Kisutu: Erick Kabendera afikishwa mahakamani, upelelezi dhidi yake haujakamilika

Kisutu: Erick Kabendera afikishwa mahakamani, upelelezi dhidi yake haujakamilika

Papaa Mobimba

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2018
Posts
882
Reaction score
3,337
Wakili Mwandamizi wa Serikali, Wankyo Simon ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa upelelezi wa kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Mwandishi wa Kujitegemea wa Habari za uchunguzi, Erick Kabendera bado haujakamilika

Kabendera anashtakiwa kwa Makosa matatu ikiwemo kukwepa Kodi kiasi cha Tsh. Milioni 173,247,047.02, Utakatishaji Fedha na kujihusisha na genge la uhalifu Makosa ambayo yote hayana dhamana

Kabla ya kushtakiwa kwa Makosa tajwa hapo juu, Kabendera alihojiwa na Jeshi la Polisi kwa kuwa na mashaka juu ya uraia wake na baadaye kudaiwa kukiuka sheria ya Makosa mtandaoni (Cyber Crimes Act) hadi aliposomewa mashitaka ya uhujumu uchumi

Mwandishi huyo wa kujitegemea ambaye amekuwa akichapisha habari zake katika vyombo mbalimbali nchini na ulimwenguni alikamatwa nyumbani kwake Mbweni, mnamo Julai 29, 2019

Pia soma


ECUBqUkXkAAoAfw.jpg
 
Wakili Mwandamizi wa Serikali, Wankyo Simon ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa upelelezi wa kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Mwandishi wa Kujitegemea wa Habari za uchunguzi, Erick Kabendera bado haujakamilika

Kabendera anashtakiwa kwa Makosa matatu ikiwemo kukwepa Kodi kiasi cha Tsh. Milioni 173,247,047.02, Utakatishaji Fedha na kujihusisha na genge la uhalifu Makosa ambayo yote hayana dhamana

Kabla ya kushtakiwa kwa Makosa tajwa hapo juu, Kabendera alihojiwa na Jeshi la Polisi kwa kuwa na mashaka juu ya uraia wake na baadaye kudaiwa kukiuka sheria ya Makosa mtandaoni (Cyber Crimes Act) hadi aliposomewa mashitaka ya uhujumu uchumi

Mwandishi huyo wa kujitegemea ambaye amekuwa akichapisha habari zake katika vyombo mbalimbali nchini na ulimwenguni alikamatwa nyumbani kwake Mbweni, mnamo Julai 29, 2019

Ukidonyoa lazima udonyolewe,ngoma mbichi ,kwa sasa asiwaze uraiani,atajiumiza,ngomeni kwasasa ndio eneo lake maalum.
Jela zilianza enzi za mitume
 
Wakili Mwandamizi wa Serikali, Wankyo Simon ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa upelelezi wa kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Mwandishi wa Kujitegemea wa Habari za uchunguzi, Erick Kabendera bado haujakamilika

Kabendera anashtakiwa kwa Makosa matatu ikiwemo kukwepa Kodi kiasi cha Tsh. Milioni 173,247,047.02, Utakatishaji Fedha na kujihusisha na genge la uhalifu Makosa ambayo yote hayana dhamana

Kabla ya kushtakiwa kwa Makosa tajwa hapo juu, Kabendera alihojiwa na Jeshi la Polisi kwa kuwa na mashaka juu ya uraia wake na baadaye kudaiwa kukiuka sheria ya Makosa mtandaoni (Cyber Crimes Act) hadi aliposomewa mashitaka ya uhujumu uchumi

Mwandishi huyo wa kujitegemea ambaye amekuwa akichapisha habari zake katika vyombo mbalimbali nchini na ulimwenguni alikamatwa nyumbani kwake Mbweni, mnamo Julai 29, 2019


Jitu oga kama sijui nini!

Bure kabisa!

Unaonea watu wanyonge kabisa wasio na nguvu yoyote!
 
Wakili Mwandamizi wa Serikali, Wankyo Simon ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa upelelezi wa kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Mwandishi wa Kujitegemea wa Habari za uchunguzi, Erick Kabendera bado haujakamilika

Kabendera anashtakiwa kwa Makosa matatu ikiwemo kukwepa Kodi kiasi cha Tsh. Milioni 173,247,047.02, Utakatishaji Fedha na kujihusisha na genge la uhalifu Makosa ambayo yote hayana dhamana

Kabla ya kushtakiwa kwa Makosa tajwa hapo juu, Kabendera alihojiwa na Jeshi la Polisi kwa kuwa na mashaka juu ya uraia wake na baadaye kudaiwa kukiuka sheria ya Makosa mtandaoni (Cyber Crimes Act) hadi aliposomewa mashitaka ya uhujumu uchumi

Mwandishi huyo wa kujitegemea ambaye amekuwa akichapisha habari zake katika vyombo mbalimbali nchini na ulimwenguni alikamatwa nyumbani kwake Mbweni, mnamo Julai 29, 2019

kama ni kweli AFUNGWE
 
saliti la taifa limekua nyonge?.stupid

Saliti la taifa lipi?

Kasaliti kwa kuandika ukweli unaondelea humu?

Makala ya The Economics kuna uongo gani mle?

Mbuzi nyie!

Punguani kabisa!

Taifa ni Jiwe?Hivi tangu lini Jiwe kawa Taifa?

Taifa ni serikali ya CCM tangu lini?

Fvck you,your maker and everybody in your camp put together!

Showing that all of you are pussies mnamjengea makosa ya kutunga!

Y’all motherfuckers are pussies!

