Kisutu, Dar: Mbowe afikishwa mahakamani kwa Ugaidi. Akosa dhamana na kupelekwa rumande. Kesi kuendelea Agosti 5, 2021

Hahahaha mashinji ni waziri ? Doooh
 
Makamanda haraka Sana tuanze kuchanga pesa ya gharama ya kuendesha kesi na kumlipa wakili wa chama peter kibatala
 
Tabia chafu za wapinzani ni zipi hizo?
Matusi mliyotukana baada ya zile kauli za Rais siku kakutana na wahandishi wa habari yalikuwa madogo? Yale maswali yalikuwa ya papo kwa papo, bado mlikuwa na room ya kuhoji majibu aliyoyatoa kistaarabu, na angeweza kubadilisha majibu yake, nyie mkaopt njia ya matusi
 


Nitakuamsha huo muda

Siwezi kumtetea mwenyekiti sababu binadamu wana mengi mioyoni mwao.... Ila naweza kusema kuwa mwenyekiti huwa hakemei maovu kabisa


Your browser is not able to display this video.



Ni kama baba asiyeweza kukemea watoto wake wakorofi na hii inaweza kuwa utekelezaji wa mipango ya familia yake



Uongozi ni kutimiza wajibu na kuwajibika na Hakuna litakalofichika milele hata yale mengi tusiyoyajua yatakua wazi tuu
 
Ni vitu vinavyofanana. Tofauti ni wakati na ki jinsi gani ya ukanamizaji. Hata RSA, ANC kilikuwa ni chama halali na kilikuwa na viongozi wake na walifanya mikutano pia. Kwetu ni mbaya zaidi kwa kuwa unyanyasaji unafanya kwenye nchi huru na ndugu kwa ndugu.
 
Kuwa Tanzania ni ya CCM? Huo umefika pasipo shaka, learned person usiyejua kuandika.

Amandla....
ninyi mnasema 10 ni cdm, waliobaki ni 50m ambao ndani yake ondoa watoto 20m approximately na 2m wa ACT an NCCR. wanabaki ishirini na ngapi hapo wa chama cha kijani? hesabu ndogo ya mtu mwenye ubongo wa kawaida kabisa.
 
Beatrice Kamugisha kuwa mpole, subiri uone charge sheet ndiyo urudi kusoma ulichoandika.

Mbowe anaishi nyumba ya vioo halafu anarusha mawe nje. Lazima watakurudishia.

Maisha ya Mbowe kiuchumi na kibiashara kafanya kazi zote halali na chafu. Siku zote Deep State ipo kazini. Huwezi kuwa drug trafficker ukataka uje ututawale Watanzania.

I hope umenielewa
 
watu kama hawa nao wakiwa segerea watalalamika. hata heshima hawana.
 
unasemaje kuhusu kauli za kichochezi za mdude na Tundulisu? unaziunga mkono? mbowe anaziunga mkoni? mna agenda gani?
 
Haki nimekasirishwa sana na kitendo cha serikali kuonea wapinzani na kuwatisha kwa kumfunga mbowe. Wa ajua wanaweza kukaa naye kwa muda wanaotaka na tusifanye chochote, hii siyo sawa.
 
Haki nimekasirishwa sana na kitendo cha serikali kuonea wapinzani na kuwatisha kwa kumfunga mbowe. Wa ajua wanaweza kukaa naye kwa muda wanaotaka na tusifanye chochote, hii siyo sawa.
pasuka basi, au nenda burundi.
 
Muda sio mrefu tumeanbiwa kuwa anaumwa sana hajiwezi na polisi wamekataa kumpeleka hospitali, kuna ukweli wowote au zilikuwa ni tetesi tu kama ilivyokawaida ya BAVICHA?
Bavicha huwa wanajaribu kupima upepo wa mtaa. Mtaa nao uko busy na mambo yake. Ukipita vijiweni watu wanajadili Yanga na Simba.
Hawajui hata Mbowe kakamatwa.

Wakipita panapouzwa magazeti wakisoma habari ikionekana hiyo ya Mbowe wanasonya tu nakusema"huyu nae amezidi".
Wengine wanadai anamuonea mama,mbona kipindi cha Magu hawakuthubutu?

Chadema tengenezeni sera mbadala,hii ya katiba imebuma. Nadhani wananchi wanauelewa sana kuliko mnavyofikiri ninyi.

Mbowe na group lake,hawataamini pia uchaguzi wa 2025 watakula za uso kama 2020.

Wajipange.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…