Haya ya kubambikwa kesi bado hayajathibitishwa na mahakama.
Ni mahakama ndio itatafsiri sheria kuonesha kama kabambikwa au ana hatia
Heri ya mwaka mpya,asha sheria zichukue mkondo wake.Unataka na wewe nikuuzie mbunye?We ajuza kaa kwa kutulia, huyo Kabendera hana kosa bali kosa lake ni kukosoa, hivyo anakomolewa. Pamoja na kukomolewa kwa kesi za kubambikiwa, bado aliomba alipe plea bargaining ili alipe kama wengine, lakini kwakuwa lengo ni kumkomoa bado walimgomea. Isitoshe unaenda mwezi wa sita huu, mbona hahukimiwi? Ww leta sura yako mbaya iliyokunjamana kaa ngozi ya goti, huku ukijifanya unajua sheria kumbe ni muuza mbunye tu.
Mnakurupuka sanaKwa nafasi yake raisi ana uwezo wa kila aina kuangalia afya ya mama yake mzazi.
Lakini wakati anaomboleza kifo cha dada yake (Monica) kitu kilichokuwa kinamsumbua nani ataziba pengo la Monica sio kwamba hana ndugu wengine. Isipokuwa Monica ndio mtoto ambae mama yao kamzoea na aliekuwa akimtegemea kwa mambo mengi ya kila siku including emotional support ata kama Magu ndio anagharamia.
Kwa ivyo huo uchungu raisi nae anaujua, usimfanyie mtu kitu ambacho wewe usingependa kufanyiwa.
Uwezi kumfunga mtoto wa mwenzako kwa kosa ambalo madhara yake ni makelele tu ambayo hayana impact zozote kwa serikari, kama adhabu sijui ipi itazidi hili kumsababishia kifo cha mama yake na kumzika pia wamnyime kuna watu wana roho mmbaya,
Kuna humanity piaKuna mtuhumiwa aliwahi kwenda kumzika mama au babake yake akiwa mahabusu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama wazazi waliokuzaa...Kwa hiyo ni halali yafanyike Tanzania kwa kuwa nchi nyingine yanafanyika???
Unafikiria kwa kutumia m.k.u.n.du wewe sio bure.
Sent using Jamii Forums mobile app
Happy New Year. Tunaendeleza mpaka weekend.Happy new year to you brother
Heri ya mwaka mpya,asha sheria zichukue mkondo wake.Unataka na wewe nikuuzie mbunye?
Magu kapakimbia Ikulu...CCM mwaka huu sijui watawaambia kitu gani raia ili wawaelewe, japo wanatuona watanzania hatuna akili ila mtanange watauona. Na njia watakayotumia ya "Diamond + Harmonize" ili wakusanye vijiji ndio muendelezo wa kutuchukulia watanzania maboya.
#2020 Kazi Na Bata, hata Mh Magufuli ameiunga mkono kauli hii baada ya kukaa ofisni muda mrefu akaamua Mwaka Mpya ale BATA.
Mnakurupuka sana
Magu ndie Hakimu
Huyo tu ndie alalie fiwa tu kwa wote waliopo Magerezani?
Sheria huwa haina huruma! Kuna mahabusi wangapi ambao ndugu zao wamekufa wangependa kuhudhuria mazishi basi kila siku askari magereza wangekuwa wanasindikiza mahabusu kuwapeleka kuhudhuria mazishi ya ndugu zao.
Sasa matusi ya nini kwanini usijenge hoja tu?!! Au amekuzidi hoja!Hamna mtu anataka hicho kipochi manyoya chako chenye mvi. Pelekea wazee wa kule Mbagala waliopoteza ramani. Acha kushabikia matumizi mabaya ya madaraka kwa kukomoana kwa kujifanya unasimamia sheria. Tuna akili timamu, hivyo tunajua ipi ni sheria na ipi ni kukomoana.
Hakuna mtu anaekomolewa hapa,ukiwa unaipinga serikali hakikisha wewe ni msafi,ukiwa na makando kando ndo haya Eric yamemkuta,asingelipwa madola kinyemela nani angemshitaki?Eric hakuwa smart kabisa.Hamna mtu anataka hicho kipochi manyoya chako chenye mvi. Pelekea wazee wa kule Mbagala waliopoteza ramani. Acha kushabikia matumizi mabaya ya madaraka kwa kukomoana kwa kujifanya unasimamia sheria. Tuna akili timamu, hivyo tunajua ipi ni sheria na ipi ni kukomoana.
Utanyooka tu wewe!! Umebaki na stress zako tu hapa JF lakini huwezi fanya lolote na wakikutaka vile vile uwezo wa kukunyonga kabisa wanao!Sasa hivi yeye ndio jaji mkuu, spika wa bunge na kila cheo yeye ndio anakiagiza kutekeleza matakwa yake. Yeye hana kosa bali kabambikiwa kesi ili kukomolewa maana ameaanika madhambi ya jiwe hadharani.
Waandishi wa habari hawatendi makosa ya jinai?Kama huyo mtu anatuhuma za msingi sawa, sio hizo siasa za kishamba na kukomoana. Ni nani asiyejua kuwa Kabendera anakomolewa?