Kisutu, Dar: Mbowe afikishwa mahakamani kwa Ugaidi. Akosa dhamana na kupelekwa rumande. Kesi kuendelea Agosti 5, 2021

Kisutu, Dar: Mbowe afikishwa mahakamani kwa Ugaidi. Akosa dhamana na kupelekwa rumande. Kesi kuendelea Agosti 5, 2021

Aliowasema mkuu wa nchi kwamba wana tabia ya kuwabambikia watu kesi tayari amewaondoa.

Waliokuwepo sasa inawezekana ni watenda haki.

Tuiache mahakama ifanye kazi yake.
Hamna mtu mwenye ubavu wa kuzuia kesi hiyo iendelee. Kama mnavyo tukumbusha kila siku, hii nchi ni ya CCM na mizani ya haki mmeishika. Kitu ambacho hamuwezi kutuzia ni kulalamika. Na tutaendelea kulalama.

Amandla...
 
Sasa hivi CDM wanamuona Mama hafai, wameshaanza kumkumbuka Magufuli!!
Usijidanganye. Chadema toka mwanzo walimuamini Mheshimiwa Rais aliposema kuwa yeye na Magufuli ni kitu kimoja. Kinachotokea sasa ni uthibitisho wa hilo.

Amandla...
 
ungekuwa umeitwa na Mungu wala usingekuwa hapa, ungekuwa huko unahangaika na roho za watu wanaopotea dhambini, mojawapo wakiwa kina mbowe wanaopanga kuvuruga nchi ili hata kusali tusisali kwa amani. angalia usiwe kibwetele, na pia usijiamini sana, serikali ipo na inakuheshimu tu we mwamakula, haijakushindwa. sisi wenzio tunaheshimu serkiali na mamlaka ambayo Mungu ameweka, wewe endelea kurukaruka na hicho kijoho chako.
Mungu akurehem maana upo tu na hujui ulitendao, katika watu wa ajabu leo tuliojibishana nao , umekua mbarikiwa Sasa sijui kivipi! Au ni majaribu? Mungu ananiambia umebarikiwa ila sijui , na nafunga mjadala simjibu mtu katika uzi huu, imekua na itakua Kama ilivyo,
kasali Sasa , haijatawai tokea kwangu , ukidhalau sawa ,ukizingatia sawa , ila hapo ulipo nakwambia umebarikiwa, kaubiri habari hii pale uonapo ninachokwambia kipo na kutokea, mda wowote upato matokeo chanya katika Maisha YAKO ndani ya siku 47 kamtolee sadaka mungu wako na KWA imani YAKO
thanks
 
Hamna mtu mwenye ubavu wa kuzuia kesi hiyo iendelee. Kama mnavyo tukumbusha kila siku, hii nchi ni ya CCM na mizani ya haki mmeishika. Kitu ambacho hamuwezi kutuzia ni kulalamika. Na tutaendelea kulalama.

Amandla...
Well,

Jambo jengine ambalo hatuwezi kuwazuia nalo ni kutukana watu.

Endeleeni kutukana ovyo
 
sasa chadema muamke badala kudeal Na global issues..... inabidi muanze kudeal Na national and individual issues like this..... sisi neutrals tunawashangaa tu mnavyochanganya mambo yote Kwenye kibubu kimoja..... hamkeni nyie sio chama cha kidunia..... come down to your fundamentals.....
 
Mama ukimalizana na mbowe mgeukie huyu nguchiro anaeitwa gwajima,ondoa taka taka hiyo kabisa
 
SAMIA SULUHU Nchi tiyari imeshakushinda hii. Najua siyo wewe uliteyetoa maagizo haya ila ni wapambe wako wanaokushauri vibaya ukiamini kuwa kumpa Mbowe kesi ya Ugaidi itakurahisishia kuongoza Nchi. Bahati mbaya umeshauriwa vibaya sana.
Says the guy who doesn't lead even 10 households
 
Hajawahi kuwa na nia hiyo. Aliyesema atamnyoa na wembe sio kiongozi au msemaji wa Chadema. Aidha, umesahau wimbo wenu wa " wembe ni ule ule?".
Upinzani haujafunua upande wowote. Mtu ukiwa kiongozi unatakiwa kuwa mvumilivu maana ni dhahiri hauwezi kukubalika na wote.
Unamfungaje mtu kwa kudai Katiba Mpya?Hayo ya ugaidi watadanganywa ambao toka mwanzo hawana mapenzi na Chadema.

