Promenthous
JF-Expert Member
- Apr 2, 2013
- 338
- 397
Kabisa,barabara yote ingejengewa kingo,hata kama ni ndogo ili kusiwe na muingilianoHizo barabara za mwendo kasi wangejenga kingo kubwa hata iwe vigumu gari kupanda na kwenda upande wa pili.
Mwendo kasi lakini barabara ipo haina vizuizi? Sio afya kwa wananchi
Una hakika Ni yeye anaongoza nchiWakipewa Training ya kutosha na ya muda mrefu naamini wataweza. Usiwadhoofishe kiasi hicho afss π
Hata Rais mlisema hataweza.. mbona anachochora tu?! Na madudu hata wanaume wenzetu walifanya yaleyale tu yanayofanana
Ipo siku itatokea kama hii ya leoMungu atunusuru
Enhe! Tuambie wewe...ni nani anayeongoza nchi?!Una hakika Ni yeye anaongoza nchi
Poleni sana.Basi la Mwendokasi likiwa linatoka Kivukoni limeacha njia na kuparamia maduka na miundombinu mingine pembezoni mwa barabara ya Morogoro kwenye makutano ya Jamhuri St.
Eneo hilo ni viambaza vya maduka, njia ya waenda kwa miguu na limekuwa linatumika na watu wasio na makazi kulala
Ukiangalia picha kwa umakini utaona baadhi ya virago vya kulalia ombaomba. Tuombe Mungu pasiwepo na madhara ya uhai.
====
Basi la Mwendokasi leo February 22, 2023 limepata ajali eneo la makutano ya Jamhuri na Morogoro baada ya kugongana na gari ndogo kisha kuparamia ukuta wa duka likijaribu kulikwepa. Imeripotiwa kutokea majeruhi kadhaa.
View attachment 2526152
View attachment 2525990
Dawa kabisa nakubaliana na wewe. Je katika Ile pale dereva wa bus alikua na abiria zaidi ya hamsini na like bus Lina mtoto nyuma , break zake nizakutafuta, yule dereva wa bus angefanya nini pale?Hata ukiwa na haki ya njia wajibu wako wa kwanza ni kuepusha ajali.
Mimi sikusema dereva wa mwendokasi ana makosa.Dawa kabisa nakubaliana na wewe. Je katika Ile pale dereva wa bus alikua na abiria zaidi ya hamsini na like bus Lina mtoto nyuma , break zake nizakutafuta, yule dereva wa bus angefanya nini pale?
Kufunga break ghafla na kuhatarisha maisha ya watanzania au kugonga mnyarwanda mmoja asiyefata Sheria za barabara za Tanzania. I think you have the answer.
Hiyo itaondoka na wengiIpo siku itatokea kama hii ya leo
Mitaa ya msimbazi kko
Kwa jinsi watu wanavyojipanga pembeni barabarani kama nyanya
Ingekuwa enzi za machinga kufanya biashara barabarani leo wengi wangedhurikaBasi la Mwendokasi likiwa linatoka Kivukoni limeacha njia na kuparamia maduka na miundombinu mingine pembezoni mwa barabara ya Morogoro kwenye makutano ya Jamhuri St.
Eneo hilo ni viambaza vya maduka, njia ya waenda kwa miguu na limekuwa linatumika na watu wasio na makazi kulala
Ukiangalia picha kwa umakini utaona baadhi ya virago vya kulalia ombaomba. Tuombe Mungu pasiwepo na madhara ya uhai.
====
Basi la Mwendokasi leo February 22, 2023 limepata ajali eneo la makutano ya Jamhuri na Morogoro baada ya kugongana na gari ndogo kisha kuparamia ukuta wa duka likijaribu kulikwepa. Imeripotiwa kutokea majeruhi kadhaa.
View attachment 2526152
View attachment 2525990
Kwani huoni? Speed alokuwa nayo sio kubwa angeshika brake asingefikia kuua mtembea kwa miguu
Ungepost mods wangefuta , me niliota ndege ya precision kuua watu wote on board Uzi ukafutwa na Ni ndoto
Kosa ni la uyo dereva gari ndgoNimeiona mkuu, kwakweli yule mwenye RAV4 ameingia kwenye makutano kwa Speed bila kuangalia usalama kwanza.
Huyu mshenzi wa gari dogo wakamkabidhi jela akaolewe chap.
Watanzania wamezidi kuwa wavivu hawapendi kusoma basi hata kutazama video hawataki wanataka kukomenti majivu. Dah wacha ccm waendelee tu kutawala mataahira.Wengi walikoment kwa kuhukumu biLa hata ya kutumia akili ya ziada wameanza kumpa malalamiko dereva wa mwendo kasi tuna safar ndefu kama nchi
πππ katiba mpya haiwez kupatikana kabsaWatanzania wamezidi kuwa wavivu hawapendi kusoma basi hata kutazama video hawataki wanataka kukomenti majivu. Dah wacha ccm waendelee tu kutawala mataahira.
Nchi inaongozwa na ndugu Msoga na magenge yake, unalakusemaEnhe! Tuambie wewe...ni nani anayeongoza nchi?!
Njoo PM Mkuu tafadhali au nipatie mail yako. Tunahitaji sana confidence za watu wa aina yako π
Kama umekamilika usisite kuja PM Kusema anaengoza nchi badala ya Rais au ukiona unajiamini sana sema hapahapa
Mkuu haya magari hayafungi break kama magari mengine
Angemkwepa mtembea kwa mguu angesaga hiyo gari ndogo ndio asimame mbele na yana speed kali sio kama daladala zetu
Kuna ndugu yangu aliwahi agiza moja dogo design za haya magari yaani speed ndogo ila sisi tunaona speed kubwa
Labda kuna ambacho sijaelewa?We ungekua ndo uko kwenye main road achilia mbali mwendokas ungefanyeje
Labda kuna ambacho sijaelewa?We ungekua ndo uko kwenye main road achilia mbali mwendokas ungefanyeje