Kisutu: Erick Kabendera afikishwa mahakamani, upelelezi dhidi yake haujakamilika

Kisutu: Erick Kabendera afikishwa mahakamani, upelelezi dhidi yake haujakamilika

Kwa nature ya maisha kila utakalolifanya ni lazima uwe unasaliti upande mwingine, na hii ni kwa nia njema ili maisha yaendelee. Ndio maana waliobadili dini na kuamua kushika dini za 'kistaarabu' walionekana wakisaliti tamaduni zao, walioamua kuhamia mijini kutafuta maisha walionekana kusaliti walikozaliwa. Na hata walioavutiwa na sera za vyama fulani na kuhamia vingine walionekana wamesaliti walikokuwa.
Hii imepelekea wajuzi wa mambo ya kijamii kuja na wazo la uhuru wa kuishi na kuamua (liberty) ili watu fulani wasiishi juu ya mawazo ya wengine.
Kwahiyo Magufuli yuko sawa,hamtakiwi kukimbilia kwa mabeberu kushitaki
 
Picha ya leo anaonekana ni Mtu mwenye kutia Huruma, Kujutia Jambo fulani, hajapata Usingizi mzuri, alikuwa hapumziki, ana Maumivu ya jumla jumla ( Watu wa Medani hapa najua mtakuwa mmenielewa ) lakini kubwa ni mwenye mawazo mengi ndani yake. Hata hivyo bado nawasubiria Wanasaikolojia Wabobezi / Wabobevu wa JamiiForums ili wao ndiyo wanielimishe vizuri zaidi hasa juu ya Picha zake pamoja na Mwonekano wake wa leo pale Mahakamani. Bila shaka Sisi ambao hatujawahi Kukamatwa ( Kusumbuliwa ) na Mamlaka ila tunapiga mno Makelele Mitandaoni kuna la Kujifunza na kuwa nalo Makini.

Kama nia ni kutisha Raia mmesha feli kwa Asilimia kubwa ,tafuteni njia nyingine ya kuendelea kutawala ila upo Mwisho wenu tu.
 
Ukidonyoa lazima udonyolewe,ngoma mbichi ,kwa sasa asiwaze uraiani,atajiumiza,ngomeni kwasasa ndio eneo lake maalum.
Jela zilianza enzi za mitume
Na akome na hiyo miwani yake,siyo lazima kukosowa.Unitukane harafu uegemeee kwenye korido la democracia na haki za binadamuTaasisi hizi hazijawahi kusifia ujenzi wa reli ya kisasa,ununuzi wa ndege,ujenzi wa bwawa la kufua umeme na mengine mengi lkn kwa mambo ambayo hayalete maendeleo niwakanza kutowa matamko
 
Leo yupo peke yake!wamemtumia wamemuacha anataabika sasa
 
Nazungumzia kwa lens ya state apparatus!

Majamaa ya serikali yana power ila hua hayana akili kabisa!

Kama hii kesi hata mtoto mdogo anaona waziwazi haya majitu ni majinga!

Vita ya ukweli huwezi pambana nayo kwa kesi za kutunga na kuwaweka watu vizuizini namna hii!

Makala inajibiwa kwa makala,weka ukweli!

Sijui lini tutakuja kua kama mataifa yalioendelea!!!

Sijui
Siku wakiacha kujipendekeza kwenye mataifa yaliyoendelea (mabeberu)
 
kama ni kweli AFUNGWE
sasa kwanini wanasema upepelezi haujakamilika, mie najua wanapomkamata wanakuwa wana kila kitu washakamilisha, sasa unamkamata mtu ndio unaanza upepelezi, nchi yetu hii bana, ni kama mwalimu amchape mwanafunzi kisha amtafutie sababu baadae
 
Hapa unaniambia Mimi au Wao Kiongozi?

Sana ni wewe Kijana wao mpendwa ,hata Hoja yako uliielekeza hivyo kuwaogopesha wengine.Unacho kisahau kupinga/kukosoa ni Asili ya Binadamu hasa anae fikiri sawa sawa.
 
Evidence zipo
Sema hawana haraka naye sana
Lengo ni aombe poo
Watamzungusha miezi kadhaa alafu watamuachia baada ya kukosa evidence, ndiyo utawala chini ya jembe ulivyo. Hataki kukufunga, anataka akusumbue tu utishike na wengine wakuone uogope. Stupid
 
Kwahiyo wewe mwenye AKILI TIMAMU unakubali vipi kuongozwa na WAJINGA?Huoni hao unaowaona WAJINGA ni wanaakili na ndio maana saiz uko nyuma ya keyboard na fake ID unatema pumba ukiogopa kudakwa?

