Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,800
Waache waje kusoma shitaka kikamilifu, it all borders treason. They have created it in such a way that if they push forward the charges can easily change to treason. Kupanga na kula njama za kuwauwa viongozi wa juu kabisa wa Taifa.They’re not gonna go all the way with it.
Lengo lao ni kumsumbua na kumnyanyasa tu.
Na hapo kisutu ni preliminary hearing kabla ya ku commit bundle na kuipeleka mahakama kuu kwa kosa la treason. Kuna makubwa mbele.
Sent using Jamii Forums mobile app