Kisutu: Erick Kabendera ashtakiwa kwa Kujihusisha na mtandao wa uhalifu, ukwepaji kodi na kutakatisha fedha haramu

Huko kwingine umezunguka sana nafurahi hata wewe umeona shida ilipo hapo ndo penye point ya msingi katika andiko lako

Hivyo basi utakatishaji ni kwa namna wanavyoweza kuitumia hiyo nafasi kumtesa jamaa

Ukiwa na makandokando unapaswa kuwa mwangalifu katika mambo mengi ya msingi kwenye maisha yako.

Hii ni kanuni muhimu sana.

Pili, hakuna serikali yoyote duniani ambayo itakuachia ukimtusi kiongozi wa nchi iwe Marekani, UK au kokote kule.

Wao wana mbinu zao nyingi tu za kukunyamazisha, nafikiri umesikia walokutwa na mbinu hizo kwenye hizo nchi.
 
ya kumkashifu RAIS yamepotelea wapi!? Actually no sense.Mara hili Mara lile. Mungu yupo!?
 

Mimi sina mda wa kulamba viatu ni nyie na kundi lenu kutwa mwashinda kuwatafuta wazungu wa kuwalamba viatu.

Nina kazi yangu ya kujiajiri na yaniingizia mapato ya uhakika 24/7

Nina nina kipato kuliko wewe.
 

Hii picha ya Kabendera itatumika sana huko tuendako hasa kwa watu sugu kama kina sugu et al...mwendo utakuwa ni kutakatisha pesa/uhujumu uchumi halafu kabatini kwa muda usiojulikana hivyo inabidi waanze kujiandaa kwa hilo kwani hamna jinsi bali ni kizuizini kiaina
 
Lazima uambulie mapovu hapa kutoka kwa wild beest migrant huko Serengeti na maasai Mara
 
Hizi ndio zile akili za jalalani (kwa Propesa Kalamaganda).

Ni rahisi kusema anatumika bila kuwa na ushahidi. Uandishi wake ungekuwa na upotoshaji angeshtakiwa kwa makosa yanayohusiana na uandishi wake. Kwenda kumbambikia kesi isiyohusiana na uandishi wake unathibitisha uandishi wake, japokuwa hawakuupenda, haukuwa na dosari.

Hizi kesi za utakatishaji wa fedha ni kichaka cha watawala kuweka watu ndani na kuwanyima dhamana bila uthibitisho wowote. Wameshindwa kumpoteza, wameshindwa kwenye uraia, wameshindwa kwenye uchochezi na hili pia watashindwa.

Wenye makandokando wote ni wanafiki kama wewe na makunguru, huwezi kuwa na makandokando and speak against this regime.

The only reason he has been a target is because of his journalism.

Freedom comes with a price and some are willing to pay it.
 
Unavyoongea hivyo, una taarifa kamili kuhusu kesi hii??
Wakikuonesha ma transaction kwenye account yake jinsi yalivyo, utabishaa???
Tukae kimya, huku vyombo vya nchi vikiendelea kutenda haki.
Waiii acha kujifanya kondoo, kuna vyombo vya haki hapa nchini!?
 
Lazima uambulie mapovu hapa kutoka kwa wild beest migrant huko Serengeti na maasai Mara
Yaani when i speakout my mind,yaani hayo mapovu yao nayaona ni manukato tu halafu mimi wala siwatukani naandika ideas zangu tu.
Kama wao kweli wana msuli kwa nini wasijirecord walau wanamuunga mkono ERICK?Unafki tu kumtetea kwenye ID Fake.Huwezi shindana na dola peke yako lazima uwe na kundi kubwa nyuma yako.Erick kajitoa mhanga yupo peke yake leo celo kama kweli wapo na yeye si waende nae lupango?Hawa wala hawanisumbui.
 
Kesho tutasikia anashitakiwa kwa ubakaji, au ujambazi wa kutumia silaha au mauaji. Who knows?
 
Gazeti lilikuwa linatumia lugha kali dhidi ya Magu kuna makala moja aliitwa foolish, pamoja na lugha nyingine kali tu, sasa huwezi andika vile halafu ukabaki salama mkuu, jamaa alikuwa mjinga hata kama alikua akikosoa kitu sahihi
Mjinga sana yule.Kina Zitto walikuwa wanampa macomfo kumbe wanampoteza tu.
 
Yani hizo kesi haziihitaji utaalamu kivile kujua ni za namna gani...
 
Unavyoongea hivyo, una taarifa kamili kuhusu kesi hii??
Wakikuonesha ma transaction kwenye account yake jinsi yalivyo, utabishaa???
Tukae kimya, huku vyombo vya nchi vikiendelea kutenda haki.
Siwezi kamwe kuiamini serikali hii ya awamu ya tano imelaaniwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…