Kisutu, Dar: Mbowe afikishwa mahakamani kwa Ugaidi. Akosa dhamana na kupelekwa rumande. Kesi kuendelea Agosti 5, 2021

Kisutu, Dar: Mbowe afikishwa mahakamani kwa Ugaidi. Akosa dhamana na kupelekwa rumande. Kesi kuendelea Agosti 5, 2021

Matusi mliyotukana baada ya zile kauli za Rais siku kakutana na wahandishi wa habari yalikuwa madogo? Yale maswali yalikuwa ya papo kwa papo, bado mlikuwa na room ya kuhoji majibu aliyoyatoa kistaarabu, na angeweza kubadilisha majibu yake, nyie mkaopt njia ya matusi
Ni matusi gani hayo na alitukana nani?
 
Inavyoelekea kupatikana kwa katiba mpya ni mpaka damu zimwagike. Ingekua ni nchi nyingine sasa hivi barabara zingefurika, kiongozi Mkuu wa Chama cha Upinzani kuwa jela si jambo dogo.
Watanzania wa leo wengi wanajitambua, hawako tayari kutumiwa kama daraja la kufikia mafanikio ya mwanasiasa yoyote yule. Kama watoto wa Mbowe mwenyewe hawajaonesha mfano wa kuingia barabarani kumpigania baba yao, ni vipi vijana wengine wataacha shughuli zao wakampiganie baba wa mwenzao?
 
Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Aikael Mbowe amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo na kusomewa mashtaka mawili likiwemo la Ugaidi.

Mbowe amefikishwa katika Mahakama hiyo leo July 26, 2021 na kusomewa mashataka hayo mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba ambapo akisoma hati ya mashtaka, Wakili wa Serikali Tulimanjwa Majigo amesema kuwa Mbowe anaunganishwa na Washtakiwa wengine watatu waliokuwa wanakabiliwa na mashtaka mengine yote ya ugaidi wanayodaiwa kuyatenda mwaka 2020.

Katika kosa la kwanza, Mbowe anadaiwa kula njama ya kutenda kosa hilo kati ya Mei na Agosti 2020 akiwa katika Hoteli ya Aishi Mkoani Kilimanjaro, kosa la pili la Mbowe ni kutoa fedha kwa ajili ya kufadhili ugaidi kinyume cha sheria ya ugaidi kati ya tarehe hizo tajwa.

Baada ya kusomewa maelezo Mbowe hakutakiwa kujibu chochote kwa kuwa Mahakama hiyo haina mamlaka.

Kesi imeahirishwa hadi Agosti 5, 2021 na upelelezi umekamilika ambapo zinasubiriwa nyaraka ili ihamishiwe Mahakama Kuu
CDM, hii hoja ambayo mnatumia hata vitisho ili iwekwe mezani, ya katiba mpya, ina umuhimu huo kwa sasa? Je hiyo njia mnayotumia ni sahihi?
Tumuache mama aongoze. Tunamzingua acha naye atuzingue kidogo
 
Yaani Mbowe anakatisha msiba wa kaka yake anatamka wazi kuwa anakwenda Mwanza kifanya kongamano hata kama polisi wamezuia tutafanya kwa nguvu kama kutukamata basi wanakame mimi, na kikikamatwa sitaki dhamana sasa mnalia lia nini.
Hiyo ndiyo 'audio' ya maneno aliyosema Mbowe?

Kwa hiyo kuyasema hayo maneno kama kweli aliyasema, ndiyo sababu ya kutuhumiwa kwa ugaidi?

Hakuna "anayelialia" hapa, watu wanatoa maoni yao kuhusu uonevu unaoonekana kufanyika.

Kama kweli kuna uhalifu, hatua zinazochukuliwa juu ya Mbowe ni kama ni za kumkomoa yeye na wafuasi wake. unaoonekana kuwa uonevu wa maksudi.
 