Fvxk outta here you ugly Jiwe blowjob givers!

Get on yo’ knees,I pull my dick in public,suck it you fags!
 
Wakili Mwandamizi wa Serikali, Wankyo Simon ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa upelelezi wa kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Mwandishi wa Kujitegemea wa Habari za uchunguzi, Erick Kabendera bado haujakamilika

Kabendera anashtakiwa kwa Makosa matatu ikiwemo kukwepa Kodi kiasi cha Tsh. Milioni 173,247,047.02, Utakatishaji Fedha na kujihusisha na genge la uhalifu Makosa ambayo yote hayana dhamana

Kabla ya kushtakiwa kwa Makosa tajwa hapo juu, Kabendera alihojiwa na Jeshi la Polisi kwa kuwa na mashaka juu ya uraia wake na baadaye kudaiwa kukiuka sheria ya Makosa mtandaoni (Cyber Crimes Act) hadi aliposomewa mashitaka ya uhujumu uchumi

Mwandishi huyo wa kujitegemea ambaye amekuwa akichapisha habari zake katika vyombo mbalimbali nchini na ulimwenguni alikamatwa nyumbani kwake Mbweni, mnamo Julai 29, 2019


Mnaojua Saikolojia vyema naomba mtusaidie mkimuona Mtu ambaye mwanzoni alikuwa akionyesha ama Jeuri fulani hivi au akijiamini sana au haogopi chochote hasa akiwa Mahakamani halafu ghafla baada ya Wiki moja baadae anaonekana Mahakamani akiwa Mpole, Mtiifu na mwenye Kutia Huruma hapa huwa kunakuwa na nini labda kimetokea au kimemtokea? Nitakuwa ni mwenye furaha Kubwa nikielimishwa juu ya nilichokiuliza na Wataalam mbalimbali wa Saikolojia hasa waliopo hapa JamiiForums.
 
saliti la taifa limekua nyonge?.stupid
Kwa nature ya maisha kila utakalolifanya ni lazima uwe unasaliti upande mwingine, na hii ni kwa nia njema ili maisha yaendelee. Ndio maana waliobadili dini na kuamua kushika dini za 'kistaarabu' walionekana wakisaliti tamaduni zao, walioamua kuhamia mijini kutafuta maisha walionekana kusaliti walikozaliwa. Na hata walioavutiwa na sera za vyama fulani na kuhamia vingine walionekana wamesaliti walikokuwa.
Hii imepelekea wajuzi wa mambo ya kijamii kuja na wazo la uhuru wa kuishi na kuamua (liberty) ili watu fulani wasiishi juu ya mawazo ya wengine.
 
Saliti la taifa lipi?

Kasaliti kwa kuandika ukweli unaondelea humu?

Makala ya The Economics kuna uongo gani mle?

Mbuzi nyie!

Punguani kabisa!

Taifa ni Jiwe?Hivi tangu lini Jiwe kawa Taifa?

Taifa ni serikali ya CCM tangu lini?

Fvck you,your maker and everybody in you camp put together!

Showing that all of you are pussies mnamjengea makosa ya kutunga!

Y’all motherfuckers are pussies!

Fvxk outta here you ugly Jiwe blowjob givers!

Get on yo’ knees,I pull my dick in public,suck it you fags!
Tulia dawa iwaingie washenzi nyie, unaanzaje kumtukana mkuu wa nchi wakati unajua nje ya mipaka ya nchi ndiye alama/nembo ya Taifa, watoe pu.mbu kabisa mwehu uyo.
 
Mnaojua Saikolojia vyema naomba mtusaidie mkimuona Mtu ambaye mwanzoni alikuwa akionyesha ama Jeuri fulani hivi au akijiamini sana au haogopi chochote hasa akiwa Mahakamani halafu ghafla baada ya Wiki moja baadae anaonekana Mahakamani akiwa Mpole, Mtiifu na mwenye Kutia Huruma hapa huwa kunakuwa na nini labda kimetokea au kimemtokea? Nitakuwa ni mwenye furaha Kubwa nikielimishwa juu ya nilichokiuliza na Wataalam mbalimbali wa Saikolojia hasa waliopo hapa JamiiForums.
Subiri Lissu akija atakujibu mkuu, alifinywa siku kadhaa tu alipotoka anahojiwa na watu wa media kajibu huku anafuta machozi "kule sio kuzuri".
 
Tulia dawa iwaingie washenzi nyie, unaanzaje kumtukana mkuu wa nchi wakati unajua nje ya mipaka ya nchi ndiye alama/nembo ya Taifa, watoe pu.mbu kabisa mwehu uyo.

Kamtukanaje?

Are you on cocaine????

Kwa bongo zenu ni tusi,kwetu sisi na mahakama sio tusi ndio mkaona mfanyeje zaidi ya kumuwekea makosa mengine kabisa ya kutunga?!

Viuno nyie!

Mnajua kabisa lile sio tusi ndio maana mahakamani mkakosa grounds mkaamua kuja na uraia nako mkafeli mkaishia kutunga uhujumu uchumi!

Majitu ya CCM ni hovyo sana,akili yametoa kichwani yakaziweka matak0ni!

Viuno nyote!
 
Mwandishi wa habari Erick Kabendera arudishwa rumande kwa siku 12
Monday August 19 2019
Kesi inayomkabili mwandishi wa habari za uchunguzi nchini Tanzania, Erick Kabendera imeahirishwa hadi Agosti 30, 2019 itakapotajwa tena kutokana na hakimu mkazi mwandamizi, Augustine Rwizile kupata udhuru.
 
Back
Top Bottom