G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,795
- 36,704
Tena wakiwa na mitutu zaidi ya saba wakati kamtu kenyewe ni kamoja tena hakana silaha yoyote. Halafu kesi si ilikuwa uhamiaji? Mara hii imeenda polisi tena kwa mashitaka tofauti kabisa na yale tuliyoambiwa ni ya kichocheziHawa watu are so stupid
Kukwepa kodi, polisi ndiyo wanakwenda kumkamata kwa kuvizia na kuzima simu zake
Hopeless Kabisa hii mikitu