Kwani wewe unajua Nini mkuu. Akikosea Mbowe sio kosa. Eti are they seriously going on with it? Who are these „THey. „
We mjinga tu, huu ni ushetani usiovumiliwa.

Magaidi mliwatoa juzi kati na walikua wameshadhuru jamii, mbowe katenda kosa gani la kudhuru jamii, mlimuacha jiwe bila kumshitaki kwa ugaidi wa kuua kina saa nane mnabambikiza watu kesi za kijinga.

God is gud all the time
 
Beatrice Kamugisha kuwa mpole, subiri uone charge sheet ndiyo urudi kusoma ulichoandika.

Mbowe anaishi nyumba ya vioo halafu anarusha mawe nje. Lazima watakurudishia.

Maisha ya Mbowe kiuchumi na kibiashara kafanya kazi zote halali na chafu. Siku zote Deep State ipo kazini. Huwezi kuwa drug trafficker ukataka uje ututawale Watanzania.

I hope umenielewa
Mmachame alishawahi kuuza ngada miaka ya nyuma?.

Pale Bilicanas miaka ile ya 1980-90 kulikuwa na bro mmoja anazungukazunguka maeneo yale akiuza hizo vitu.
 
Inavyoelekea kupatikana kwa katiba mpya ni mpaka damu zimwagike. Ingekua ni nchi nyingine sasa hivi barabara zingefurika, kiongozi Mkuu wa Chama cha Upinzani kuwa jela si jambo dogo.
Unafikiri changamoto iko wapi?
 
Tanzania ni nchi inayo heshimu na kufuata Utawala wa sheria.
Hakuna aliye juu ya sheria.
sheria haiangalii hali ya mtu, cheo chake, uwezo wake, tajiri au masikini sote tuko sawa mbele ya sheria.
ukifanya kosa la kijinai utachukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria.
ndicho kilicho tokea, sasa hapo inabaki kuwa kazi ya mahakama kutoa haki.
 
Inawezekana kabisa mbowe alifanya kitu kumlenga sabaya
 
Tatizo na nyinyi Chadema mlianza shobo mapema sana kwa Samia mlikuwa nyinyi ndo mmepewa kazi ya kusifu na kuabudu ghafla mwenyekiti wenu kajitokeza alipojificha na kutaka kukutana na Rais lile tu nikajua bhasi siku zote mwanamke ukimshobokea sana anakudharau hata kama alikuwa na interest na ww [emoji23][emoji23]

Jpm pamoja na mabaya yake wanayosema Chadema hakuwahi kumpa kesi ya Ugaidi mwenyekiti wa wachaga na Chadema Mr Mbowe . Sasa Serikali ya Muhula wa 6 mliyokuwa mnaipamba na kuimba nyimbo za kusifu na kuabudu kwa roho mbaya zenu juu ya JPM, inamweka ndani Mwenyekiti wenu na Kesi ya Ugaidi


Mbowe yupo kundi Moja na Osama na Chadema ni Chama cha kigaidi kikiungana na Abu Sayyaf Group (ASG),Afghan Taliban,Al-Nusrah Front, Al-Shabaab,Ansar al-Sharia, Ansar Bayt al-Maqdis (ABM), Al-Qa'ida Core (AQ)
Umesahau na Muslim Brotherhood kilichopigwa ban Misri, Ooh Mama anaupiga mwingi, huo ndo Mwingi sasa

Sent from my LDN-L21 using JamiiForums mobile app
 
Tuache kulia lia sasa wakuu. Hakuna njia ya amani itakayoleta mabadiliko, Kongo na mataifa mengine silah zipo, mapanga yapo, uwezekano upo mkubwa tu wa kukata migomba mmoja baada ya mwingine mpaka waseme po
Tangulia tu mkuu tupo nyuma yako!
 
Samia anaichimbia hii nchi kaburi. Hii ndio serikali inayosema eti polisi wasiwabambikie watu vyesi sasa hapa ujinga gani wanafanya.
 
Back
Top Bottom