Haya ni maneno ya kujifariji hahahahahahah. Atatoka 2025 na kuendelea na maisha yake na naamini Wewe utakua miongoni mwa waimba pambio za kumsifu.
Kwahiyo Magufuli yuko sawa,hamtakiwi kukimbilia kwa mabeberu kushitakiKwa nature ya maisha kila utakalolifanya ni lazima uwe unasaliti upande mwingine, na hii ni kwa nia njema ili maisha yaendelee. Ndio maana waliobadili dini na kuamua kushika dini za 'kistaarabu' walionekana wakisaliti tamaduni zao, walioamua kuhamia mijini kutafuta maisha walionekana kusaliti walikozaliwa. Na hata walioavutiwa na sera za vyama fulani na kuhamia vingine walionekana wamesaliti walikokuwa.
Hii imepelekea wajuzi wa mambo ya kijamii kuja na wazo la uhuru wa kuishi na kuamua (liberty) ili watu fulani wasiishi juu ya mawazo ya wengine.
Picha ya leo anaonekana ni Mtu mwenye kutia Huruma, Kujutia Jambo fulani, hajapata Usingizi mzuri, alikuwa hapumziki, ana Maumivu ya jumla jumla ( Watu wa Medani hapa najua mtakuwa mmenielewa ) lakini kubwa ni mwenye mawazo mengi ndani yake. Hata hivyo bado nawasubiria Wanasaikolojia Wabobezi / Wabobevu wa JamiiForums ili wao ndiyo wanielimishe vizuri zaidi hasa juu ya Picha zake pamoja na Mwonekano wake wa leo pale Mahakamani. Bila shaka Sisi ambao hatujawahi Kukamatwa ( Kusumbuliwa ) na Mamlaka ila tunapiga mno Makelele Mitandaoni kuna la Kujifunza na kuwa nalo Makini.
Na akome na hiyo miwani yake,siyo lazima kukosowa.Unitukane harafu uegemeee kwenye korido la democracia na haki za binadamuTaasisi hizi hazijawahi kusifia ujenzi wa reli ya kisasa,ununuzi wa ndege,ujenzi wa bwawa la kufua umeme na mengine mengi lkn kwa mambo ambayo hayalete maendeleo niwakanza kutowa matamkoUkidonyoa lazima udonyolewe,ngoma mbichi ,kwa sasa asiwaze uraiani,atajiumiza,ngomeni kwasasa ndio eneo lake maalum.
Jela zilianza enzi za mitume
Siku wakiacha kujipendekeza kwenye mataifa yaliyoendelea (mabeberu)Nazungumzia kwa lens ya state apparatus!
Majamaa ya serikali yana power ila hua hayana akili kabisa!
Kama hii kesi hata mtoto mdogo anaona waziwazi haya majitu ni majinga!
Vita ya ukweli huwezi pambana nayo kwa kesi za kutunga na kuwaweka watu vizuizini namna hii!
Makala inajibiwa kwa makala,weka ukweli!
Sijui lini tutakuja kua kama mataifa yalioendelea!!!
Sijui
Kama nia ni kutisha Raia mmesha feli kwa Asilimia kubwa ,tafuteni njia nyingine ya kuendelea kutawala ila upo Mwisho wenu tu.
Oooh! Mahakama ipo kwa mujibu wa chama au katiba nikipata jibu nitaludiNchi ni Mali ya wananchi na ndio maana kuna mahakama. Acha mahakama ifanye kazi yake tusiingilie!
sasa kwanini wanasema upepelezi haujakamilika, mie najua wanapomkamata wanakuwa wana kila kitu washakamilisha, sasa unamkamata mtu ndio unaanza upepelezi, nchi yetu hii bana, ni kama mwalimu amchape mwanafunzi kisha amtafutie sababu baadaekama ni kweli AFUNGWE
sasa kwanini wanasema upepelezi haujakamilika, mie najua wanapomkamata wanakuwa wana kila kitu washakamilisha, sasa unamkamata mtu ndio unaanza upepelezi, nchi yetu hii bana, ni kama mwalimu amchape mwanafunzi kisha amtafutie sababu baadaekama ni kweli AFUNGWE
Kumbe tatizo ni kalamu yake,kumbe mnajua kabambikiwa kesi ya uhujumu uchumi?Serikali ya kishamba sana!Leo yupo peke yake!wamemtumia wamemuacha anataabika sasa
Hapa unaniambia Mimi au Wao Kiongozi?
