Kisumu vs Mwanza

Kisumu vs Mwanza

Ndo hivyo yaani.... Eti mbingu mombasa kule kuchafukuchafu na mijengo ya kizamani.... Leta facts na picha..... Hatutaki maneno sahii
Nje ya cbd tena hyo barabara sai imeshamalizwa kupanuliwa...
Hesabu maghorofa hadi uchoke, hapo picha imechukuliwa kutoka makupa
EBCScbXX4AEZ1xb.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bwahaha!!mombasa uifananishe na mwanza[emoji1787][emoji1787][emoji1787]naupa aerial za kibabe tuView attachment 1310630View attachment 1310631

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii itakufaa
 
Shida yako si ni picha au una lingine
Eti picha...
Niletee aerial view yenye inaonyesha eneo kubwa tuone maajabu hapo mwanza...

Size yenu ni kisumu na nakuru hko, mombasa tutajenga towers nne tuwe juu ya dar...manake dar ina towers tatu, na hicho ndicho dar imeishindia mombasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao walianguka hku...wengine walifanya visanga wakafutwa au hta retired...

Bongo hta wale form 4 wa mwaka jana anafundisha tu...
Kwn mna elimu gani nynyi ya kuwatatiza form 4 leavers wa kenya mpka washindwe kuwafundisha

Sent using Jamii Forums mobile app
Walikuwa hawafundishi masomo ya msingi sana ni Lugha tu ya mabeberu, na walikuwa aged 25_35 kwa kukadilia, yaan nyie huko hakuna mnacho weza kujivunia zaidi ya lugha ya wakoloni 😂😂😂😂😂😂😂kama unabisha uje hata wewe uombe kufundisha physics, Mathematics, chemistry au Biology uone kama utalamba job 😀😇😇🙏🙌🙌
 
Eti picha...
Niletee aerial view yenye inaonyesha eneo kubwa tuone maajabu hapo mwanza...

Size yenu ni kisumu na nakuru hko, mombasa tutajenga towers nne tuwe juu ya dar...manake dar ina towers tatu, na hicho ndicho dar imeishindia mombasa

Sent using Jamii Forums mobile app
Tushakuambia huwez cover mwanza CBD in a single photo, otherwise uchukue picture kutoka juu sana, narudia, kutoka juu sana na hutapata uhalisia sababu hata jengo lenye 10f utaona kama nukta, Kisumu saizi yake iringa maana hata Dodoma iko juu now days
 
Eti picha...
Niletee aerial view yenye inaonyesha eneo kubwa tuone maajabu hapo mwanza...

Size yenu ni kisumu na nakuru hko, mombasa tutajenga towers nne tuwe juu ya dar...manake dar ina towers tatu, na hicho ndicho dar imeishindia mombasa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo unazotaja sijui Kisumu, nakuru fungulia Uzi Tulinganishe na Iringa, Dodoma au arusha
 
Mombasa equals Dar, licha ya vigorofa vitatu Dar., outside Dar in Tz hakuna town that can beat Eldy, Naks Vegas(Nakuru) or Kisumu! Hakuna!!, organization, estates, annual economic revenue, hakuna hata moja! If Kiambu county pekee collects more revenue than Dar with a population ya over 5 million, aibu tupu!
Bwahaha!!mombasa uifananishe na mwanza[emoji1787][emoji1787][emoji1787]naupa aerial za kibabe tuView attachment 1310630View attachment 1310631

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti picha...
Niletee aerial view yenye inaonyesha eneo kubwa tuone maajabu hapo mwanza...

Size yenu ni kisumu na nakuru hko, mombasa tutajenga towers nne tuwe juu ya dar...manake dar ina towers tatu, na hicho ndicho dar imeishindia mombasa

Sent using Jamii Forums mobile app
Aerial views ndo maana nimekupa Uzi.......Au unafikir nimekupa uone hoteli...... Acha kupotezea watu muda na hayo mahaba yako....
 
Mombasa equals Dar, licha ya vigorofa vitatu Dar., outside Dar in Tz hakuna town that can beat Eldy, Naks Vegas(Nakuru) or Kisumu! Hakuna!!, organization, estates, annual economic revenue, hakuna hata moja! If Kiambu county pekee collects more revenue than Dar with a population ya over 5 million, aibu tupu!

Sent using Jamii Forums mobile app
Imani potofu 😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Eti picha...
Niletee aerial view yenye inaonyesha eneo kubwa tuone maajabu hapo mwanza...

Size yenu ni kisumu na nakuru hko, mombasa tutajenga towers nne tuwe juu ya dar...manake dar ina towers tatu, na hicho ndicho dar imeishindia mombasa

Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu kwanza mwanza ni milima mji umejengwa sehemu tofauti tofauti.... Hata aerial yake haiwezi chukua eneo kubwa vizuri..... Aliyewahi fika ndo atanielewa
 
Mombasa equals Dar, licha ya vigorofa vitatu Dar., outside Dar in Tz hakuna town that can beat Eldy, Naks Vegas(Nakuru) or Kisumu! Hakuna!!, organization, estates, annual economic revenue, hakuna hata moja! If Kiambu county pekee collects more revenue than Dar with a population ya over 5 million, aibu tupu!

Sent using Jamii Forums mobile app
Punguza mahaba na mihemuko
 
Mombasa equals Dar, licha ya vigorofa vitatu Dar., outside Dar in Tz hakuna town that can beat Eldy, Naks Vegas(Nakuru) or Kisumu! Hakuna!!, organization, estates, annual economic revenue, hakuna hata moja! If Kiambu county pekee collects more revenue than Dar with a population ya over 5 million, aibu tupu!

Sent using Jamii Forums mobile app
Fungua Uzi Kisumu city vs Iringa town ili ujinga wako wa kukariri ukutoke
 
Back
Top Bottom