Richard
JF-Expert Member
- Oct 23, 2006
- 15,692
- 23,038
Huko kwingine umezunguka sana nafurahi hata wewe umeona shida ilipo hapo ndo penye point ya msingi katika andiko lako
Hivyo basi utakatishaji ni kwa namna wanavyoweza kuitumia hiyo nafasi kumtesa jamaa
Ukiwa na makandokando unapaswa kuwa mwangalifu katika mambo mengi ya msingi kwenye maisha yako.
Hii ni kanuni muhimu sana.
Pili, hakuna serikali yoyote duniani ambayo itakuachia ukimtusi kiongozi wa nchi iwe Marekani, UK au kokote kule.
Wao wana mbinu zao nyingi tu za kukunyamazisha, nafikiri umesikia walokutwa na mbinu hizo kwenye hizo nchi.