KISUTU, DAR: Maxence Melo akutwa bila hatia shtaka la Kikoa. Apewa 'Conditional Discharge' kwenye shtaka la kutotoa ushirikiano kwa Jeshi la Polisi

KISUTU, DAR: Maxence Melo akutwa bila hatia shtaka la Kikoa. Apewa 'Conditional Discharge' kwenye shtaka la kutotoa ushirikiano kwa Jeshi la Polisi

Na wote wanahaki ya kukata rufaa kama hawataridhishwa na hukumu ya Mahakama ya Kisutu. Tofauti hapa ni kwamba kama Jamhuri ikishinda basi wakata rufaa watafanya hivyo huku wakiwa wameanza kutumikia adhabu, iwe ya kulipa faini au kifungo! Tumuombe Mungu Aepushe hilo, Aamin
Hatuna mahakama tena wala bunge
 
Hili litapita kama yalivyopita mengine lakini la muhimu ni Jaji Mkuu na mahakama kwa ujumla kujitathmini. Kuna hisia na maneo ya kuwa mahakama zinatumika kisiasa.

Prof.Juma wakati anaapishwa nakumbuka palikuwa na maelezo ya kuwa ni mtu wa dini sana kiasi ambacho shughuli za asubuhi sana zilikuwa mpaka afanye ibada yake kwanza.Ninachokiona kwamfano kesi hasa ya kina Nasrat (wa Chadema) jinsi inavyopigwa tarehe na sababu zinatolewa, mmh
 
Kwa kuwa hii sio "official political forum" naombeni uongozi wa jamii forum uwe unafuta thread ambazo haziendani na matakwa ya yule MUTU. hii itaweza kuwaepusha na kesi kesi.

Yaan in short futeni jukwaa la siasa and the likes mana haiwesekani jukwaa moja likosti Forum nzma asee. kwa kuwa yule MUTU hapendezwi na hii forum jinsi inavoendeshwa basi nyie ondoeni zile sensitive post then bakishen post za biashara, ujenzi, gadget, intelligence, elimu and the like sharti tu hazimgusi yule mtu. JamiiForum ni kubwa kuliko inavochukuliwa asee.

All in all I wish u all tha best in this case!

Cc Maxence Melo
 
Kwa kuwa hii sio "official political forum" naombeni uongozi wa jamii forum uwe unafuta thread ambazo haziendani na matakwa ya yule MUTU. hii itaweza kuwaepusha na kesi kesi. yaan in short futeni jukwaa la siasa and the likes mana haiwesekani jukwaa moja likosti Forum nzma asee. kwa kuwa yule MUTU hapendezwi na hii forum jinsi inavoendeshwa basi nyie ondoeni zile sensitive post then bakishen post za biashara,ujenzi,gadget,intelligence,elimu and the like sharti tu hazimgusi yule mtu. Jamii forum ni kubwa kuliko inavochukuliwa asee.

All in all I wish u all tha best in this case!

Cc Maxence Melo
JF bila siasa it means Tanzania itakuwa rasmi gizani
 
Hii serikali ni ya majambazi yasiyo na akili

Mtu anaweza ku download program ya kujibadilisha ip address ya nchi yoyote unayopenda , kama wao wanataka ip adress na wakapewa si watakuwa wanaenda mchomo

barua pepe si mtu anaweza kutumia yoyote ile

Jina ndio natumia Gavana , ndio umenikamata 😛😛😛

Dawa ni serikali Itende haki tu isidanganywe na hawa ma kada walioajiriwa waliofeli darasa la 12

MUNGU AWALAANI SERIKALI HII YA KIDHALIMU WIZI NA WAUWAJI , AAMIN

WAJUWE

AINGIAYE KWA UPANGA ATATOKA KWA UPANGA
 
Back
Top Bottom