Amandla...
Mpaka mtajane!

Ukifika muda wake mamlaka zitakutafuta ueleze, aliyesema atamnyoa Mama alikuwa ni kiongozi au sio kiongozi???? Kwa sasa tunawataka nyote mkae kwa kutulia.
 
Well,

Jambo jengine ambalo hatuwezi kuwazuia nalo ni kutukana watu.

Endeleeni kutukana ovyo
Matusi yanategemea umesimamia wapi. Watu wakisimama bungeni na kusema kuwa walifanyiwa visivyo wakiwa mahabusu wewe utaona ni mapambio. Watu wakisimama na kuwaita wabunge wenzao ni makahaba utagonga meza kwa furaha. Akisimama mbunge na kuomba ruhusa amuue kiongozi wa chama pinzani una haki ya kufurahia. Akisimama kiongozi wa chama chako na kutangaza wazi bila kificho kuwa safari iliyopita walikosea lakini safari ijayo watamchoma sindano ya sumu kiongozi wa chama cha upinzani utampigia makofi na kumpa ukuu wa wilaya. Akisimama polisi ambae hatakiwi kuwa na upande wowote na kumbeza kiongozi wa chama cha upinzani utaona sawa tu maana hana haki katika nchi yako. Vijana wa chama chako wakipigwa picha wakiwa wanamshambulia kwa matofali mwanachama wa chama kingine unaona sawa tu maana kama nilivyosema, hii ni nchi yako na inabidi watu watambue hilo. Kwa mtaji huo tushangae kipi kutoka kwenu?

Amandla...
 
Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Aikael Mbowe amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo na kusomewa mashtaka mawili likiwemo la Ugaidi.

Mbowe amefikishwa katika Mahakama hiyo leo July 26, 2021 na kusomewa mashataka hayo mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba ambapo akisoma hati ya mashtaka, Wakili wa Serikali Tulimanjwa Majigo amesema kuwa Mbowe anaunganishwa na Washtakiwa wengine watatu waliokuwa wanakabiliwa na mashtaka mengine yote ya ugaidi wanayodaiwa kuyatenda mwaka 2020.

Katika kosa la kwanza, Mbowe anadaiwa kula njama ya kutenda kosa hilo kati ya Mei na Agosti 2020 akiwa katika Hoteli ya Aishi Mkoani Kilimanjaro, kosa la pili la Mbowe ni kutoa fedha kwa ajili ya kufadhili ugaidi kinyume cha sheria ya ugaidi kati ya tarehe hizo tajwa.

Baada ya kusomewa maelezo Mbowe hakutakiwa kujibu chochote kwa kuwa Mahakama hiyo haina mamlaka.

Kesi imeahirishwa hadi Agosti 5, 2021 na upelelezi umekamilika ambapo zinasubiriwa nyaraka ili ihamishiwe Mahakama Kuu
Hakuna kesi hapo yaani toka may mpaka August mbowe alikuwa hotelini tu anapanga njama?


Kweli tuna polisi pumpuchi kabisa ndio maana nyuso zao kama k.....u......m.....a
 
Mpaka mtajane!

Ukifika muda wake mamlaka zitakutafuta ueleze, aliyesema atamnyoa Mama alikuwa ni kiongozi au sio kiongozi???? Kwa sasa tunawataka nyote mkae kwa kutulia.
Hamna aliyekaa kwa kutulia. Usijidanganye kwenye hilo. Watu wataendelea kusikitika tu.

Hiyo mamlaka itakayo mtafuta Fundi Mchundo kuhusu nafasi ya Mdude Nyalali katika Chadema itakuwa haimtendei haki. Lakini sitashangaa maana tushavuka rubicon.

Na kwa vile tumeishia kwenye vitisho naona tusiendelee na mjadala wetu.

Amandla...
 
Kwani wewe unajua Nini mkuu. Akikosea Mbowe sio kosa. Eti are they seriously going on with it? Who are these „THey. „
Issue sio kukosea issue ni muda!! Kwamba gaidi anakuwa gaidi pale tu anapotaka katiba mpya sio pale anapokuwa ametulia kwake?
 
Back
Top Bottom