Kisutu, Dar: Mbowe afikishwa mahakamani kwa Ugaidi. Akosa dhamana na kupelekwa rumande. Kesi kuendelea Agosti 5, 2021

Kisutu, Dar: Mbowe afikishwa mahakamani kwa Ugaidi. Akosa dhamana na kupelekwa rumande. Kesi kuendelea Agosti 5, 2021

Unakosea Sana , mkuu, hoja hapa



Nakupa onyo pia na wewe , wewe ni nani ubishane na aliekuleta duniani, au wajiona uliota Kama mbuyu kisa wavaa pensi, Wala bia , KWA anasa za kidunia?

Sikia na elewa kua na pesa ila kubari yeye ndo die haijalishi wamtafuta pitia imani ipi ,mkuu,

Huna Cha kukieleza na WENDA ya kidunia nayajua hata kabala ya kuzaliwa tulia tuli ,nakwambia mkuu
Hivyo vitu vyako unavyoamini mimi siviamini, Huyo Mungu na Lord wako wamekuwa invented na binadamu kama wewe ili kuwatawala watu kama wewe
 
Kw
unasemaje kuhusu kauli za kichochezi za mdude na Tundulisu? unaziunga mkono? mbowe anaziunga mkoni? mna agenda gani?
Kwani kusupport ndiyo unageuka kuwa gaidi.... After all ugaidi siyo maneno. Ni vitendo.
 
kwa hiyo Mungu amekuitia kwa akina mbowe, na sio kuhubiri injili, umekosa cha kufanya? nenda mitaani huko kahubiri acha kupoteza muda kubishania siasa, ninakuambia hao unaowatetea sisi wenzio tumekula nao meza moja, wanawasaliti hadi wanawang'ong'a lakini ninyi huku nje mnavyotaka kufa kwa ajili yao hadi tunawashangaa. pole sana.
Ok ,niseme hata leo wewe ulipo Kama haki YAKO ikipokonywa niatasimama kadri itakvyo , nimesoma KWA haraka andiko lako, ila ndivyo ilivyo hata Kama sijakujibu utakavyo


Ila elewa pia nimekaa miaka 33 nikiwa Sina chama , na kua na chama tz sio jinai ila niliamuamua kujiunga na CHADEMA, SO SIFICHI, NA KWA UMRI WANGU NITAFIA CHADEMA,

Sisemi kwamba vya vingine mfanoACT ,CCM NK, Kwamba havifai, WENDA vinafaa ila KWa vigezo vyangu havifai, why ,Ccm hakuna chama pale ni dola tu yatamalaki,Act nk vipo ila vinaelea, Cuf ,prof libumbu kakiua KWA mikono yake mwenyewe, na anajua na Mungu anamuona


Binafsi mpaka mda huu, natamani tz iwe na ACT, CHADEMA ,CCM , Kama vyama vilivyo imara, na tupishane KWA hoja sio blabla ,kwamba kimoja nitumie dora kua madarakani big no nahaitakua
 
Hivyo vitu vyako unavyoamini mimi siviamini, Huyo Mungu na Lord wako wamekuwa invented na binadamu kama wewe ili kuwatawala watu kama wewe
hapana, Mungu yupo, hajawa invented. cha muhimu kumpuuza huyu Mwamakula ni kuachana naye, anaamini yeye ni mtu wa Mungu kumbe ni shabiki wa mashoga. kanisa lake la anglican linaruhusu ndoa za jinsia moja.
 
Kw

Kwani kusupport ndiyo unageuka kuwa gaidi.... After all ugaidi siyo maneno. Ni vitendo.
do you know what's behind the curtain? kwa huyo mwenyekiti wenu? angeamua kufanya uovu angekuja kukuaga wewe?
 
Ok ,niseme hata leo wewe ulipo Kama haki YAKO ikipokonywa niatasimama kadri itakvyo , nimesoma KWA haraka andiko lako, ila ndivyo ilivyo hata Kama sijakujibu utakavyo


Ila elewa pia nimekaa miaka 33 nikiwa Sina chama , na kua na chama tz sio jinai ila niliamuamua kujiunga na CHADEMA, SO SIFICHI, NA KWA UMRI WANGU NITAFIA CHADEMA,

Sisemi kwamba vya vingine mfanoACT ,CCM NK, Kwamba havifai, WENDA vinafaa ila KWa vigezo vyangu havifai, why ,Ccm hakuna chama pale ni dola tu yatamalaki,Act nk vipo ila vinaelea, Cuf ,prof libumbu kakiua KWA mikono yake mwenyewe, na anajua na Mungu anamuona


Binafsi mpaka mda huu, natamani tz iwe na ACT, CHADEMA ,CCM , Kama vyama vilivyo imara, na tupishane KWA hoja sio blabla ,kwamba kimoja nitumie dora kua madarakani big no nahaitakua
ungekuwa umeitwa na Mungu wala usingekuwa hapa, ungekuwa huko unahangaika na roho za watu wanaopotea dhambini, mojawapo wakiwa kina mbowe wanaopanga kuvuruga nchi ili hata kusali tusisali kwa amani. angalia usiwe kibwetele, na pia usijiamini sana, serikali ipo na inakuheshimu tu we mwamakula, haijakushindwa. sisi wenzio tunaheshimu serkiali na mamlaka ambayo Mungu ameweka, wewe endelea kurukaruka na hicho kijoho chako.
 
