Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
sikatai hilo ila kwenye hoteli ya nyota tano Mwanza bado haina jengo la NSSF litakapokamilika then hali itabadilika!Mwanza soon watakuwa na sehemu itakayokuwa imenjengeka like the great Kariako