Mwana
JF-Expert Member
- Aug 6, 2010
- 5,439
- 1,962
Unamjua huyu bwana au unamjua mitandaoni? Ukitaka shindana na serekali make yourself clean Umesikia?!?!?!?!?kapewa money laundering, jamani tunakoendea, kesi za kukomoana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamjua huyu bwana au unamjua mitandaoni? Ukitaka shindana na serekali make yourself clean Umesikia?!?!?!?!?kapewa money laundering, jamani tunakoendea, kesi za kukomoana
kiongozi wa nchi ndiyo aisdharauliwe kama anafanya ya kumdharau? kwa vile ni "kiongozi" wa nchi.. Rubbish!Kwa kweli makala hizo zinaweza kuwa na lengo jema la kukosoa lakini aliweka maneno ya kashfa na lugha ya dharau kwa kiongozi wa nchi, hapo kakosea sana na amekuwa kama Kashoggi.
yoyo🖕🏿🖕🏿🖕🏿🖕🏿
That is if he leaves after those 5 yrs. We could be looking at this regime for life!!ehee hee he,
But we have 5+years to go.
Inabidi uvute pumzi tu.
vyombo vya nchi gani hiyo? Sema vyombo vya CCM.Unavyoongea hivyo, una taarifa kamili kuhusu kesi hii??
Wakikuonesha ma transaction kwenye account yake jinsi yalivyo, utabishaa???
Tukae kimya, huku vyombo vya nchi vikiendelea kutenda haki.
Hakuna haki, walimteka kwa style ya watu wasiojulikana baada ya kelele kuwa nyingi za ndani na za kimataifa ndiyo polisi/immigration wakajitokeza kusema wako naye, yaani wakawa wametuondelea utata wa kufahamu wasiojulikana ni akina nani.Unavyonitukana kosa langu ni lipi?
Yaani kuwapa ushauri wa kuwa mimi pamoja na wengine ambao hatuna taarifa kamili kuhusu hili tusijielekeze kulaumu Bali tujipe Muda ili haki itendeke.
After all those sort of things God is still and will be the final judge.This is one of stumbling block to many people, God created you with reasoning and logic, use it!!
Kuna mambo unayachkulia poa kwasababu yamemkuta mtu ambae hana msaada kwako. Ila usiombe yamkute mwenye msaada kwako ndo utaelewa mbivu na mbichi.Unavyoongea hivyo, una taarifa kamili kuhusu kesi hii??
Wakikuonesha ma transaction kwenye account yake jinsi yalivyo, utabishaa???
Tukae kimya, huku vyombo vya nchi vikiendelea kutenda haki.
Gazeti lilikuwa linatumia lugha kali dhidi ya Magu kuna makala moja aliitwa foolish, pamoja na lugha nyingine kali tu, sasa huwezi andika vile halafu ukabaki salama mkuu, jamaa alikuwa mjinga hata kama alikua akikosoa kitu sahihi
Kuna articles nilioona ambayo kulikuwa na jina lake, hata kama hiyo article ya foolish haikuwa na jina lake inajulikana yeye ndiye mwandishi wake kwa hapa Tz so kwa namna moja ama nyingine hiyo article imetokana na yeye tu, anyway kuwa mwandishi wa hilo gazeti tu kunatosha kukufanya kuwa adui wa Magu kutokana na makala zake kwa utawala huuKwa bahati nzuri hiyo nililosoma na jina la Kabendera kama maandishi hazikuwepo! Nadhani Jarida la Economist hakuna utaratibu wa kuonyesha majina ya waandishi kwenye makala zake. Anybody could have written the article. Kwa jinsi nilivyouona uandishi wa Kabendera siyo Tahiti kutumia lugha kama hiyo.
namjua zaidi yakoUnamjua huyu bwana au unamjua mitandaoni? Ukitaka shindana na serekali make yourself clean Umesikia?!?!?!?!?