KISUTU, DAR: Maxence Melo akutwa bila hatia shtaka la Kikoa. Apewa 'Conditional Discharge' kwenye shtaka la kutotoa ushirikiano kwa Jeshi la Polisi

KISUTU, DAR: Maxence Melo akutwa bila hatia shtaka la Kikoa. Apewa 'Conditional Discharge' kwenye shtaka la kutotoa ushirikiano kwa Jeshi la Polisi

Screenshot_2020-11-17 (3) Home Twitter(1).png


Hongera sana!
 
Mungu ni mwema, kosa ni kuvunja sheria Tafadhari tusiwe wavinja Sheria.

Mbaya kabisa ni pale watu hawavunji sheria halafu wanashitakiwa Kwa Uonevu na kusingiziwa makosa, Huu huitwa ni uvumilivu wa muda mfupi mno ni Sawa na uwongo unavyoweza kumsaidia muongo Kwa siku moja pekee!
 
Kwa nliivyoelewa mimi ni kwamba amepewa onyo na mahakama kuwa asirudie tena kuficha au kukataa kutoa taarifa za mtu binafsi yaani: IP-Address, barua pepe,majina halisi ya wanachama kwa vyombo vya dola hasa hasa Polisi pindi watakapovihitaji na kapewa onyo asirudie kosa hilo ndani ya mwaka mmoja kwani kuna taarifa nahisi watazihitaji soon.

Kama hii ndivyo ilivyo basi sioni kama kuna haja ya sisi wadau kuendelea kuendelea kuandika humu au kuutumia huu mtandao kwani sio huru tena. Mie siandiki chochote humu kuanzia leo mpaka tujue hatima ya hukumu hii.
 
Kwa nliivyoelewa mimi ni kwamba amepewa onyo na mahakama kuwa asirudie tena kuficha au kukataa kutoa taarifa za mtu binafsi yaani: IP-Address,barua pepe,majina halisi ya wanachama kwa vyombo vya dola hasa hasa Polisi pindi watakapovihitaji na kapewa onyo asirudie kosa hilo ndani ya mwaka mmoja kwani kuna taarifa nahisi watazihitaji soon. Kama hii ndivyo ilivyo basi sioni kama kuna haja ya sisi wadau kuendelea kuendelea kuandika humu au kuutumia huu mtandao kwani sio huru tena. Mie siandiki chochote humu kuanzia leo mpaka tujue hatima ya hukumu hii..

======

Na wanikamate mimi Gavana . Mimi sitowacha kupigania haki.
Wajue Uingiapo kwa upanga utatoka kwa upanga
 
Jamiiforums ni mpango wa Mungu.

Ingekuwa huku nilipo jamaa @Mexence Mello angekata rufaa na kupewa fidia dollars za kutosha endapo hukumu ingeonesha hana hatia!
All the best mkuu.!
 
Kwa nliivyoelewa mimi ni kwamba amepewa onyo na mahakama kuwa asirudie tena kuficha au kukataa kutoa taarifa za mtu binafsi yaani: IP-Address,barua pepe,majina halisi ya wanachama kwa vyombo vya dola hasa hasa Polisi pindi watakapovihitaji na kapewa onyo asirudie kosa hilo ndani ya mwaka mmoja kwani kuna taarifa nahisi watazihitaji soon. Kama hii ndivyo ilivyo basi sioni kama kuna haja ya sisi wadau kuendelea kuendelea kuandika humu au kuutumia huu mtandao kwani sio huru tena. Mie siandiki chochote humu kuanzia leo mpaka tujue hatima ya hukumu hii..

======
Ni wakati sasa Maxence Melo atoe tamko la hakikisho la kutotoa siri za wateja wake kwa vyovyote vile!Au kama atatoa zikihitajika basi ni vema aweke wazi ili watu tujipange na wengine wakachome moto simu zao!
 
Hongera Maxence Melo, Huu ni ushindi. Hongereni na members wote
Sio ushindi ndugu. Mello na wenzie walikuwa wanapigania kutotoa taarifa za watumiaji wa JF lakini kutoka na hukumu ya leo ina maana kwamba wanalazimika kutoa taarifa kwa polisi pindi inapohitajika kufanya hivyo.
 