Watamzungusha miezi kadhaa alafu watamuachia baada ya kukosa evidence, ndiyo utawala chini ya jembe ulivyo. Hataki kukufunga, anataka akusumbue tu utishike na wengine wakuone uogope. Stupid
Nazani unaandika toka Afghanistan Tanzania tunayo mihimili mitatu. Mahakama Ni mojawapo. Hatuendi kwa hearsay.Oooh! Mahakama ipo kwa mujibu wa chama au katiba nikipata jibu nitaludi
Kwahiyo wewe mwenye AKILI TIMAMU unakubali vipi kuongozwa na WAJINGA?Huoni hao unaowaona WAJINGA ni wanaakili na ndio maana saiz uko nyuma ya keyboard na fake ID unatema pumba ukiogopa kudakwa?
Hicho kinywa chako kichafu hata kiropoke nini haitakusaidia. Lugha unayo tumia unaona umeendelea maana umesikia inasemwa na gredi ya watu wa hali ya chini waliokataliwa na jamii ya watu wastaarabu huko maremani! Huku
Tanzania lugha hiyo unajidhalilisha mwenyewe,maana watanzania wanaoishi humu nchini (Tanzania) ni wastaarabu wamelelewa kwa maadili mazuri kama ya wafalme wa uingereza. Lugha kama hii yako waTanzania hawaithamini. Gredi yako ni ya chini sana ndiyo maana wachache wamekujibu. Mimi nimekujibu kwasababu kutokana na lugha yako nimejua unaishi na watu wahali gani. Pole sana.
mambo ya ajabu sana haya. unakamata kisha unapeleleza utadhani HAINI kwamba angeachwa nje angepindua nchi. intelijensia hii inayonusa mikutano ya kisiasa tu na kushindwa hata kujua tishio la mlipuko kule morogoroWakili Mwandamizi wa Serikali, Wankyo Simon ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa upelelezi wa kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Mwandishi wa Kujitegemea wa Habari za uchunguzi, Erick Kabendera bado haujakamilika
Kabendera anashtakiwa kwa Makosa matatu ikiwemo kukwepa Kodi kiasi cha Tsh. Milioni 173,247,047.02, Utakatishaji Fedha na kujihusisha na genge la uhalifu Makosa ambayo yote hayana dhamana
Kabla ya kushtakiwa kwa Makosa tajwa hapo juu, Kabendera alihojiwa na Jeshi la Polisi kwa kuwa na mashaka juu ya uraia wake na baadaye kudaiwa kukiuka sheria ya Makosa mtandaoni (Cyber Crimes Act) hadi aliposomewa mashitaka ya uhujumu uchumi
Mwandishi huyo wa kujitegemea ambaye amekuwa akichapisha habari zake katika vyombo mbalimbali nchini na ulimwenguni alikamatwa nyumbani kwake Mbweni, mnamo Julai 29, 2019
Pia soma
Kisutu: Erick Kabendera ashtakiwa kwa Kujihusisha na mtandao wa uhalifu, ukwepaji kodi na kutakatisha fedha haramu
Hawa watu are so stupid Kukwepa kodi, polisi ndiyo wanakwenda kumkamata kwa kuvizia na kuzima simu zake Hopeless Kabisa hii mikitu Tena wakiwa na mitutu zaidi ya saba wakati kamtu kenyewe ni kamoja tena hakana silaha yoyote. Halafu kesi si ilikuwa uhamiaji? Mara hii imeenda polisi tena kwa...www.jamiiforums.com
Refer - Halima Mdee - kinywa chake siku hizi anapiga mswaki! Siyo kichafu tena amejifunza adabuPicha ya leo anaonekana ni Mtu mwenye kutia Huruma, Kujutia Jambo fulani, hajapata Usingizi mzuri, alikuwa hapumziki, ana Maumivu ya jumla jumla ( Watu wa Medani hapa najua mtakuwa mmenielewa ) lakini kubwa ni mwenye mawazo mengi ndani yake. Hata hivyo bado nawasubiria Wanasaikolojia Wabobezi / Wabobevu wa JamiiForums ili wao ndiyo wanielimishe vizuri zaidi hasa juu ya Picha zake pamoja na Mwonekano wake wa leo pale Mahakamani. Bila shaka Sisi ambao hatujawahi Kukamatwa ( Kusumbuliwa ) na Mamlaka ila tunapiga mno Makelele Mitandaoni kuna la Kujifunza na kuwa nalo Makini.