Kisutu, Dar: Mbowe afikishwa mahakamani kwa Ugaidi. Akosa dhamana na kupelekwa rumande. Kesi kuendelea Agosti 5, 2021

Hata wewe Kamanda wa Lumumba umekata tamaa?
 
Jinga sana wew,mazombie wenzio tu ndio watakuelewa
 
Magaidi wako ndani ya ccm na sii vinginevyo!
Hii tabia ya ccm kuzusha uongo mkubwa hivi kwa watu wengine ili tu kuwatesa kumbukeni ni chukizo kwa Mola.
ndio maana mnakumbwa na mwisho mbaya na maisha yenye dhiki na yasiyo na amani ktk familia zenu. Acheni ushetani.
 
Sio msemaji lakini aliyatamka yale maneno kwenye kongamano halali la CHADEMA, na kwakua hakuna kiongozi yeyote wa chama aliyejitokeza kuipinga kauli ile ni wazi kuwa ilikuwa na baraka zote...
Mbowe alihemka kupita maelezo swala wameambiwa apatiwe mda akawa hataki na kuhamasisha maandamano nchi nzima huyo mdude ndo kwanza anajiropokea atamnyoa mama, Sasa huko ka sikupimana imani ni nini, ni nchi gani ilijengwa kwa maandamano
 
Tara 5 August kesi inaendelea, kama wewe unadhani wanamtisha sawa. Mimi nimetoa ushauri.

Hiyo kesi ya kubambikiwa na majizi ya kura haimtishi yoyote. Mpeni hukumu haraka ya kunyongwa, kisha mama wa kambo ndio akamate kitanzi kabisa, lakini katiba mpya ni lazima.
 
Mbowe alihemka kupita maelezo swala wameambiwa apatiwe mda akawa hataki na kuhamasisha maandamano nchi nzima huyo mdude ndo kwanza anajiropokea atamnyoa mama, Sasa huko ka sikupimana imani ni nini, ni nchi gani ilijengwa kwa maandamano

France, kasome vitabu vya historia.
 
Hyo ilikuwa france na jamii yetu vitu viwili tofauti, why always using njia zilizo fail ukitaka kutimiza malengo

Mandela na weusi wenzake bado wangekuwa wanateseka iwapo wangefuata ushauri wako. Au sisi jamii yetu ni ya makondoo na maiti hai?
 
Tumieni wembe ule ule kigogo kawambia azisheni makundi ya uasi mitaani muendelee kufanya ugaidi.
 
Mikwara yote ya Mbowe na wenzake kuwa tuamlisha watu waingie barabarani mpaka katiba iandikwe mara tutatumia wembe ule ule kumbe hamna kitu kiongozi wenu anadakwa kama mende wafuasi wake mmejifika mitandaoni mnabweka.
 
Dereva wa Mbowe alivyokamatwa ndio kaongea yote haya
Mbowe alikaa kimya muda wote dereva wake yupo ndani kwa nini hakuwaeleza nyumbu hii habari?
 
Tumieni wembe ule ule kigogo kawambia azisheni makundi ya uasi mitaani muendelee kufanya ugaidi.
Sasa hapo ndo watapoteana kabisa, watapigwa mpaka wachake.Labda watafute nchi yoyote itakayowapa hifadhi wakati wanaandaa hao vijana wa kigaidi ila sio Tz.
 
KESI IMEFIKA PATAMU, SASA DUNIA YOTE ILIYOKUWA HAIFAHAMU MATENDO YA CCM YA AWAMU YA 5 NA YA SASA YA AWAMU YA 6 YATAANIKWA NA KUFAHAMIKA KINAGA UBAGA....
Mandela Mandela apewe heshima. Alitoroka South Africa kwa kutumia passport ya TanzanIa kwa jina la la Hosea Mwakangale. Mnainajisi nchi yetu tukufu kwa kumuhusisha na magaidi wakikabila wanajengea biashara zao.

Henche Omera naye kumbe ni mtu wa Kenya nduguye raila mahaini tundulisu mnyiramba yeye kahongwa hela kama malaya na mabeberu. Nawasalimu kwa jina la Jamhuri.
 
Dereva wa Mbowe alivyokamatwa ndio kaongea yote haya
Mbowe alikaa kimya muda wote dereva wake yupo ndani kwa nini hakuwaeleza nyumbu hii habari?
Watu wanadhani hii kesi ni simple, na kuna yule bodyguard wa Mbowe aliekamatwa na kupewa tuhuma za ugaidi enzi za JPM,mpaka leo yupo rumande na Mbowe hajawahi kuzingumza chochote.
 
Nafikiri Rais alikuwa tayari kuzingumza na upinzani mpaka pale mlipotangaza Mpango wa kumnyoa mbele ya waandishi wa habari.

Namaanisha huu upande wa pili wa SSH,umefunuliwa na upinzani wenyewe.
Huu ni ukweli ambao CDM hawataki kuusikia, sasa wananyolewa wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…