gnassingbe
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 4,826
- 3,577
Hatimaye, Erick Kabendera kukosa dhamana kwa kosa la kutakatisha pesa. Yajayo yako vyema sana...
Uko tayari?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatimaye, Erick Kabendera kukosa dhamana kwa kosa la kutakatisha pesa. Yajayo yako vyema sana...
Hii kauli uwa inaniuzi, hacha tuNaombeni mniombee
Nyooo !!
Halafu unaunga mkono huu utawala...My brother my University mate emb jitafakari. Ukiona utawala unaojisifia sana, kuminya uhuru wa kusema, kuwepo makesi ya ajabu kwa watu makini na watu kupotea hovyo jua kuwa huo ni UTAWALA WA KIDIKTETA kama zile za kina Idd Amin! Hazina tofauti yoyote ile!Hatimaye, Erick Kabendera kukosa dhamana kwa kosa la kutakatisha pesa. Yajayo yako vyema sana...
Ndiyo maana alikuwa anaichafua serikali ili afiche uovu wake.Mwandishi wa Habari za uchunguzi, Erick Kabendera amefikishwa mahakama ya Kisutu leo
Anashtakiwa kwa makosa matatu ambayo ni...
1. Kujihusisha na mtandao wa uharifu, 2015-2019 katika maeneo ya Dar Es Salaam, katoa msaada katika genge la uharifu
2. Kukwepa kulipa kodi. Katika tarehe tofauti kati a2015 hadi 2019 katika jiji la Dar es Salaam alikwepa kulipa kodi zaidi ya Tsh milioni 173
3. Kutakatisha fedha haramu.
Chifu hatukatai hilo usemalo,lakini tukumbuke miaka iyo yote ya nyuma walikuwa wapi,alichokamatiwa mwanzo walisema ni Uraia mambosasa alipotudhibitishia sasa hili la ukatishaji na hilo genge la uhalifu linakujaje hapo na hilo genge hao waliokuwa wanashirikiana nao wako wapi ?Unavyoongea hivyo, una taarifa kamili kuhusu kesi hii.
Wakikuonesha ma transaction kwenye account yake jinsi yalivyo, utabishaa???
Tukae kimya, huku vyombo vya nchi vikiendelea kutenda haki.
Hatimaye, Erick Kabendera kukosa dhamana kwa kosa la kutakatisha fedha. Kisheria, kosa la utakatishaji fedha halina dhamana. Ni kusubiri kusikilizwa na kuamuliwa kwa kesi yake tu mahakamani. Yajayo yako vyema sana...
Emb kwenda huko! Sina undugu na utawala wa kidikteta kamwe.Unavyoongea hivyo, una taarifa kamili kuhusu kesi hii??
Wakikuonesha ma transaction kwenye account yake jinsi yalivyo, utabishaa???
Tukae kimya, huku vyombo vya nchi vikiendelea kutenda haki.
Maviii!polisi haiaminiki tena...Unavyoongea hivyo, una taarifa kamili kuhusu kesi hii??
Wakikuonesha ma transaction kwenye account yake jinsi yalivyo, utabishaa???
Tukae kimya, huku vyombo vya nchi vikiendelea kutenda haki.
Kwa hiyo wamemshitaki kwa hilo kosa la utakatishaji fedha ili akose dhamana?
Halafu utakatishaji fedha si kosa baya kihivyo mpaka lisiwe na dhamana.
Sheria ya kipumbavu kabisa hiyo.
Naombeni mniombee
Nyooo !!
Chadema toeni tamko.