Kisutu, Dar: Mbowe afikishwa mahakamani kwa Ugaidi. Akosa dhamana na kupelekwa rumande. Kesi kuendelea Agosti 5, 2021

Kisutu, Dar: Mbowe afikishwa mahakamani kwa Ugaidi. Akosa dhamana na kupelekwa rumande. Kesi kuendelea Agosti 5, 2021

Kukusanya watu wakati wa janga(epidemic) kama korona ni ugaidi, acha ashughulikiwe!

Na zile hela wanazopokeaga Nairobi baada ya Lissu kuzisomba toka ulaya wanadhani vipepeo hawazionagi? Vipepeo wako katika inner circle ya Chadema,mnakaa mnapanga, zinavujishwa!

Angalia kiwango kikubwa cha usaliti wa viongozi wakuu wa CDM, Mashinji, aliyekuwa katibu mkuu Bavicha sasa waziri, angalia wabunge wa COVID, chama kimeingiliwa siafu,wametoka baadhi tu,wengi wamo bado
Kukusanya watu wakati Mh. Rais Samia anapita huko barabari ni uzalendo sio!!??
Kukusanya watu ndani ya uwanja wa Lake Tanganyika ni uzalendo sio!!??
Mungu Muumba tu aliyewaumba ndiye anayeweza kuelewa viumbe vyake namna yako.
 
Jpm pamoja na mabaya yake wanayosema Chadema hakuwahi kumpa kesi ya Ugaidi mwenyekiti wa wachaga na Chadema Mr Mbowe sasa Serikali ya Muhula ya 6 mliyokuwa mnaipamba na kuimba nyimbo za kusifu na kuabudu kwa roho mbaya zenu juu ya JPM anamweka ndani Mwenyekiti wenu na Kesi ya Ugaidi sasa Mbowe yupo kundi Moja na Osama
Na Nelson Mandela. Na Stokely Carmichael. Na Samora Machel. Na Che Guevara. Na Malcolm X. Na Fidel Castro.
Na acheni uongo. Mbowe siku zote alikuwa anasema hamna tofauti katika serikali ya CCM. Yeye na wenzake wamekataa katakata "kuiabudu" serikali iliyopo. Na hili linathibitisha walikuwa sahihi.

Amandla...
 
Faithfulness to God is our first obligation in all that we are called to do in the service of building our nation. 😕
 
Kukusanya watu wakati Mh. Rais Samia anapita huko barabari ni uzalendo sio!!??
Kukusanya watu ndani ya uwanja wa Lake Tanganyika ni uzalendo sio!!??
Mungu Muumba tu aliyewaumba ndiye anayeweza kuelewa viumbe vyake namna yako.
Ya Mbowe mwachie Mbowe. Ni mazito huyawezi, ikiwemo tuhuma za ugaidi.
 
Nyani Ngabu, yote hayo at what cost? Atarudi wapi kutoka hapa walipofika?
However you look at it ,sio picha nzuri kwa serikali.
Wanasema wako tayari kuzungumza na upinzani, kwa hali hii watazungumza na nani?
This is a dark day for our country.

Amandla...
Nafikiri Rais alikuwa tayari kuzingumza na upinzani mpaka pale mlipotangaza Mpango wa kumnyoa mbele ya waandishi wa habari.

Namaanisha huu upande wa pili wa SSH,umefunuliwa na upinzani wenyewe.
 
Muda mchache uliopita Mwenyekiti wa Chadema Mbowe alikuwa mahakamani Kisutu.

UPDATE:

View attachment 1869036
View attachment 1869050

TAARIFA KWA UMMA JUU YA AFYA YA MWENYEKITI WA TAIFA MHE.FREEMAN MBOWE .

Tumepokea taarifa za hivi punde kuwa Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe.Freeman Mbowe amefikishwa katika Mahakama ya Kisutu na amesomewa Mashitaka ya Ugaidi.

Hii ni pamoja na ukweli kuwa Familia na Mawakili wake walijulishwa kuwa wanampeleka hospitali na hivyo alifikishwa Mahakamani kimyakimya bila kuwa na uwakilishi wa wanasheria wala familia yake.

Taarifa zaidi zitakuja hapo baadaye ili kujua aina halisi ya mashitaka ambayo amefunguliwa (charge sheet) baada ya kuiona hati ya mashitaka .

Imetolewa Leo tarehe 26 Julai,2021

John Mrema
Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje
Unaangaika tu mkuu. Mbowe na CCM ni kitu ki1 na huo ni mkakati maalum uliopangwa kati ya CCM na Mbowe ili kipindi cha uchaguzi (2025) Mbowe atangaze kususia uchaguzi. Lengo ikiwa ni mama apete kiulaiiini. SIASA NI SAYANSI BWASHEE
 
Na Nelson Mandela. Na Stokely Carmichael. Na Samora Machel. Na Che Guevara. Na Malcolm X. Na Fidel Castro.
Na acheni uongo. Mbowe siku zote alikuwa anasema hamna tofauti katika serikali ya CCM. Yeye na wenzake wamekataa katakata "kuiabudu" serikali iliyopo. Na hili linathibitisha walikuwa sahihi.

Amandla...
Mbona mnashangaa sana Mbowe kushatakiwa? Hakuna mtu mwenye crime history ndefu kama Mbowe ila mfumo ulikuwa unammezea tu. Miaka ya 1985- 1990s alikuwa ni drug trafficker. Kuanzia 1990 amefanya biashara kwenye nyumba ya NHC kwa kutapeli mpaka 2016 Magufuli alipovunja Bilcanas.
 
Unaangaika tu mkuu. Mbowe na CCM ni kitu ki1 na huo ni mkakati maalum uliopangwa kati ya CCM na Mbowe ili kipindi cha uchaguzi (2025) Mbowe atangaze kususia uchaguzi. Lengo ikiwa ni mama apete kiulaiiini. SIASA NI SAYANSI BWASHEE

Kususia kimaslahi ni bora kuliko kushiriki ukiwa unajua huwezi pata kitu
 
SAMIA SULUHU Nchi tiyari imeshakushinda hii. Najua siyo wewe uliteyetoa maagizo haya ila ni wapambe wako wanaokushauri vibaya ukiamini kuwa kumpa Mbowe kesi ya Ugaidi itakurahisishia kuongoza Nchi. Bahati mbaya umeshauriwa vibaya sana.
 
Mbona mnashangaa sana Mbowe kushatakiwa? Hakuna mtu mwenye crime history ndefu kama Mbowe ila mfumo ulikuwa unammezea tu. Miaka ya 1985- 1990s alikuwa ni drug trafficker. Kuanzia 1990 amefanya biashara kwenye nyumba ya NHC kwa kutapeli mpaka 2016 Magufuli alipovunja Bilcanas.
hapa ndo mwisho wa ubongo wakooo au umepiga hendibleki? 👹 🙄 😎
 
Back
Top Bottom