Kisutu, Dar: Robert Kisena apandishwa Kizimbani kwa Utakatishaji fedha, asomewa mashitaka 33

Kisutu, Dar: Robert Kisena apandishwa Kizimbani kwa Utakatishaji fedha, asomewa mashitaka 33

Halafu nashangaa wamempeleka mahakamani haraka, no one around in the court room.

Mradi wa huyu jamaa ndio tatizo, siku zote naamini hana kosa; najua kuna mafisadi wengi walikuwa wakiutolea macho, wanataka kumpoteza kabisa wajipigie kwa uhakika.
Robert ni mchafu sana na ni mpigaji hodari!
 
Back
Top Bottom