Kisutu: Erick Kabendera ashtakiwa kwa Kujihusisha na mtandao wa uhalifu, ukwepaji kodi na kutakatisha fedha haramu

Kisutu: Erick Kabendera ashtakiwa kwa Kujihusisha na mtandao wa uhalifu, ukwepaji kodi na kutakatisha fedha haramu

Mpi
Sio kila kitu kilichofika polisi kitawekwa hadharani hadi uchunguzi utakapo kamilika, kesi ikisha fika mahkamani ndio sababu zite za mtuhumiwa zunapotoka, ni hili wengi wanakifahamu lakini watanzania wamezoea kupiga makelele.
Kama suala la uchuni au kutakatisha fedha lilo anza hapo zamani ni suala kingine hilo, serikali iliopoita na iliokuwepo sio sawa na ya sasa hivi hilo kila mtu alalijua lakini mnajitoa tu akili na kupiga makelele...
Mpumbavu na punguani,
 
Victoire kwa kauli kama hizo naamini hata in case same incidence ikiwatokea Kina Max Melo (Mungu aepushie mbali) utasema hivyo kwamba yanampata hayo kwa kuwa Ametupa Platform hii ya JF ambayo Wengine huitumia kuikosoa na kuisema vibaya serikali na amegoma kutoa taarifa zetu watumiaji, maana kwa kufanya hivyo "anawaweka wanae kwenye hatari" right? Au utasema Bora angekimbia nchi kwa kua utawala huu hautabiriki?

Usimfananishe Maxence Melo na waandishi uchwara kama Kabendera.

Max anaendesha JF na imesimama kwelikwekli na kila mara yupo tayari kukabiliana na misukosuko yoyote ile.

Kama Kabendera angakuwa mwandishi makini na anaejiamini basi asingetumiwa na watu kama Zitto na hilo Jarida la "The Economist".

Kuwa mwandishi makini ni pamoja na kuwa na vyanzo vya habari zako na vigezo au facts zote ili siku ys siku uwe tayari kupambana hoja kwa hoja facts kwa facts.

Wengine wamegusia kwamba pia usiwe na makandokando maana kuna watanzania wengi tu wanabeba pasi za kusafiria za nchi zingine ilhali wana pasi za kitanzania.

Erick Kabendera kwa sasa ni mtuhumiwa ambae anakabiliana na kesi ngumu sana itayomweka ndani kwa muda mrefu kidogo, kutokana na ujinga wake wa kutumika na hata maadui wa nje wa serikali ya awamu ya tano.

Watu wa aina ya Kabendera wanaishusha sana hadhi ya uandishi wa habari khasa zile za kiuchunguzi kwa kuendekeza bahasha za haki au "Chequebook Journalism."

Mtu mzima na akili yako tena una familia na wategemezi wengi bado unakuwa waendekeza ubahau bila kufikiri kwanza madhara ya matendo yako.

Now, he has to face the consequences of his actions.
 
We jiwe hata ujenge terminal 7 ununue airbus A380 nane na ujenge sgr ya mwanza dar 6 hours upuuzi huu hatuuelewi kabisa.

This bullshit done this openly is just ****
 
Mpi

Mpumbavu na punguani,
Mmeishiwa na sera na mjadala hatimaye mmebaki na mtusi. Hahahahaaaa
Mtaisoma sana number safari hiii.
Kwa kweli nyie ni wapumbavu na ma idiots
 
Jamaa katili sana aoni hata mama yake ni mgonjwa atamuuguza nani.
 
Alikmatwa kwamba uraia wake unautata!
Mala tukaambiwa anamakosa ya uchochezi!
Sasa tena makosa ya uhujumu uchumi!
So which is which!?
Sasa HV unakamatwa,harafu ndio tunatafuta makosa yako!
Typical! Kule urusi wapinzani wote wa Putin,walifunguliwa kesi za Rushwa,na utakatishaji pesa,pale Rwanda wakosoaji wote wa PK,walienda jera kwa kosa la Rushwa!
Sasa bongo Yale Yale!
 
Usimfananishe Maxence Melo na waandishi uchwara kama Kabendera.

Max anaendesha JF na imesimama kwelikwekli na kila mara yupo tayari kukabiliana na misukosuko yoyote ile.

Kama Kabendera angakuwa mwandishi makini na anaejiamini basi asingetumiwa na watu kama Zitto na hilo Jarida la "The Economist".

Kuwa mwandishi makini ni pamoja na kuwa na vyanzo vya habari zako na vigezo au facts zote ili siku ys siku uwe tayari kupambana hoja kwa hoja facts kwa facts.

Wengine wamegusia kwamba pia usiwe na makandokando maana kuna watanzania wengi tu wanabeba pasi za kusafiria za nchi zingine ilhali wana pasi za kitanzania.

Erick Kabendera kwa sasa ni mtuhumiwa ambae anakabiliana na kesi ngumu sana itayomweka ndani kwa muda mrefu kidogo, kutokana na ujinga wake wa kutumika na hata maadui wa nje wa serikali ya awamu ya tano.

Watu wa aina ya Kabendera wanaishusha sana hadhi ya uandishi wa habari khasa zile za kiuchunguzi kwa kuendekeza bahasha za haki au "Chequebook Journalism."

Mtu mzima na akili yako tena una familia na wategemezi wengi bado unakuwa waendekeza ubahau bila kufikiri kwanza madhara ya matendo yako.

Now, he has to face the consequences of his actions.
Umesoma ili uelewe kilichoandikwa au umesoma ili ujibu tu?

Umeelewa "context" ya nilichoandika?

Jibiidishe kuelewa mantiki Halisi ya Kilichoandikwa.


