Kisutu, Dar: Mbowe afikishwa mahakamani kwa Ugaidi. Akosa dhamana na kupelekwa rumande. Kesi kuendelea Agosti 5, 2021

They’re not gonna go all the way with it.

Lengo lao ni kumsumbua na kumnyanyasa tu.
Waache waje kusoma shitaka kikamilifu, it all borders treason. They have created it in such a way that if they push forward the charges can easily change to treason. Kupanga na kula njama za kuwauwa viongozi wa juu kabisa wa Taifa.

Na hapo kisutu ni preliminary hearing kabla ya ku commit bundle na kuipeleka mahakama kuu kwa kosa la treason. Kuna makubwa mbele.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mliosema Mwendazake alikuwa dikiteta, mtendaji wa wanasiasa, mbambikia Watu kesi haya yako wapi Sasa. Yaani michadema akili zenu za Kijinga Sana na mtaperekeshwa sana
Kwani hakuwa dikteta ?
 
Wewe unapambana na nini ?
 
Ingie barabarani kama kweli mna uchungu na Mbowe kazi kijificha Twitter na JF kupiga porojo tu, Chadema kimeishatekwa na wanaharakati uchwara wanakutana space huko Twitter kazi kusifiana huku mitaa kwenye battle wanakimbia, wamebakia kulia lia.
kila sambo lina muda wake ipo siku mtatafutana hatupo mbali endelezini kuchochoa moto
 
Kwenye hili nasema hapana, hapana, natofautiana sana na samia na serikali yake, kwenye hili hapana. hatua za haraka zinahitajika kuchukuliwa dhidi ya serikali hii.
Tundu Lissu na John Mnyika hiki ni kipimo cha uongozi wenu na umakini wenu kwa chama.
Kesi hii itamfanya mwenyekiti Mbowe akae mahabusu miaka na miaka. je chama kinachukua hatua gani dhidi ya serikali dhalimu kuwahi kutokea nchini kwetu?????
Tundu Lissu na John Mnyika itisheni mkutano mkuu wa chama , from there tekelezeni yale mtakayokubaliana, kuitangazia dunia tu kwamba serikali ya huyu mwanamke ni serikali ya kidkiteta hakufanyi mwenyekiti atoke.
 
Matabia machafu ya hao uliowataja hayahalalishi tabia chafu za wapinzani
 
Mbona hakuna Jina la Mhe. Mbowe hapa? Hii nchi haiishi vituko kwa kweli!!!
Hii kesi ni ya kubumba tu na inalazimishwa kibabe tu!!
Huyu mama si alisema kesi za muda mrefu hasa za Kisiasa na hazina Ushahidi zifutiliwe mbali??
Mbona masheikhs wa uamsho wako nje? Why Mbowe? Au kwa vile masheikh ni WAISLAMU na Mhe. MBOWE NI MKTISTO? Mama aliweke hili wazi ili Watz wajue!!!!
 
Unakosea Sana , mkuu, hoja hapa

Acha ujinga wewe jamaa na huyo Mungu wako uliyeletewa na wazungu, huyo Lord wako unayesema katengenezwa na waroma, wakamvesha na jua kichwani ili waendelee kuabudu jua lao juu ya kichwa cha huyo lord wako
Nakupa onyo pia na wewe , wewe ni nani ubishane na aliekuleta duniani, au wajiona uliota Kama mbuyu kisa wavaa pensi, Wala bia , KWA anasa za kidunia?

Sikia na elewa kua na pesa ila kubari yeye ndo die haijalishi wamtafuta pitia imani ipi ,mkuu,

Huna Cha kukieleza na WENDA ya kidunia nayajua hata kabala ya kuzaliwa tulia tuli ,nakwambia mkuu
 
Wakati mwingine mtumie akili nyie mafisi,maharamia wa kijani,ilistahili nyie mwuitwe magaidi sio hugo wa kubambikiwa kwa maslahi haramu yakakikundi fulani.
Gaidi Mbowe yupo Segerea saivi, ametulizwa na wanyampara huko, anajisugua sugua tu kunguni huko ndoo ya kinyesi ikimpa harufu saaafi kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…