Kisutu, Dar: Robert Kisena apandishwa Kizimbani kwa Utakatishaji fedha, asomewa mashitaka 33

Kisutu, Dar: Robert Kisena apandishwa Kizimbani kwa Utakatishaji fedha, asomewa mashitaka 33

Wataachiwa huru tu ni suala la muda, shida ilikuwa ule ukurugenzi wa UDART basi
 
Milion 750 nadhani alimtapeli ndegesela.

Robert ni mjanja mjanja sana na binam yake kulwa na dogo lakd willi.
Uda nzima ilijaa watu wa malampaka.

Kama kwenye uzi huu atasoma ricardo nichek inbox
Ilikuuma?
 
View attachment 2218108
Robert Kisena (wa kwanza kulia) akiwa na washtakiwa wenzake

Aliyekuwa Mkurugenzi wa Mradi wa Mabasi yaendayo kasi (UDART) Robert Kisena na wenzake watatu wamesomewa mashtaka 33 katika kesi mbili tofauti kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ikiwemo Utakatishaji wa fedha na kuongoza genge la uhalifu.

Kwenye kesi namba 21 ya mwaka 2022 inawahusu Kisena na wenzake wawili ambapo ni Charles Newe (48) na Tumaini Kulwa (44) wanadaiwa kujipatia kwa njia ya udanganyifu kaisi cha cha Shilingi 4.5 Bilioni huku wakituhumiwa kutakatisha na kusababisha hasara serikali kiasi hicho hicho.

Katika kesi namba 20 ya mwaka 2022 Kisena na washtakiwa watatu akiwemo Newe, Kulwa na John Samangu (66) wanadaiwa kutakatisha kiasi cha Shilingi Milioni 750 ambazo zinadaiwa kuwa ni zao la kughushi na kulaghai.

Washtakiwa hawakuwa na haki ya kujibu chochote kwa Mahakama hiyo kwani haina uwezo wa kusikiliza shauri hilo kisheria.

Watuhumiwa wamerejeshwa mahabusu ya magereza mpaka tarehe 23 Mei 2022 shauri hilo litakapotajwa.

Wote Wamekosa dhamana.

PIA, SOMA:

- Robert Kisena wa UDA na wenzake, wafikishwa Mahakamani Kisutu, wasomewa Mashtaka 19
- Kisutu: Robert Kisena afutiwa Mashtaka ya utakatishaji fedha na Mahakama. Yeye na Mkewe wakamatwa tena, wafunguliwa mashtaka mapya
Kesi kufufuliwa kwake ndo kumalizwa kwake. Hii kesi inaenda kuisha for good now.Hawa jamaa walikuwa na battle na mwendazake ila walikuwa karibu na mtangulizi wake. I expect this case to be over very soon na jamaa watarudishiwa kila walichonyang'anywa ikiwemo na hisa zao za mradi wa Mabasi yaendayo haraka.
 
Milion 750 nadhani alimtapeli ndegesela.

Robert ni mjanja mjanja sana na binam yake kulwa na dogo lakd willi.
Uda nzima ilijaa watu wa malampaka.

Kama kwenye uzi huu atasoma ricardo nichek inbox
Ricardo katibu tarafa za hivi,mzee kama mnamjua huyu bwana basi na wewe ni wa malampaka.
 
Ngoja niangalie tena picha, nimeona jakaya hapo juu.
 
TISS nao hawahusiki make basi tutaamini kumbe nao upitiwa na usingizi huku nchi inatafunwa
 
Kesi kufufuliwa kwake ndo kumalizwa kwake. Hii kesi inaenda kuisha for good now.Hawa jamaa walikuwa na battle na mwendazake ila walikuwa karibu na mtangulizi wake. I expect this case to be over very soon na jamaa watarudishiwa kila walichonyang'anywa ikiwemo na hisa zao za mradi wa Mabasi yaendayo haraka.
Waliachiwa? Tafadhali tupatie feedback. Wanaweza kuwa walichongewa tu kwa mkuu wa nchi
 
Haya mambo inaonekana nyuma yake kuna mkono mrefu usioonekana.

Huyu jamaa kawekwa kati na makundi mawili ya wapigaji, moja kiongozi wao alishatwaliwa, na jingine kiongozi wake bado yupo, ndilo limeshika hatamu kwa sasa, hakika ana mtihani.
Ohooo Kumbe 👁😳
 
Hilo pozi lake la kijinga ndio litakalowaponza yeye na wenzake.
Mahakimu wetu ni very emotional. Unaweza pewa mvua kwa kutotamka neno muheshimiwa. Hilo pozi ajiandae kuwa nalo Segerea.
Ukimuona mbuzi juu ya mti ujue kapandishwa 👁🫀😳
 
Back
Top Bottom