Sawa.

Amandla...
You nailed it all.!! Na hiyo ndiyo Demokrasia ya kweli..👏
mandela na hii issue ni tofauti kabisa, wala usichanganye. mandela alikuwa kwenye apartheid, cdm mpo kwenye vyama vingi mnaruhusiwa hadi kuwa na mikutano ya ndani (mama alisema), matokeo yake ninyi mkamwona mpole mkaanza kuleta fujo na njama za kumzengua, matusi kibao (mdude na mbowe), ishini mkijua kuwa nchi hii sio ya wanachadema peke yake, kuna watu wengine wenye mawazo tofauti na imani tofauti na ninyi ambao pia mnatakiwa kuyaheshimu kama kweli nini ni wanademocrasia. hivyo mnapofanya yote hayo jueni kuna watanzania wengi tu hawayataki na serikali ina wajibu kuwawekea mazingira mazuri ya kuishi hao nao pia kwasababu ninyi ni fungu mojawapo tu la watz walio wengi, na hamuwakilishi watz wote.
Sawa.

Amandla...
You nailed it all.!! Na hiyo ndiyo Demokrasia ya kweli..👏
 
Unatetea upuuzi huu seriously?
"They" ni hao wanaomfungulia mashtaka. Hao ambao Mkuu wa Nchi alituambia wana tabia ya kuwabambikizia watu kesi.

Amandla...
Aliowasema mkuu wa nchi kwamba wana tabia ya kuwabambikia watu kesi tayari amewaondoa.

Waliokuwepo sasa inawezekana ni watenda haki.

Tuiache mahakama ifanye kazi yake.
 
Chocheeni kuni mbichi, Moto ukoleee, ugali uive, Mnacho taka kitokee Alikeni mamluki, Wakija wangojee, Mikeka wawekee Wanachotaka kitokee. Chochea,


Screenshot_20210726-145223-1.jpg
 
kwa hiyo Mungu amekuitia kwa akina mbowe, na sio kuhubiri injili, umekosa cha kufanya? nenda mitaani huko kahubiri acha kupoteza muda kubishania siasa, ninakuambia hao unaowatetea sisi wenzio tumekula nao meza moja, wanawasaliti hadi wanawang'ong'a lakini ninyi huku nje mnavyotaka kufa kwa ajili yao hadi tunawashangaa. pole sana.
SIkia nimekupa nafasi moja nikijua utaitumia vizuri tujadili ,kumbe hamna kitu ,upo kujitutumua Kama profile ilivyo, Kama umekula nao meza moja ni wao sio sie , inakuaje wanyama unaowalisha ,leo wakutawale ,chukulia mfano nyumbani kwako , kwamba umemfuga paka, simba, mbwa ,sungura ,kuku,alafu wakusumbue utafanya nini, ?? Nafikili wanaoliwa utawachinja wawe kitoweo na wasio liwa uatawatafutia utaratibu, please ,hao kaa nao kula nao binafsi vya haram huwa sili mpaka naingia kaburini
 
Kukusanya watu wakati wa janga(epidemic) kama korona ni ugaidi, acha ashughulikiwe!

Na zile hela wanazopokeaga Nairobi baada ya Lissu kuzisomba toka ulaya wanadhani vipepeo hawazionagi? Vipepeo wako katika inner circle ya Chadema,mnakaa mnapanga, zinavujishwa!

Angalia kiwango kikubwa cha usaliti wa viongozi wakuu wa CDM, Mashinji, aliyekuwa katibu mkuu Bavicha sasa waziri, angalia wabunge wa COVID, chama kimeingiliwa siafu,wametoka baadhi tu,wengi wamo bado
Taratibu mkuu
 
Muda mchache uliopita Mwenyekiti wa Chadema Mbowe alikuwa mahakamani Kisutu.

UPDATE:


TAARIFA KWA UMMA JUU YA AFYA YA MWENYEKITI WA TAIFA MHE.FREEMAN MBOWE .

Tumepokea taarifa za hivi punde kuwa Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe.Freeman Mbowe amefikishwa katika Mahakama ya Kisutu na amesomewa Mashitaka ya Ugaidi.

Hii ni pamoja na ukweli kuwa Familia na Mawakili wake walijulishwa kuwa wanampeleka hospitali na hivyo alifikishwa Mahakamani kimyakimya bila kuwa na uwakilishi wa wanasheria wala familia yake.

Taarifa zaidi zitakuja hapo baadaye ili kujua aina halisi ya mashitaka ambayo amefunguliwa (charge sheet) baada ya kuiona hati ya mashitaka .

Imetolewa Leo tarehe 26 Julai,2021

John Mrema
Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje

=========
UPDATE:

Kwa mujibu wa Wakili Kibatala, huenda Mbiwe ameunganishwa kwenye kesi hii [emoji1484]

View attachment 1869224
View attachment 1869223
View attachment 1869225
View attachment 1869226
View attachment 1869229
View attachment 1869227

View attachment 1869228
Rest In Peace CHACHA ZAKAYO WANGWE
 
Mbowe kaona line of weekness kwa mama anataka kuitumia kabla haijazibwa. Na mama kashaiwekea zege tayar haipitiki. Dah
 
Back
Top Bottom