Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe kama mwanasheria nadhani kuna haja ya kuangalia sheria hii kwa mapana,Hatimaye, Erick Kabendera kukosa dhamana kwa kosa la kutakatisha fedha. Kisheria, kosa la utakatishaji fedha halina dhamana. Ni kusubiri kusikilizwa na kuamuliwa kwa kesi yake tu mahakamani. Yajayo yako vyema sana...
Mnapowapa watu nick names muwe mnafanya takakuri kwanza.maajabu, uyu mzee kwakweli anakoendea siko
HUNA AKILINdiyo maana alikuwa anaichafua serikali ili afiche uovu wake.
Kwani wangetaka wangeshindwa?Kukosa kumuua huyu wanaumia sana vichwa
Duuh wanamuundia kesi isiyo na dhamana...Halafu haiwezekani mashtaka yote yaanzie 2015 hadi 2019.. Kwani enzi za JK alikuwa wapi? Hayo mashtaka ni ya kupika! Halafu mbona hakuna uchochezi badala yake amehusishwa na magenge ya kihalifu? Hao wenzake mbona hawajakamatwa kama wamejiridhisha kuwapo hayo magenge?
kila mkosoaji wa awamu ya tano lazima lazima apate heka heka...hapa ndipo tunaweka mashaka kama hata haya mashtaka ni ya ukweli.Unavyoongea hivyo, una taarifa kamili kuhusu kesi hii??
Wakikuonesha ma transaction kwenye account yake jinsi yalivyo, utabishaa???
Tukae kimya, huku vyombo vya nchi vikiendelea kutenda haki.