Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,041
- 13,907
Hiyo picha imechukuliwa juu mno kiasi kwamba huwezi ona barabara za michepuko kwa urahisi...hiyo barabara inayoiona ni 4 lane na kuna sehemu inakuwa six lane...sasa kama 6 lane inaonekana hivyo vipi kwa upande wa michepuko ambayo sanasana ni 2 lane itaonekana kweli...kwa kukusaidia tu hiyo barabara from city center to airport ina michepuko zaidi ya nane...na ndiyo sababu huku daladala zina route nyingi....kuichambua hiyo picha isn't a rocket science.... Ni vile tu watu ka ninyi tunawasaidia ili muelewe.Khaa!!km bomu aisee..
Barabara ni moja imekatiza mpka ziwani[emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo mbaya ukiendelea kukariri hivyo japo maelezo niliyokupa yanajitosheleza.... All in all hiyo taswira mbaya uliyonayo juu ya jiji la mwanza ifute ubongoni mwako...
Mm kama mm sirudii picha...labda sikuiona mwenzangu alipoiweka... Ila mtu akikazana kubisha na suluhisho likawa ni picha niliyokwishaiweka,itabidi niirudie tu sina jinsi...
Aerial view kwa sasa sina....kama mashirika yenu ya nyumba yanajenga nyumba kumi huko kwenu ni hukohuko...Heheeee!!letaa aerial view tuone hzo nyumba 10..
Halafu sijasahau, unionyeshe sai watu wanaishi wapi manake hapo hamna kitu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kisumu ni kubwa sana kuliko mwanza haiwezi enea picha moja...hahahahaha what a joke.... Bro unafikir kuna watoto humu...ingekuwa hivyo basi miji mikubwa duniani nayo tungekuwa tunaona picha za ghorofa moja moja...leta aerial view ya kisumu tuhesabu hizo ghorofa mbili...sitaki ya usiku...coz nimegundua chaka lako...haya nasubiri...Kisumu nikubwa Sana haiwezi toshea kwa picha moja Kama Mwanza na ndio maana nikiitisha Estates za Mwanza huwezi kuzileta ju haziko. Kwa buildings Bado Kisumu imelemea Mwanza Tena by far so usijidanganye bro. Mkifika hapa Nitag[emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484]View attachment 1304503
Atakuwa anazunguka na zile zile ghorofa mbili sijui tatu 😂😂😂😂😂Kisumu ni kubwa sana kuliko mwanza haiwezi enea picha moja...hahahahaha what a joke.... Bro unafikir kuna watoto humu...ingekuwa hivyo basi miji mikubwa duniani nayo tungekuwa tunaona picha za ghorofa moja moja...leta aerial view ya kisumu tuhesabu hizo ghorofa mbili...sitaki ya usiku...coz nimegundua chaka lako...haya nasubiri...
Wamezoea kukaa estate (hostels) na kwenye slums achana naoMwanza Mwanza makazi ya kishua, KapripointView attachment 1304747View attachment 1304748
Sent using Jamii Forums mobile app
Hehehe nyumba moja? You can't be serious my friend.Hii ni ya Buswelu....Phase 1 ilikamilika mwaka Jana..... Phase 2 inakamilika karibuni na tutawaletea picha zake pia..View attachment 1304618
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunaendelea....
Aerial view....Hii ni mitaa ya kiloleli,kilimahewa,furahisha,nyamanoro n.k....the main road towards the airport is also seen...View attachment 1304638
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila nyie mnatia sana aibu hata elimu ya picha hamna.....picha imechukuliwa several km above the ground unategemea nyumba uzionaje....rudini shule, mnatia aibu kwakweli...Full of Vibanda. Hii Mwanza ikikuja Kenya sijui hata kama inaezaekwa ikuwe town. The place is full of shanty buildings.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu soma hiyo statement hapo kwenye picha.... Hujui hata kutofautisha umoja na wingi katika kiswahili...Aibu...shame
Ila nyie mnatia sana aibu hata elimu ya picha hamna.....picha imechukuliwa several km above the ground unategemea nyumba uzionaje....rudini shule, mnatia aibu kwakweli...
A glorified village ambayo inapiga chini city villages zenu except capital city
unajifariji, but you know that Mwanza can be compared only with Mombasa out of Nairobi.Full of Vibanda. Hii Mwanza ikikuja Kenya sijui hata kama inaezaekwa ikuwe town. The place is full of shanty buildings.
Sent using Jamii Forums mobile app
Achana nae huyo mkuu...anataka aone nyumba kubwa ilhali picha imechukuliwa km nyingi kutoka juu....hajui nyumba zinaonekanaje ukichungulia toka kwenye ndege....yawezekana hata ndege hajawahi panda....unajifariji, but you know that Mwanza can be compared only with Mombasa out of Nairobi.
mzee baba haya majitu yanajua kuongea lugha ya wakoloni tu, ukija kwenye kuchanganua mambo mathematically /physically yana poteana sanaAchana nae huyo mkuu...anataka aone nyumba kubwa ilhali picha imechukuliwa km nyingi kutoka juu....hajui nyumba zinaonekanaje ukichungulia toka kwenye ndege....yawezekana hata ndege hajawahi panda....