindana na kisumu ni kupoteza muda tu, kisumu size yake ni wakina arusha au Tanga, kushindana na kisumu ni kujishusha hadhi ni kama vile bayern munich ikacheze na azam fcπππHii A-city ndo saizi ya kisumu city.Mwanza city level zake ni Kampala city,Kigali city,Mombasa city ndo maana jopo la wataalum na Mzee Mkapa wakakubali Mwanza city ndo second largest na best city after Dar hakuna nyingine zaidi.Hayo maneno mengine ni sawa na taarabu tu hayana utaalam wowoteππππ
Waache washindane na Arusha sio Mwanza, naona mdazi anajitaidi kutuma vipicha vya mji wa arusha.Mbona vipicha na vigorofa ni vilevile kila sikuπππndo maana tukawachia Moshi,iringa na Arusha ndo saizi yenu.Tulijaribu kufunguka kidogo mkalete Mombasa nayo ni old town.πππ
Acha unafiki, et a town oyee wakati arusha kwa Mwanza inaingia mara mbili.i can only relate kisumu to dubai. infact its ranked the cleanest city in kenya. 2020ranking
now this is what i was talking about.. i needed to see a serious city like this for me to give it a credit..
A-town, ooyeeh!
We kweli ni mpumbavu kuna nn kisumu ambacho Mwanza hakuna? Lakini kuna vitu vingi ambavyo Mwanza vipo kisumu havipo nitavihorodhesha.huyu senge anaona zake, amelaaniwa na migorofa na vyumba.. teargas alikua ana try ku highlight usafi na beautification of kisumu city streets. na mashetani zake zinamuelekeza kwengine.. ishindwe riswa!.
Unajua population ya mkoa wa Mwanza wewe au unajifanya mjinga kwanza Nyamagana yenyewe inakimbilia 1.2mil people.weeee.... baki na hio laana yako ya size. size tunaangalia tu kiasi but sanasana sophistication:- ammenities, regional offices and organizations, cleanliness and infrastructure!. ona, kinshasa ni kubwa shinda johannesburg, lakini??... mumbai ni kubwa shinda new york lakini??.. hebu yatafakari hayoπ€π€
kama ni size na idadi tu,.. basi nakuru ingekua the 3rd largest city!. but kuna vitu kisumu ikonayo nakuru haina ndo maana nakuru haijapewa hadhi ya city status... (ingekua tz, ingepewa in 1990)
boss,. hapa kenya hatuangalii idadii ya watu, tunazingatia vitu mingi tu!
View attachment 1787136
kama ni idadi na size, basi nakuru itaivua mwanza surwali mchana peupe!. nakuru had 951,267 population!!!!. (2020 nakuru urban censors).........
na mwanza around 750,000
arusha ndo jiji pekee ambayo kidogo ntaweza ilinganisha na miji za kikenya; nairobi, mombasa, kisumu, nakuru, eldoret. etc. iko ligi moja jinsi ilivyo ratibiwa, usafi, muundo msingi(mbinu), na hata magorofa. na iko na CBD.Waache washindane na Arusha sio Mwanza, naona mdazi anajitaidi kutuma vipicha vya mji wa arusha.
mkuu......... sisemi population ya mkoa ama wilaya ama county,Unajua population ya mkoa wa Mwanza wewe au unajifanya mjinga kwanza Nyamagana yenyewe inakimbilia 1.2mil people.
hawaelewagi hawa watu hata maana ya city proper π₯ Kuna zwazwa mmoja wa huko ziwani aliniambia mwanza inawatu million 4π€£π€£ hii ndio official website yao wasikupe taarifa za magazetimkuu......... sisemi population ya mkoa ama wilaya ama county,
namaanisha population ya City-Proper. yani idadi ya jiji lenyewe (town centre na estates yake) bila kuhusisha, metropolitan area ama mashinani (mashambani)
bass.. habari ndo hiyo. statistics toka serkali kuu mwanzo.. yani 363,000.. pekee!. japo ni 2012 censor. basi ata eldoret inaweza kua kubwa na 473,000 ata kama censor ni ya 2019hawaelewagi hawa watu hata maana ya city proper π₯ Kuna zwazwa mmoja wa huko ziwani aliniambia mwanza inawatu million 4π€£π€£ hii ndio official website yao wasikupe taarifa za magazeti
View attachment 1788130
Tzn hapa Miji ya maana ni Dar,Arusha na Dom tuu japo barabara na slums ndio zinafanya isiwe mizuriwah! sikua nimeona hii... sikujua Arusha iko smart hivi!. very neat and organized! and with skyscapers.. even the CBD is clear, unlike mwanza
na kwa hawa, Dpresident, kitombile na geza ulole.... tafadhalini nawaomba huo mji wenu wa mwanza, hebu mjaribu kuipanga kidogo.. in contrast with A-town, its more dirty, dusty and disorganized. ata CBD sio clear
Imagine Arusha kuna hadi motorcycle racing competition na michezo mingine kibao ya kishua ambayo huwezi kuta kwenye hicho kijiji cha washamba cha MwanzaAcha kujipendekeza kwa lofa mdazi alafu nyie endeleeni kujazana ujinga na upumbavu kuhusu MWANZA, Mwanza sie level yenu tumewaacha mshindane na wa size yenu sasa ni kisumu vs arusha, kwa level ambayo mpo sasa nyie na arusha, Mwanza tulishatoka huko mwaka 2005 poleni sana na wivu wenu lakini ndani ya mioyo yenu mnajua Mwanza ni kiwango gani.
kelele za chura tu... haina makaliMbona Mwanza imezubaa hivyo?., na wanaita second city to Dar?..,
πππMnateseka bure watalaamu walishafanya yao ya kitaalamu wakasema Mwanza city a.ka Rock city is second largest and best city in Tanzania after Dar es salaam no less or more.ππnashindwa kuelewa shida inatoka wapi.Kama ni gugu basi mmewazidi mama wa kambo au wake wenza.Na kama mnahitaji kuwa wa kwanza au pili jitangazeni kwani shida hiko wapi au Mwanza city au rock city inawazuhia nini??ππImagine Arusha kuna hadi motorcycle racing competition na michezo mingine kibao ya kishua ambayo huwezi kuta kwenye hicho kijiji cha washamba cha Mwanza
πππMwanza city or rock city is the second city to Dar hilo swala liko kitaalamu zaidi sio kwa maneno ya kike kike.Na wataalam hao wanatoka national wise na international wise hayo mangine ni majungu tu waafrika ndo tamaduni zetu ndo maana tunaitwa black continentπππππMbona Mwanza imezubaa hivyo?., na wanaita second city to Dar?..,
Nilikuambia Mwanza linganisha na Kisii ukathani ni mchezo. [emoji116][emoji116][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi hapo kuna gorofa au ndo mmeamua kutuchekesha??Kweli kisumu ni sawa na Moshi city au iringa city [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]