Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Hii nchi imeharibika kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani lifutwe jukwaa la siasa libaki jukwaa la mapenzi?Kwa kuwa hii sio "official political forum" naombeni uongozi wa jamii forum uwe unafuta thread ambazo haziendani na matakwa ya yule MUTU. hii itaweza kuwaepusha na kesi kesi. yaan in short futeni jukwaa la siasa and the likes mana haiwesekani jukwaa moja likosti Forum nzma asee...
MUNGU akubariki Sana Mkurugenzi wa JamiiiForums, na ninaamini utashinda Kesi hii leo Katika Jina la Yesu!Hukumu ya kesi namba 458 ya 2016 ya Jamhuri dhidi ya JamiiForums inatarajiwa kusomwa leo Novemba 17, 2020 katika Mahakama ya Kisutu
Katika shauri hili lenye mashtaka mawili, watuhumiwa wanashtakiwa kuendesha mtandao ambao haujasajiliwa kwa kikoa cha DO-TZ.
Mkuu itakie heri jfAisee[emoji848][emoji848]View attachment 1628288
Bora Wewe inakulea Mimi Mwenzako ndiyo inanipa uwezo mkubwa wa Akili na Kufikiri endapo 'utafutwa' nahisi nitakuwa 'Mpumbavu' Mwandamizi.Jamii forums ikifungwa nitaenda wapi jamani maana ndiyo social media inayonilea...........kwa pamoja tutashinda 💪🏿