Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
sikatai hilo ila kwenye hoteli ya nyota tano Mwanza bado haina jengo la NSSF litakapokamilika then hali itabadilika!Mwanza soon watakuwa na sehemu itakayokuwa imenjengeka like the great Kariako
Hatupotoshi, sijawahi bisha kwa suala moja tu, Arusha ina majengo marefu mengi kuliko mwanza yanayoanzia 10+f zaid ya hapo arusha utaipa sifa isiyo stailinani kakuambia mi mtu wa Arusha mbona naitetea Mwanza kwenye ukweli! Tatizo ni kwamba mmezuka watu wa misifa mnapotosha sasa! Mnakuwa kama Wakenya wa Kisumu!
Hiyo Malaika beach resort nilikuwa naisikia sana, kumbuka ile sio hotel moja kwa moja ni beach resort kitu ambacho huwezi kuta Arusha sababu arusha ni landlocked citysikatai hilo ila kwenye hoteli ya nyota tano Mwanza bado haina jengo la NSSF litakapokamilika then hali itabadilika!
hivi unafikiri nabisa kama fanatic? hapana nilichosema Mwanza haina 5 star hotel hayo mengine yako na ni sawa!H
Hatupotoshi, sijawahi bisha kwa suala moja tu, Arusha ina majengo marefu mengi kuliko mwanza yanayoanzia 10+f zaid ya hapo arusha utaipa sifa isiyo staili
Website gani hiyo... Mbona hata sisi tunaobook hoteli hatuifahamu... Ingia kwenye websites official zinazoeleweka.... Mimi nakupa hii website ya hotel booking inayotumiwa na wabongo pamoja na watu wa nje ya nchi wanaovisit tz... Hizo ni baadhi ya hoteli za mwanza with their rate... Japo zingine hawajazirate bado...Angalia pia na maoni ya watumiaji wa hiyo hoteli na wengi wakiwa wa nje...
Lakini mi sikulazimishi... Ni mtazamo wako pia though you have never had a sleep there... Ukiona vipi basi sababu mimi discussion yangu juu ya hili swala inaishia hapa.
25 hotels in Mwanza, Tanzania.
Great savings on hotels in Mwanza, Tanzania online. Good availability and great rates. Read hotel reviews and choose the best hotel deal for your stay.www.booking.com
Sent using Jamii Forums mobile app
modern dual carriage and number of km za dual carriage arusha ni kubwa kuliko hukoH
Hatupotoshi, sijawahi bisha kwa suala moja tu, Arusha ina majengo marefu mengi kuliko mwanza yanayoanzia 10+f zaid ya hapo arusha utaipa sifa isiyo staili
hujanielewa kiongozi... Nipo huo upande wako na ndicho nilichokimaanishahapana rate za kusema hii ni 5 star au 4 star zinanamna ya kutolewa sio izo rate za watu kazaa hapana
Sent using Jamii Forums mobile app
Chunguza vizuri mzee babamodern dual carriage and number of km za dual carriage arusha ni kubwa kuliko huko
Sent using Jamii Forums mobile app
Ya arusha km ngapimodern dual carriage and number of km za dual carriage arusha ni kubwa kuliko huko
Sent using Jamii Forums mobile app
nimetoka arusha mwaka jana mwezi wa 10 na wao hilo tatizo lipo kuna foleni kama mida ya saa 12 ukitoka na gari morombo kuja kijenge foleni unayokutana nayo ni sawa upo tazara inakera sio poa ila nahisi hii barabara ya kisongo moshono waipanue yani ni kero kila mtu anakwambiaNina miaka mitatu sijaenda arusha kwa sasa sijajua changes zilizopo huko lakini mwanza nilienda mwaka juzi ko ni mwaka na miezi kadhaa, Mwanza wasipojipanga mapema tatizo la traffic congestion lililokuwa linaikumba dar litahamia huko, maana ndio matatizo yetu wabongo huwa tunashtuka tayari tatizo lishatokea
anhaa kama hapo sawa mkuuhujanielewa kiongozi... Nipo huo upande wako na ndicho nilichokimaanisha
14.5 + 1km ya east africa + 1 kona nairobi jumala ni 16.5 okay mwanza jeYa arusha km ngapi
okay tuanze kwa km nimetajaa apo juu tuje kwenye upana ile barabara inapitisha 4 cars mpaka 8 cars ukijumlisha na service road na service road zipo zaidi ya 50% ya km za barabara barabara pia inamataa ya trafic light za kisasa 4 na taa za usiku za kisasa piaChunguza vizuri mzee baba
Mwanza airport road 10+km if I'm not mistaken, kuna ile barabara ya Musoma but three lanes 4km, walichokifanya wakatengeneza optional roads buzuruga through Nyansaka inakoishia sijui wa mwanza watusaidie, buzuruga - national via mecco km? , Usagara - kisesa and now construction of 34km Four lanes from town to Kigongo, kwa zile 10+km from Kigongo to usagara tayari watu washalipwa kupisha ujenzi ili kuunga hadi daraja jipya la Kigongo Busisi, ndio ninavyofahamu kwa sasa otherwise mtu anayejua zaidi asemeokay tuanze kwa km nimetajaa apo juu tuje kwenye upana ile barabara inapitisha 4 cars mpaka 8 cars ukijumlisha na service road na service road zipo zaidi ya 50% ya km za barabara barabara pia inamataa ya trafic light za kisasa 4 na taa za usiku za kisasa pia
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu tuletee statement iliyoandikwa malaika beach resort is a four star hotel sababu unanionyesha reviews tu.MALAIKA BEACH RESORT - Updated 2023 Prices & Hotel Reviews (Mwanza, Tanzania)
Book Malaika Beach Resort, Mwanza on Tripadvisor: See 392 traveler reviews, 562 candid photos, and great deals for Malaika Beach Resort, ranked #1 of 26 hotels in Mwanza and rated 4.5 of 5 at Tripadvisor.www.tripadvisor.com
angalia kwenye picha kwenye Hotel class kuna nyota 4! Unless una utaahira wa kutoelewa hata picha! More evidence! BTW it is the only 4 star hotel in Mwanza!Hebu tuletee statement iliyoandikwa malaika beach resort is a four star hotel sababu unanionyesha reviews tu.
Kwenye taa za usiku hata usiongelee maana almost barabara zote za mji ziko na taa na barabara za mwanza jiji in terms of Km zinazidi arusha mbali tuokay tuanze kwa km nimetajaa apo juu tuje kwenye upana ile barabara inapitisha 4 cars mpaka 8 cars ukijumlisha na service road na service road zipo zaidi ya 50% ya km za barabara barabara pia inamataa ya trafic light za kisasa 4 na taa za usiku za kisasa pia
Sent using Jamii Forums mobile app
Hehehe kaka mi nshaacha sidhani kama mtafikia muafaka... Achana nayo hayo tuendelee na mengine...kwan 5 star ni mbinguni hata huko isiwepo..Hebu tuletee statement iliyoandikwa malaika beach resort is a four star hotel sababu unanionyesha reviews tu.