N haki yake kupokea sawasawa na alichopandaUONEVU MKUU DHIDI YA MWANDISHI = ERICK KABENDERA.
"
Mwandishi wa habari nchini Tanzania Erick Kabendera Jumatatu, amepandishwa kizimbani na kusomewa mashtaka mapya ya uhujumu uchumi baada ya kuzuiliwa na polisi kwa zaidi ya siku saba.
Mashtaka mapya yanamtuhumu kwa kujihusisha na genge la uhalifu na uhujumu uchumi nchini na kukwepa kulipa kodi ya zaidi ya Sh. milioni mia moja za Kitanzania.
Kosa jingine ni la utakatishaji fedha zenye thamani ya zaidi ya Sh. millioni mia moja na sabini.
=================
UPDATE
"
Erick kabendera alikamatwa na police kwa tuhuma za Utata wa uraia wake ambazo zilithibitishwa na serikali kupitia Idara ya uhamiaji.
"
SASA HAYO MAKOSA YA UHUJUMU UCHUMI YAMETOKA WAPI!!!?.
Mnaleta ukakasi kiasi kwamba tunaanza kuamini kitendo cha kukatwa kwake ni Failed Abduction PlanView attachment 1173315
wa kwanza kurusha jiweJumapili utawakuta makanisani wakisali na KUABUDU huku mikono YAO imejaa damu na maonevu
You're stupid, kesi yake aliyokamatiwa ya uraia na ikatumika nguvu kubwa kuaminisha umma ya kuwa si raia imeishia wapi?Unavyoongea hivyo, una taarifa kamili kuhusu kesi hii??
Wakikuonesha ma transaction kwenye account yake jinsi yalivyo, utabishaa???
Tukae kimya, huku vyombo vya nchi vikiendelea kutenda haki.
Ndio tumeshampoteza hivyo... Tuhuma za makosa ya uhujumu uchumi hazina dhamanaUONEVU MKUU DHIDI YA MWANDISHI = ERICK KABENDERA.
"
Mwandishi wa habari nchini Tanzania Erick Kabendera Jumatatu, amepandishwa kizimbani na kusomewa mashtaka mapya ya uhujumu uchumi baada ya kuzuiliwa na polisi kwa zaidi ya siku saba.
Mashtaka mapya yanamtuhumu kwa kujihusisha na genge la uhalifu na uhujumu uchumi nchini na kukwepa kulipa kodi ya zaidi ya Sh. milioni mia moja za Kitanzania.
Kosa jingine ni la utakatishaji fedha zenye thamani ya zaidi ya Sh. millioni mia moja na sabini.
=================
UPDATE
"
Erick kabendera alikamatwa na police kwa tuhuma za Utata wa uraia wake ambazo zilithibitishwa na serikali kupitia Idara ya uhamiaji.
"
SASA HAYO MAKOSA YA UHUJUMU UCHUMI YAMETOKA WAPI!!!?.
Mnaleta ukakasi kiasi kwamba tunaanza kuamini kitendo cha kukatwa kwake ni Failed Abduction PlanView attachment 1173315
Kukichwa kutapambazuka... Lakini kabla jua halijachomoza kiza huwa kineneTusishangae sana ,shetani anazidi kumpa kiburi bwana yule na wapambe wake.Ili kukuche giza halina budi kutamalaki.
Ndiyo hayo hua unashabikiaga humu. Nawe leo uone aina yakeKwa hiyo wamemshitaki kwa hilo kosa la utakatishaji fedha ili akose dhamana?
Halafu utakatishaji fedha si kosa baya kihivyo mpaka lisiwe na dhamana.
Sheria ya kipumbavu kabisa hiyo.
Hapana kapewa kesi ya uhujumu uchumi HATOKIMkutano wa SADC summit 2019 ukiisha, atakuwa mtaani. Nakumbuka miaka ya nyuma, (1980s -1990s) kama kuna ziara ya kiongozi mkubwa wa serikali mahali, wanakamatwa wale wanaopenda kuhoji mambo mbalimbali.
Jumapili utawakuta makanisani wakisali na KUABUDU huku mikono YAO imejaa damu na maonevu
Kubambikizia watu kesi!shameKupokea miamala kwa siri toka jarida la Economist
Kutoilipia kodi miamala hiyo ya siri
Hapo tayari umeshatakatisha
Polisi wamepukua wamekuta bank statement za miamala,nyumbu mnalazimisha apewe kesi ya uraia!
Ni jukumu la utetezi sasa kusema hiyo mialmala haikutoka ECONOMIST na kodi ililipwa
Vyombo vyenyewe haviaminiki, hivi mtu kama Mambosasa unaanzia wapi kumuamini? wakati kila issue anayojihusisha nayo ni magumashiTusijipe mzigo wa kutafakari maswali mengi, acha tuache vyombo vifanye kazi, tutajua ukweli ni upi.
This is one of stumbling block to many people, God created you with reasoning and logic, use it!!God is the final Judge
Polisi wanaweza kuja kukupekua bangi wakakuta kichwa cha mtu ni.dhahiri utapewa kesi ya murder na si bangiKubambikizia watu kesi!shame
You're stupid, kesi yake aliyokamatiwa ya uraia na ikatumika nguvu kubwa kuaminisha umma ya kuwa si raia imeishia wapi?
Wale mliowatoa butimba kwa uonezi waliukumiwa na Mama yako au mahakama hizi?. Mahakama washajichafua kitakachoamua ni karma tu.Polisi wanaweza kuja kukupekua bangi wakakuta kichwa cha mtu ni.dhahiri utapewa kesi ya murder na si bangi
Huyo.bwana walienda kupekua uraia wake kama wanaweza kupata nyaraka zozote,si ndio wakakuta nyaraka za miamala ya siri!lahaulaaa
Ukipanda maharage utavuna maharage tu,iachene mahkama iamue
Kabanbikiwa kesi,hilo liko wazi!!!!Polisi wanaweza kuja kukupekua bangi wakakuta kichwa cha mtu ni.dhahiri utapewa kesi ya murder na si bangi
Huyo.bwana walienda kupekua uraia wake kama wanaweza kupata nyaraka zozote,si ndio wakakuta nyaraka za miamala ya siri!lahaulaaa
Ukipanda maharage utavuna maharage tu,iachene mahkama iamue