Na wewe ndio huna fake ID?

Identity yangu inakusaidia wewe kua na akili?

Jinga ni jinga tu!

And it is your own fault not mine wewe kua jinga!

Jilaumu pekee yako huko!

Wewe kua madarakani ndio kwamba unaniongoza mimi personally?

Are you on crack cocaine?

I’m smarter than all of you put together!

Ndio maana nipo hapa anonymous,you cant catch me!

Na IP sijui nini na nini you cant catch me,njoo Maryland,Germantown utanipata.

And you see me when you see me nigga!

You motherfuckers think you control the world!

You control the world around your own shit pile!

Thank you!
 
Hicho kinywa chako kichafu hata kiropoke nini haitakusaidia. Lugha unayo tumia unaona umeendelea maana umesikia inasemwa na gredi ya watu wa hali ya chini waliokataliwa na jamii ya watu wastaarabu huko maremani! Huku
Tanzania lugha hiyo unajidhalilisha mwenyewe,maana watanzania wanaoishi humu nchini (Tanzania) ni wastaarabu wamelelewa kwa maadili mazuri kama ya wafalme wa uingereza. Lugha kama hii yako waTanzania hawaithamini. Gredi yako ni ya chini sana ndiyo maana wachache wamekujibu. Mimi nimekujibu kwasababu kutokana na lugha yako nimejua unaishi na watu wahali gani. Pole sana.

Naongea nachojisikia!

Wewe kukasirika is not my problem,its your own problem!

I cant help you with that!

I’m sorry!

Pia jifunze kupangilia maandishi yako yasomeke kwa urahisi.Sijui lugha ulifaulu kiasi gani?!

Kiswahili hujui,Kiingereza hujui,lugha ya kijijini kwenu hujui,wewe ni pumbavu!

Naongea Kiingereza nachosikia,naongea cha mtaani ni acceptable!

Kuna Kiingereza cha mtaani na Kiingereza rasmi cha kitaaluma,kama ilivyo kwa Kiswahili rasmi na cha mtaani!

Kama hilo hulijui basi wewe ni kilaza!

Niko hapa tunaongea topic za mtaani na siwezi tumia Kingereza cha kitaaluma which is unnecessary!

Kama umekasirika sana nenda kawalilie serikalini wanitafute!

And we will see who sees who!
 
Wakili Mwandamizi wa Serikali, Wankyo Simon ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa upelelezi wa kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Mwandishi wa Kujitegemea wa Habari za uchunguzi, Erick Kabendera bado haujakamilika

Kabendera anashtakiwa kwa Makosa matatu ikiwemo kukwepa Kodi kiasi cha Tsh. Milioni 173,247,047.02, Utakatishaji Fedha na kujihusisha na genge la uhalifu Makosa ambayo yote hayana dhamana

Kabla ya kushtakiwa kwa Makosa tajwa hapo juu, Kabendera alihojiwa na Jeshi la Polisi kwa kuwa na mashaka juu ya uraia wake na baadaye kudaiwa kukiuka sheria ya Makosa mtandaoni (Cyber Crimes Act) hadi aliposomewa mashitaka ya uhujumu uchumi

Mwandishi huyo wa kujitegemea ambaye amekuwa akichapisha habari zake katika vyombo mbalimbali nchini na ulimwenguni alikamatwa nyumbani kwake Mbweni, mnamo Julai 29, 2019

Pia soma

mambo ya ajabu sana haya. unakamata kisha unapeleleza utadhani HAINI kwamba angeachwa nje angepindua nchi. intelijensia hii inayonusa mikutano ya kisiasa tu na kushindwa hata kujua tishio la mlipuko kule morogoro
 
Picha ya leo anaonekana ni Mtu mwenye kutia Huruma, Kujutia Jambo fulani, hajapata Usingizi mzuri, alikuwa hapumziki, ana Maumivu ya jumla jumla ( Watu wa Medani hapa najua mtakuwa mmenielewa ) lakini kubwa ni mwenye mawazo mengi ndani yake. Hata hivyo bado nawasubiria Wanasaikolojia Wabobezi / Wabobevu wa JamiiForums ili wao ndiyo wanielimishe vizuri zaidi hasa juu ya Picha zake pamoja na Mwonekano wake wa leo pale Mahakamani. Bila shaka Sisi ambao hatujawahi Kukamatwa ( Kusumbuliwa ) na Mamlaka ila tunapiga mno Makelele Mitandaoni kuna la Kujifunza na kuwa nalo Makini.
Refer - Halima Mdee - kinywa chake siku hizi anapiga mswaki! Siyo kichafu tena amejifunza adabu
 
Back
Top Bottom