KISUTU, DAR: Maxence Melo akutwa bila hatia shtaka la Kikoa. Apewa 'Conditional Discharge' kwenye shtaka la kutotoa ushirikiano kwa Jeshi la Polisi

KISUTU, DAR: Maxence Melo akutwa bila hatia shtaka la Kikoa. Apewa 'Conditional Discharge' kwenye shtaka la kutotoa ushirikiano kwa Jeshi la Polisi

Binafsi sijaona kama ni ushindi, ndani ya mwaka mmoja asifanye kosa kama hilo yaani wakihitaji chochote ni full ushirikiano?
 
Nichukue nafasi hii adhimu kabisa Kumpongeza Mtani wangu na Kaka Maxence Melo kwa Uamuzi huu wa Haki dhidi yake na kwa Mtandao wake huu bora kabisa si Tanzania bali hadi duniani na nahisi hata huko Mbinguni tukienda huenda tukaukuta vile vile huu Mtandao wa JamiiForums. Ama hakika Mwenyezi Mungu ni wa Wote na si Wao peke yao.

Niwapongeze pia Wafanyakazi (Watendaji) wote wa Mtandao huu 'pendwa' wa JamiiForums wakiongozwa na Dada Asha D Abinallah kwa 'Uvumilivu' wenu mkubwa hasa Kipindi chote mlichokuwa mnapitia hii 'Changamoto' ya 'Kisheria' mpaka leo hii Mwenyezi Mungu kaamua Kuwaonyesha 'Magaidi wa Uhuru wa Habari' kuwa atasimama daima nanyi (JamiiForums) siku zote mpaka dunia itakapopinduka mbeleni.

Nimalizie tu kwa kusema 'JF Members' wote tuna 'Deni' Kubwa kwa Maxence Melo na huu 'Mtandao' wake na ikiwezekana atunukiwe 'Tuzo' tukuka.
 
Pia ni hatua katika kutuliza hasira ya umma, hata baada ya uchafuzi mkuu uliopita, ila bado ni hatua ya vitisho kwa uhuru wa habari, hiyo conditional discharge bado inaweza kutumika vibaya kuendeleza ukandamizaji dhidi ya jukwaa hili na wanahabari wengine.
 
Naye ajifunze kutoa haki kwa kusikilizwa mtuhumiwa aacha kutupiga Ban bila kutusikiliza, ajiulize je, asingesikilizwa angekuwa wapi leo.
Moja ya masharti ya JF of GT's ni Mods hawatamsikiliza member na maamuzi yao ni ya mwisho!
 
Nichukue nafasi hii adhimu kabisa Kumpongeza Mtani wangu na Kaka Maxence Melo kwa Uamuzi huu wa Haki dhidi yake na kwa Mtandao wake huu bora kabisa si Tanzania bali hadi duniani na nahisi hata huko Mbinguni tukienda huenda tukaukuta vile vile huu Mtandao wa JamiiForums. Ama hakika Mwenyezi Mungu ni wa Wote na si Wao peke yao.

Niwapongeze pia Wafanyakazi ( Watendaji ) wote wa Mtandao huu 'pendwa' wa JamiiForums wakiongozwa na Dada Asha D Abinallah kwa 'Uvumilivu' wenu mkubwa hasa Kipindi chote mlichokuwa mnapitia hii 'Changamoto' ya 'Kisheria' mpaka leo hii Mwenyezi Mungu kaamua Kuwaonyesha 'Magaidi wa Uhuru wa Habari' kuwa atasimama daima nanyi ( JamiiForums ) siku zote mpaka dunia itakapopinduka mbeleni.

Nimalizie tu kwa kusema 'JF Members' wote tuna 'Deni' Kubwa kwa Maxence Melo na huu 'Mtandao' wake na ikiwezekana atunukiwe 'Tuzo' tukuka.
Mkuu, umeielewa hukumu lakini?
 
Nichukue nafasi hii adhimu kabisa Kumpongeza Mtani wangu na Kaka Maxence Melo kwa Uamuzi huu wa Haki dhidi yake na kwa Mtandao wake huu bora kabisa si Tanzania bali hadi duniani na nahisi hata huko Mbinguni tukienda huenda tukaukuta vile vile huu Mtandao wa JamiiForums. Ama hakika Mwenyezi Mungu ni wa Wote na si Wao peke yao.

Niwapongeze pia Wafanyakazi ( Watendaji ) wote wa Mtandao huu 'pendwa' wa JamiiForums wakiongozwa na Dada Asha D Abinallah kwa 'Uvumilivu' wenu mkubwa hasa Kipindi chote mlichokuwa mnapitia hii 'Changamoto' ya 'Kisheria' mpaka leo hii Mwenyezi Mungu kaamua Kuwaonyesha 'Magaidi wa Uhuru wa Habari' kuwa atasimama daima nanyi ( JamiiForums ) siku zote mpaka dunia itakapopinduka mbeleni.

Nimalizie tu kwa kusema 'JF Members' wote tuna 'Deni' Kubwa kwa Maxence Melo na huu 'Mtandao' wake na ikiwezekana atunukiwe 'Tuzo' tukuka.
Mimi nasema tena, Serikali kama serikali ilitakiwa kumpa Maxence Melo na Mike Mushi tuzo kwa kuwa na hili jukwaa hapa Tanzania.

Kuna PS wawili ni watumiaji wakubwa sana wa JF ambao utendaji wao wa kazi unasaidiwa kwa kiwango kikubwa sana na maudhui yanayowekwa hapa JF.

Naamini si hao tu,hata wale top ni watumiaji wazuri sana wa JF,kwa kusoma au kuchangia.

Kama tungekuwa na watu wenye maono na wenye nia ya dhati ya kuwafanya Watanzania wainuke kiuchumi,hakika serikali ingekuwa imeshaingilia na kuipa JF kila aina ya msaada ili iwe "facebook" ya Africa na wakina Max wawe "Zuckerberg" wa Africa.
 
Naye ajifunze kutoa haki kwa kusikilizwa mtuhumiwa aacha kutupiga Ban bila kutusikiliza, ajiulize je, asingesikilizwa angekuwa wapi leo.
Moja ya masharti ya JF of GT's ni Mods hawatamsikiliza member na maamuzi yao ni ya mwisho!
Hayo tote sii ya kumlaumu,mods,hayo no matokeo ya utawala kuharamisha mawazo guru au mbadala yenye kugusa maslahi yao.
 
Inaonesha hiyo story ya CRDB na bandari ni ya ukweli na imewashika pabaya wahusika ambao wana mikono mirefu
 
Hilo kosa namba mbili wamemkuta na hatia lakini wakamuachia huru kwa kumpa hiyo "Conditional discharge"

Yani hapa mahakama inakiri amekosea lakini hawajataka kumuadhibu mpaka atakaporudia tena hilo kosa ndani ya mwaka mmoja.

Huu ni utapeli, wanachofanya hapo ni kumuweka Melo under pressure, kwamba Polisi wakirudi tena JF kutaka taarifa za watumiaji wake, Melo atoe kwa kuiogopa hiyo hukumu, lakini naamini hilo sio kosa kisheria.
Hii hukumu imekaa kimtego sana na wala sio ya kuahangilia hasa kwa sisi watumishi wa JF.
 
Back
Top Bottom