Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,041
- 13,907
Leta Estate za Mwanza wacha Pang'ang'a
Hii ni ya Buswelu....Phase 1 ilikamilika mwaka Jana..... Phase 2 inakamilika karibuni na tutawaletea picha zake pia..
Kwhyo sai watu wanaishi wapi, manake hzo hazijakamilika na mpka sasa ni units chache sana...Again hizi ni za kisesa watumishi house...Phase 1 completed....second phase around the cornerView attachment 1304622View attachment 1304624View attachment 1304625
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha...what a poor photographer...umeelekeza camera milimani unategemea upate picha nzuri...Hebu tuletee skyline ya mwanza village [emoji23][emoji23].[emoji116][emoji2535][emoji116][emoji2535][emoji116][emoji2535]View attachment 1304500
Hahaha ninyi shida yenu si estates....ziwe za serikali au binafsi hazikuhusu...watu binafsi wamewekeza kwenye apartments huku mjini..Kwhyo sai watu wanaishi wapi, manake hzo hazijakamilika na mpka sasa ni units chache sana...
Then watanzania investors wako wapi hadi serikali ifanye kazi ndogo km hyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtanzania hajaijua chochote. Yesterday I asked that witch the definition of a hostel and do you know what he told me? Eti ni manyumba zinafanana. Wewe plus yeye ni wajinga wote if you also reason like him.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani ninyi ndo wajinga mnoo...hamjamwelewa mmekurupuka tu Kama kawaida yenu....ndo hivyohivyo mnakurupuka tu kusema mwanza hakuna estates na hamjawahi fika....wajinga ninyi...Umeona ee...kisha alivyokua mjinga, ywaja kutetea ujinga...
Watanzania bana
Sent using Jamii Forums mobile app
Matusi ni kawaida kw wana ccm wanaposhindwa mjadalaYaani ninyi ndo wajinga mnoo...hamjamwelewa mmekurupuka tu Kama kawaida yenu....ndo hivyohivyo mnakurupuka tu kusema mwanza hakuna estates na hamjawahi fika....wajinga ninyi...
Sent using Jamii Forums mobile app
Heheeee!!letaa aerial view tuone hzo nyumba 10..Hahaha ninyi shida yenu si estates....ziwe za serikali au binafsi hazikuhusu...watu binafsi wamewekeza kwenye apartments huku mjini..
Hizo nyumba sishaisha toka mwaka jana na hiyo project ni completed.Sema wanataka waongeze nyingine sababu zote watu wasio na masihara washabeba .... Na ndio sababu phase 2 ikawepo na sahivi zinamaliziwa tu...
Nimewawekea hadi za Buswelu hapo juu mzicheki...
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya sasa leta za makaazi[emoji1787]Hahaha...what a poor photographer...umeelekeza camera milimani unategemea upate picha nzuri...View attachment 1304629View attachment 1304630
Sent using Jamii Forums mobile app
Khaa!!km bomu aisee..Tunaendelea....
Aerial view....Hii ni mitaa ya kiloleli,kilimahewa,furahisha,nyamanoro n.k....the main road towards the airport is also seen...View attachment 1304638
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha nani kakutukana bibie....umetukanwa wapi...hilo neno si tusi ukilitumia vizuri mahala pake...mtu anayekazana kitu fulani hakipo na huku kipo tunamtafsili vipi...yaani ninyi hilo neno ndo mmelitumia vibaya kwangu na ndio mlionitukana ambapo hata hivyo sijalalamika...
Mmezoe kuhalalasha matusi mnapo banwaHaha nani kakutukana bibie....umetukanwa wapi...hilo neno si tusi ukilitumia vizuri mahala pake...mtu anayekazana kitu fulani hakipo na huku kipo tunamtafsili vipi...yaani ninyi hilo neno ndo mmelitumia vibaya kwangu na ndio mlionitukana ambapo hata hivyo sijalalamika...
Sijashindwa,ninyi ndo mmeshindwa na hilo lipo wazi halihitaji ufafanuzi....
Na mwisho I'm not a member of any political party...