Ahsante kwa kutumia haki yako ya kutoa maoni haki ambayo ninyi mnaipinga Wa Kina Erick wakiitumia kutoa maoni Yao yanayomkosoa Mnayemubudu na kumsifu daima mungu wenu asiye kosea.
 
We Msukuma, spare our lives, unafanya haya yote kuumiza watu na family zao, halafu unasimama kwenye Vx kusema tukuombee? Labda kukuombea laana.
 
Mambo haya unaweza kupewa hata kesi imemtomba mama yako
 
Wewe Ndiyo mjinga aka stupid kwa kuandika mbupu! MTU shujaa huyu.
Shujaa? Unaelewa maana ya shujaa ni nini? Kaleta mabadiliko gani?
Ndiyo, serikali ya Magufuli inakandamiza watu wanaoikosoa, yeye kabadilisha nini zaidi ya kukamatwa?
Ni mjinga sababu kashindwa kujihami, hata kama unafanya kitu sahihi na unajua ni hatari halafu ukashindwa kujihami na wewe ni mjinga mwingine tu.
 
Usimfananishe Maxence Melo na waandishi uchwara kama Kabendera.

Max anaendesha JF na imesimama kwelikwekli na kila mara yupo tayari kukabiliana na misukosuko yoyote ile.

Kama Kabendera angakuwa mwandishi makini na anaejiamini basi asingetumiwa na watu kama Zitto na hilo Jarida la "The Economist".

Kuwa mwandishi makini ni pamoja na kuwa na vyanzo vya habari zako na vigezo au facts zote ili siku ys siku uwe tayari kupambana hoja kwa hoja facts kwa facts.

Wengine wamegusia kwamba pia usiwe na makandokando maana kuna watanzania wengi tu wanabeba pasi za kusafiria za nchi zingine ilhali wana pasi za kitanzania.

Erick Kabendera kwa sasa ni mtuhumiwa ambae anakabiliana na kesi ngumu sana itayomweka ndani kwa muda mrefu kidogo, kutokana na ujinga wake wa kutumika na hata maadui wa nje wa serikali ya awamu ya tano.

Watu wa aina ya Kabendera wanaishusha sana hadhi ya uandishi wa habari khasa zile za kiuchunguzi kwa kuendekeza bahasha za haki au "Chequebook Journalism."

Mtu mzima na akili yako tena una familia na wategemezi wengi bado unakuwa waendekeza ubahau bila kufikiri kwanza madhara ya matendo yako.

Now, he has to face the consequences of his actions.
Umeandika uharo tupu
 
Usimfananishe Maxence Melo na waandishi uchwara kama Kabendera.

Max anaendesha JF na imesimama kwelikwekli na kila mara yupo tayari kukabiliana na misukosuko yoyote ile.

Kama Kabendera angakuwa mwandishi makini na anaejiamini basi asingetumiwa na watu kama Zitto na hilo Jarida la "The Economist".

Kuwa mwandishi makini ni pamoja na kuwa na vyanzo vya habari zako na vigezo au facts zote ili siku ys siku uwe tayari kupambana hoja kwa hoja facts kwa facts.

Wengine wamegusia kwamba pia usiwe na makandokando maana kuna watanzania wengi tu wanabeba pasi za kusafiria za nchi zingine ilhali wana pasi za kitanzania.

Erick Kabendera kwa sasa ni mtuhumiwa ambae anakabiliana na kesi ngumu sana itayomweka ndani kwa muda mrefu kidogo, kutokana na ujinga wake wa kutumika na hata maadui wa nje wa serikali ya awamu ya tano.

Watu wa aina ya Kabendera wanaishusha sana hadhi ya uandishi wa habari khasa zile za kiuchunguzi kwa kuendekeza bahasha za haki au "Chequebook Journalism."

Mtu mzima na akili yako tena una familia na wategemezi wengi bado unakuwa waendekeza ubahau bila kufikiri kwanza madhara ya matendo yako.

Now, he has to face the consequences of his actions.
Wewe ni mnufaika wa huu ukatili
 
Hapana mkulu unanionea bure.
Hakuna sehemu ambayo nimeshabikia hili. Ukifuatilia nilichoandika ni kuwa mimi pamoja na wengine ambao hatuna taarifa kamili kuhusu hili tusijielekeze kulaumu Bali tujipe Muda ili haki itendeke.
Sasa wewe ndugu yangu, hao polisi wasiyoeleweka una uhakika gani watamtendea haki Erick. Walitoa taarifa wenyewe kwamba aliitwa ili aojiwe utata wa uraia wake, akakaaa ndiyo maana wakaende kumkamata wakiwa sita tena bila uniform na gari la kawaida siyo gari lenye identification ya polisi kama tulivyozoea! Kwa kosa la uraia iweje polisi wanajihami hivyo kama hawakuwa na nia ovu? Watu pia wakaoji uhamiaji kazi yao nini? Wakaona isiwe shida watu wa uhamiaji nao wakasema wamemchukua na kumuoji. Sasa wanatoka na mashitaka ya mambo mengine kabisa ila wewe unakuwa mwepesi kuwa-support!. Hii sinema yote kwa mwenye akili kidogo lazima ujue ni kesi ya uongo. Pia mazingira waliyotumia kumkamata na uongo uongo wa kuzusha visababusababu visivyo eleweka ni ishara kwamba walikuwa na nia ovu zaidi kwa Erick ila Mungu amemsaidia. Wakaona wamtengenezee kesi ngumu ili kumtesa yeye na familia yake.
Ndugu, mimi Erick simjui ila nakusihi uhache kufurahia mwenzako anapoonewa au kuteseka maana kesho yako au hata ya nduguyo huijui. Leo inaweza ikawa kwake kesho ikawa zamu yako. Tuombeane mema.
 
Back
Top Bottom