HII HUKUMU SIYO USHINDI HATA KIDOGO, MSISHANGILIE..!!

Ndiyo, inaonekana kama ya ushindi kwa Jamiiforums lakini hiyo "conditional discharge" siyo nzuri, inaharibu maana ya ushindi wote kabisa...

Kuna umuhimu mkubwa wa kukata rufaa mahakama ya juu ili ushindi kamili upatikane...

Kama ikiachwa hivi, ndani ya mwaka huu mmoja mpaka mwakani miezi kama hii, wanaJF wengi kama siyo wote watakuwa wamekwisha kuburuzwa mahakamani...

Hakuna wapiga filimbi (whistle blowers" tena chini ya Tanzania na CCM ya Magufuli...!!

Ndiyo. Ni kwa sababu imeandikwa na sheria kuwa;

"....ni kinyume cha sheria kwa mmiliki wa JF kutotoa majina ama taarifa za member wa JF yeyote iwapo serikali kupitia jeshi la polisi itaona ameandika taarifa fulani isiyowafurahisha watawala ama taasisi fulani iliyo chini ya watawala...."

In short, kwa hukumu hii, hakuna member yeyote mkosoaji wa serikali na taasisi zake na watawala kwa ujumla aliye salama tena...!

Kuna umuhimu wa kutoiacha hukumu hii isimame kama ilivyo. Kwanza inaweka "bad precedence" huko mbeleni...

Kama tunataka kuwa salama, hukumu hii ni sharti iwe overturned...

Tuwasaidie JamiiForums kupambania hili using all possible means kwa kadiri ya kila mmoja awezavyo kuchangia msaada wake kuwezesha hili...!

JF ndiyo platform pekee iliyokuwa imebaki watu kumwaga nyongo zao. Lakini kwa hukumu hii na ikiachwa hivi, basi platform hii inaenda kuchinjiliwa baharini kama main medias na main streams zote zilivyofanywa...

We have to fight this at all cost unless otherwise...
 
Hii hukumu inaonekana kama ya ushindi kwa Jamiiforums lakini hiyo "conditional discharge" siyo nzuri, inaharibu maana ya ushindi wote kabisa...

Kuna umuhimu mkubwa wa kukata rufaa mahakama ya juu ili ushindi kamili upatikane.

Kama ikiachwa hivi, ndani ya mwaka huu mmoja mpaka mwakani miezi kama hii, wanaJF wengi wataburuzwa mahakamani.

Ndiyo. Ni kwa sababu ni;

"....kinyume cha sheria kwa mmiliki wa JF kutotoa majina ama taarifa za member wa JF yeyote iwapo serikali kupitia jeshi la polisi itaona ameandika taarifa fulani isiyowafurahisha watawala ama taasisi fulani iliyo chini ya watawala."

In short, kwa hukumu hii, hakuna member yeyote mkosoaji wa serikali na taasisi zake na watawala kwa ujumla aliye salama tena!

Kuna umuhimu wa kutoiacha hukumu hii isimame kama ilivyo. Kwanza inaweka "bad precedence" huko mbeleni.

Kama tunataka kuwa salama, hukumu hii ni sharti iwe overturned.

Tuwasaidie JamiiForums kupambania hili anyway possible kwa kadiri ya kila mmoja awezavyo kuchangia msaada wake kuwezesha hili!
Maxence Melo atueleze,je ata comply kama taarifa za sisi watumiaji zitahitajika?Awe muwazi ili watu wajiandae!
 
Sio ushindi ndugu. Mello na wenzie walikuwa wanapigania kutotoa taarifa za watumiaji wa JF lakini kutoka na hukumu ya leo ina maana kwamba wanalazimika kutoa taarifa kwa polisi pindi inapohitajika kufanya hivyo.
What a good deceiver;!!

Unatisha watu for a no reason? Ili wajae woga kukosoa? Acha kupotosha wewe..!
 
Back
Top Bottom