Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,772
- 8,939
Wanachofanya ni.kutumia mamlaka vibaya kwa kumkomoa kabendera baada ya kukosa ushahidi kwenye ile kesi ya Uraia.
Mahakama sasa ioneshe ukuu wake kwa kuendesha kesi ya kabendera mfululizo ili apate haki yake bila kuteswa gerezani bila hatia.
Mahakama iamke na kila mwenye kesi isiyo na dhamana,kesi isikilizwe mfululizo ili kuepusha dhulma na uonevu kwa watu wasio na hatia.
Kwa ushahidi wa mazingira Kabendera na wengine wasiopendwa wanapewa kesi ngumu ili kuwakomoa,na kuwaweka rumande muda mrefu kwa lengo la kuwakomoa ili hata wakishinda wawe wameshasota gerezani vyakutosha.
Ardhi yenye dhulma ni laana kwa vizazi
Tusishangilie haya.
MKuu umesahau ya Kitlya? imeisha kwani?
vipi ya IPTL ? Imeisha?