Kisutu: Erick Kabendera ashtakiwa kwa Kujihusisha na mtandao wa uhalifu, ukwepaji kodi na kutakatisha fedha haramu



Nyie vijana mngekuwa ndo mko enzi za kupambana na mkoloni, uhuru ingekuwa ndoto
 
Sijasoma makala zake zote lakini zile nilizosoma niliona ni za kawaida tu ingawa ni critical kiasi. Labda tatizo lake ni kuandikia wasomaji wa nchi za nje!
Gazeti lilikuwa linatumia lugha kali dhidi ya Magu kuna makala moja aliitwa foolish, pamoja na lugha nyingine kali tu, sasa huwezi andika vile halafu ukabaki salama mkuu, jamaa alikuwa mjinga hata kama alikua akikosoa kitu sahihi
 
Waandishi mjifunze huu utawala hautaki kukosolewa.unaweza kujikuta unaingia matatizoni ukaipa tabu familia yako.toroka kaandikie ulaya huko
 

Man! Mie nakuuliza tukio lilivyoenda wewe unanipa nadharia? We are in the country where law does not apply
 
Kwa nini nisupport vitu ambavyo mimi mwenyewe nimejificha kwa ID fake. Mtu anafanya kitu cha hatari. Kama kweli unamsupport speak out openly siyo kujificha kwenye jina fake. Unafki tu. Mtu upo na ID fake then unamwambia well done unampamp aendelee. Kama upo serious muunge mkono asilimia mia kwa kuisema serikali ukiwa unafahamika.
 
Hatimaye, Erick Kabendera kukosa dhamana kwa kosa la kutakatisha fedha. Kisheria, kosa la utakatishaji fedha halina dhamana. Ni kusubiri kusikilizwa na kuamuliwa kwa kesi yake tu mahakamani. Yajayo yako vyema sana...
Kuna umumihu wa ku-challenge haya mambo mahakamani, watupe constitutional review ya huu utaratibu. Nini ni special sana kuhusu kutakatisha pesa mpaka kumnyima mtu uhuru wake?

The state imepewa power kubwa sana hapa. Am not a lawyer, lakini najua wenzetu wana angalau utaratibu wa mahakama kufanya evaluation ya evidence (Preliminary hearing) kama sikosei, ili kujua kama kuna walau probable cause ya kuendelea. What's the remedy hapa? Kama ikija kuonekana charges were frivolous, Erick anapataje haki yake kwa muda wote aliopoteza uhuru wake? Do we have any remedy? Kuna mfano wowote wa Serikali kubanwa baada kushindwa mashitaka yasiyo na maana?
 
Kwahiyo Mandela alikuwa mjinga mpaka kuwekwa miaka 27 jela. Alitakiwa akimbie nchi yake!
Ukiwa mpiganaji au mwanaharakati au yoyote unaefanya kazi ya hatari, first and most important ni kukwepa kukamatwa na unaowapiga

Ila kuna situation ambazo huwezi kukimbia, unaweza kuta lazima ubaki na wafuasi wako ili kuwahamasisha na kuendesha chama n.k hivyo inakulazimu kubaki

Lakini kwa case ya Kabendera ilikuwa tofauti, ni kitu kilichokua kinakwepeka kabisa, mfano angetumia tu hata fake ID ingemgharimu nini? Kuna waandishi wengi wanafanya hivyo
 
Nakuonea huruma Erick
Wamekuweza na wamekupata
Lakini kwa hii dhuluma unayofanyiwa Mungu atakulipia.

Nchini Ethiopia kuna watu sasa wanaolipwa fidia na serikali mpya ya nchi hiyo baada ya kuonekana walitendewa mambo mabaya na serikali iliyopita!
 
Mimi mtu poa sana na sina hayo unayofikiria.

Ila nasisitiza nimetoa maoniyangu na maoni yanaweza kuwa ya aina tofauti.

Haya tusiende mbali nje ya mada.
Basi Richard hacha ukatili. Mwenzako anapoonewa au kuteseka usifurahie bali muonee huruma na umwombee faraja. Hivi kwa mazingira ya tangia kukamatwa kwa Erick, taarifa zote za polisi/uhamiaji za kimagumashi bado ujaona kama kuna uonevu wowote. Hata kama wakubwa hawakukipenda alichoandika Erick, basi wawe wawazi wamkamate kwa utaratibu unaotumiwa katika kukamata watu wengine wa kariba yake na waseme wanamkamata kwa kosa hili au lile. Siyo kutuletea maigizo wakati mwenzetu anateseka na familia yake inasoneneka. Halafu eti mtu kama wewe uoni tatizo unashangilia mwenzako kuteseka kwa kisingizio eti umetoa maoni. Hacha roho mbaya muonee binadamu mwenzako uruhuma anapoteseka/anapoonewa tafadhali.
 

Hamna lolote, hakuwa wa kitisho hivyo. Lengo lilikuwa ni kumalizana naye nje ya uwanja, maana hawana grounds za kumshtaki mahakamani zaidi ya kesi za kuchomekea. Walipoona haijakaa vizuri ndio ikabidi wajifanye ni uhamiaji. Watanzania wajinga waliisha enzi za Nyerere, kwa sasa watu wanajua nini kinaendelea. Ww poteza muda wako kujifanya unatoa maoni sana sana unaonekana juha unayetetea uovu.
 

So kwa maelezo haya unakubali hakuna kesi hapo bali matumizi mabaya ya madaraka dhidi ya wakosoaji?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…