Kisutu: Erick Kabendera ashtakiwa kwa Kujihusisha na mtandao wa uhalifu, ukwepaji kodi na kutakatisha fedha haramu

Kisutu: Erick Kabendera ashtakiwa kwa Kujihusisha na mtandao wa uhalifu, ukwepaji kodi na kutakatisha fedha haramu

Kama alikuwa mwandishi wa the economist si alikuwa analipwa, na kama alilipwa hiyo pesa ilipitia wapi, kodi alilipa kutokana na hayo malipo? Kama alipata malipo kwa kujificha sasa ndio faida yake, ni sawa n pesa haramu, angejisajiri kama mwandishi wa the Economist akajulikana na akalipa kodi isingejuwa shida, mengine yangevumilika.
Angewasifia mgeuliza haya yote? hapa ndipo tatizo sugu mlilonalo timu awamu ya tano.
 
Hii nchi inakoelekea sijui...Vyombo vyote vilivyo chini ya serikali na hata mihimili mingine ya dole imeamua kumfurahisha bwana mkubwa kwa kufanya mambo ya hovyo kabisa ambayo haihitajiki hata elimu ya kidato cha nne kuona uonevu,matumizi makubwa ya nguvu yasiyofaa na ukiukwaji mkubwa wa haki kwa makusudi! Kwa kuwa madaraka yana mwisho ipo siku watawala wetu na vibaraka wao watakuwa wateja wakubwa wa mahakama huru na wakaazi waandamizi wa magereza! #Time will tell#
 
Angewasifia mgeuliza haya yote? hapa ndipo tatizo sugu mlilonalo timu awamu ya tano.
Hili ndilo tatizo. Wanaosifia wao siyo wahujumu uchumi, watakatishaji fedha haramu na wahalifu. Yani kuna siku utakuta naye Membe au Lissu kwa kuwa wanakosoa basi wakapanda kizimbani kwa haya haya mashitaka. Ila kina Rostam sasa ni waadilifu. Kina Manji ni wahujumu uchumi. Hii serikali ndiyo huwa inanichosha hapo tu.
 
kila mkosoaji wa awamu ya tano lazima lazima apate heka heka...hapa ndipo tunaweka mashaka kama haat haya mashtaka ni ya kweli.

sasa jamani watu 50m wote tuwe na mawazo sawa kweli, tunakwenda kujenga Taifa gani??

Mkulu, hapo nashindwa kujizuia ngoja nifunguke.
kama ana cha kujibu kuhusiana na hicho, muache avune alicho panda.
 
Hatimaye, Erick Kabendera kukosa dhamana kwa kosa la kutakatisha fedha. Kisheria, kosa la utakatishaji fedha halina dhamana. Ni kusubiri kusikilizwa na kuamuliwa kwa kesi yake tu mahakamani. Yajayo yako vyema sana...
Haya ndio alikua anayalalamikia Jaji mkuu katika siku ya sheria kama sikosei

Alisema wao kama mahakama wangependa makosa yote yawe na dhamana. Hii itapunguza kukomoana na pia kupunguza mrundikano wa mahabusu katika magereza

Pia aliongeza kwamba Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo zinatoa vifungo virefu kwa wakosaji jambo ambalo kwa maoni yake(namimi namuunga mkono) halisaidii kufikia lengo la kurekebisha tabia za wahalifu
 
Duuh wanamuundia kesi isiyo na dhamana...Halafu haiwezekani mashtaka yote yaanzie 2015 hadi 2019.. Kwani enzi za JK alikuwa wapi? Hayo mashtaka ni ya kupika! Halafu mbona hakuna uchochezi badala yake amehusishwa na magenge ya kihalifu? Hao wenzake mbona hawajakamatwa kama wamejiridhisha kuwapo hayo magenge?
Kamanda, inamaana umeshasahau mara hii kuwa kabla ya 2015 tulikuwa na RAIS "DHAIFU" asiye na maamuzi?
Umeshasahau enzi zile tulipokuwa tukiomba na kufunga na akina Myika - Mungu atupe RAIS "STRONG"
Au we ndo ninyi mliokuja na kamanda LOWASA?
 
Uzuri ni kwamba kila nafsi ita kufa tu.

Tamba, piga, uwa, nyang'anya,dhulumu, ikifika siku lazima uende.
Unavyoongea hivyo, una taarifa kamili kuhusu kesi hii??
Wakikuonesha ma transaction kwenye account yake jinsi yalivyo, utabishaa???
Tukae kimya, huku vyombo vya nchi vikiendelea kutenda haki.
 
Huenda bado anachunguzwa uraia na ili wawe nae Karibu inabid ashtakiwe kwa makosa ambayo hayana dhamana

Lakin pia tuendelee kusubir uchunguz huenda makosa yakaongezeka au kupungua na pengine kufutwa kabisa

Vyema tukawa watulivu tuhifadhi maneno
 
Uzuri ni kwamba kila nafsi ita kufa tu.

Tamba, piga, uwa, nyang'anya,dhulumu, ikifika siku lazima uende.
nasikia ukiua unapata mateso makali wakati wa kufa....kimba na mkojo lazima uviache eneo la tukio huku malkia mwenye vazi la moto akikupokea kuzimu.
 
Unavyoongea hivyo, una taarifa kamili kuhusu kesi hii??
Wakikuonesha ma transaction kwenye account yake jinsi yalivyo, utabishaa???
Tukae kimya, huku vyombo vya nchi vikiendelea kutenda haki.
Haki ipi?
Acheni kuterrorize watu
Kilio cha mwenzako leo kigeuke kilio chako na ukoo wako hadi kiama
Huna utu roho mbaya kama chuma cha pua
Unafaidika nini na kuumiza roho za watu
Ushahidi wa transactions my foot
Ninyi mmeibia wananchi kiasi gani?
Pathetic unbelievable!
Yana mwisho hata!
Stay strong Kabendera You will win thia....
The whole world is watching
 
Sawa,haki itendeke.

Kaka hiyo ngoma ya money laundry acha kabisa kaka hata kama haki gani itendeke lakini lazima kwanza kukaa behind bar kwa muda usiopungua miaka miwili kukamilisha uplelezi na kesi kufikia hukumu. Hiyo ngoma nzito. Labda aamue kulipa faini ya money laundry arudi uraiani kwanza
 
Unavyoongea hivyo, una taarifa kamili kuhusu kesi hii??
Wakikuonesha ma transaction kwenye account yake jinsi yalivyo, utabishaa???
Tukae kimya, huku vyombo vya nchi vikiendelea kutenda haki.
Nimesoma comments zote ya maana ni hii tu wengine wote wanaropoka wasivyovijua na kuweka siasa mbele.
 
Back
Top Bottom