Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Mahakama mfukoni mwa shati!Mahakama za nchi hii zimegueka jumuia muhimu sana ya chama inayomsaidia Meko kutukaza anavyotaka!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mahakama mfukoni mwa shati!Mahakama za nchi hii zimegueka jumuia muhimu sana ya chama inayomsaidia Meko kutukaza anavyotaka!!
MTU yeyote asieweza kutenganisha mema na mabaya huyo anaitwa MTU MFU anaeishi, hakuna binadamu asiyekuwa na mapungufu, hao unaodhani huwa hawakosei sio kweli hata wao wanajua huwa wanakosea ila huwa hawapendi kukosolewa, silaha yao huwa ni kiburi na watu wafu wanaoishi kama wewe mnaounga mkono hata yasiyofaa kuungwa mkono, msioweza kukemea yanayopaswa kukemewa. Hata hivyo hongera kwa tabia yako nzuri.Tunaotumia majina yetu halisi na tusio na wasi hatuna wasi.
Nyie mnaokosoa kosoa serikali na kuikwamisha isitekekeze mipango yake kwa umbea umbea ndio mtaufyata
Mungu alishafanya, labda mwanadamu atende uovu mwingine.Mungu afanye heri
Umeelewa maana ya hukumu ya kosa la pili na implication yake kwa wana JF katika uhuru wao wa kutoa maoni?Kwa hiyo mnataka kukata rufaa kwa gharama za Watanzania tena???
😂😂Wengine tumeacha Kukesha Kunywa Gongo 'Uswahilini' na hata Kuvuta Bange 'Vijiweni' kwakuwa tuko 'busy' hapa 'JF' na wakiufungia tu tutarejea.
Hapa ndipo wasiwasi unaponiingia" Eti asifanye kosa kama hilo katika kipindi cha mwaka mmoja " !
Kwa kifupi hukumu ya kosa namba mbili ni kosa la jinai kwa JF kukataa kutoa taarifa za member yoyote wa JF kwenda polisi. Kama kuna mtu ameelewa tofauti na mimi naomba ufafanuzi please!Mkuu, umeielewa hukumu lakini?
Umeelewa maana ya hukumu ya kosa namba mbili mkuu?Afadhali aisee, kusumbuana tu, ushindi wa Mexence ni ushindi wetu wana Jamii Forum [emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Mwaka mmoja ni mwingi, hii imekuwa kuwasahaulisha kidogo yale yanayopigiwa kelele, waimba mapambio wapo kazini, kutumia mwanya waliotengenezewa kuhujumu. Uhuru huu naweza sena pekee ulio bakia Tumuombe Mungu awape upofu, hata wasikumbuke nia yao ovu.Hapa ndipo wasiwasi unaponiingia
Hata mimi hicho ndicho nilichoelewa mkuu!Kwahiyo mahakama imesisitiza taarifa za hao member zitole. Kwa muktadha huo je Jf itawachinjia baharini kwa kutoa hizo taarifa au haitatoa na itakata rufaa?
Ngoja nianze kufanya marekebisho ya acc yangu kwa kubadili email na kutumia VPN tu
KUIKOSOA serikali ni KUREKEBISHA serikali ili itekeleze mipango yake vizuri..Tunaotumia majina yetu halisi na tusio na wasi hatuna wasi.
Nyie mnaokosoa kosoa serikali na kuikwamisha isitekekeze mipango yake kwa umbea umbea ndio mtaufyata
👍Kiunzi kizito hichi sio mchezo, lakini ukimtegemea Mungu atayarahisisha
Hii hukumu imekaa kimtego sana na wala sio ya kuahangilia hasa kwa sisi watumishi wa JF.