jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,329
- 25,263
Hawafanani na hizo fedha kivipi mkuu? Mavazi?Mbona wote hawafanani na hizo fedha? Wote wanaonekana ni pori pori isijekuwa wamebambikiziwa mapapa wanapeta nje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawafanani na hizo fedha kivipi mkuu? Mavazi?Mbona wote hawafanani na hizo fedha? Wote wanaonekana ni pori pori isijekuwa wamebambikiziwa mapapa wanapeta nje
Naunga mkono hojaWote wapewa shaba kesi ikithibitika. Mali zao zote zitaifishwe. Ndivyo tutavyokomeza ufisadi.
Yataishaje wakati hawajahukumiwa?Duh...!. Kumbe haya mambo bado yanaendelea?!.
P
Huyu ni mpigaji, na hao wanaomendea nao ni wapigaji. Hii ni vita ya mafisi.Kwanini awaachie haki yake? wacha aendelee kupambana nao, ikishindikana haki kupatikana mahakamani, karma will do.
Usimtete huyu mwizi mshirika wa Ridhwani Kikwete kwenye miradi yao ya wizi wizi!! Hawa ndio walifirisi UDA kwa mambo yao ya kifisadi enzi ya Kikwete wakishirikiana na Marehemu Idd Simba na Alhaj Profesa Juma Athumani Kapuya!! Genge la Vasco Dagama!!Halafu nashangaa wamempeleka mahakamani haraka, no one around in the court room.
Mradi wa huyu jamaa ndio tatizo, siku zote naamini hana kosa; najua kuna mafisadi wengi walikuwa wakiutolea macho huo mradi, wanataka kumpoteza kabisa wajipigie kwa uhakika.
Watu wengine huwa hawashibi pesa mpaka watakapokutana na tani saba za mchanga !! Salaaleeh !!Usimtete huyu mwizi mshirika wa Ridhwani Kikwete kwenye miradi yao ya wizi wizi!! Hawa ndio walifirisi UDA kwa mambo yao ya kifisadi enzi ya Kikwete wakishirikiana na Marehemu Idd Simba ngina Alhaj Profesa Juma Athumani Kapuya!! Genge na Vasco Dagama!!
Watu wengine huwa hawashibi pesa mpaka watakapokutana na tani saba za mchanga !! Salaaleeh !!
Mshirika kivipi halafu asumbuliwe mpaka sasa wakati washirika wenzie wameshika hatamu?Usimtete huyu mwizi mshirika wa Ridhwani Kikwete kwenye miradi yao ya wizi wizi!! Hawa ndio walifirisi UDA kwa mambo yao ya kifisadi enzi ya Kikwete wakishirikiana na Marehemu Idd Simba na Alhaj Profesa Juma Athumani Kapuya!! Genge na Vasco Dagama!!
Milion 750 nadhani alimtapeli ndegesela.
Robert ni mjanja mjanja sana na binam yake kulwa na dogo lakd willi.
Uda nzima ilijaa watu wa malampaka.
Kama kwenye uzi huu atasoma ricardo nichek inbox
Ngoja utasikia mwendelezo wa hii kesi!! Kesi ngapi za kusisimua umezisoma magazetini halafu ziiiiiiiiii huzisikii tena? Nchi hii inaongozwa na wahuni ! Ile ya wale waliokuwa wameunganisha bomba la Mafuta Kigamboni umeisikia tena?Mshirika kivipi halafu asumbuliwe mpaka sasa wakati washirika wenzie wameshika hatamu?
Huyo jamaa amewekwa mtu kati, siku akikubali kuachia wanavyotaka wenyewe wataachana nae, na watafanya hivyo muda wowote, naamini hata hiyo kesi ni mojawapo ya njia za kumtisha ili awapishe.Ngoja utasikia mwendelezo wa hii kesi!! Kesi ngapi za kusisimua umezisoma magazetini halafu ziiiiiiiiii huzisikii tena? Nchi hii inaongozwa na wahuni !
Kesi ya Tangu 2019? Who was the president?Duh...!. Kumbe haya mambo bado yanaendelea?!.
P
Mahakama hazijawahi kukosa wateja.Duh...!. Kumbe haya mambo bado yanaendelea?!.
P