gigabyte
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,717
- 6,465
Nchi inaangaika sana hii.Imetoka kubambikia watu kesi za uhujumu uchumi sasa hivi wameamia kwenye ugaidi.Hao viongozi wangekua wanaangaika hivi kuleta maendeleo kwa hakika tungekua mbali sana.ila nasikitika kusema akili zetu ni kiasi kidogo sana.Ujinga kama huu utakuja kua na mwisho mchungu siku moja.
