Kisutu: Kesi ya Erick Kabendera yaendelea. Jamhuri yaweka kisiki Erick kushiriki msiba wa mama yake mzazi

Kumbe kabendera huwa analia?
Huyu kibaraka ni kweli kwamba ipo siku atayalipa matusi yake?
Kamtukana nani na wapi? Mbona kwenye mashtaka take hakuna sehemu ameambiwa ametukana? Ufafanuzi please
 
nilimsikia jaji mkuu akisema zipo sheria kandamizi lakini sio jukumu la mahakama kuzirekebisha wao niwatekelezaji, wabunge ndio wenye wajibu wakuzirekebisha na mahakama watazitekeleza, sasa wabunge wetu akina zitto mnyika sugu nao wanalalamika kama sisi tunavyolalamika, pia ipo haja ya kupima uelewa wa watu tunaowapeleka bungeni tunapeleka watu wa ajabu mno wanakalia kulumbana tu badala ya kuisimamia serikali
 
Maumivu yake sio ya kusimuliwa.

.....Inauma sana!!
 
Kuna mi mtu ni kama mishetani ikiongozwa na shetani wao mkuu. Nenda mama Verdina wanakagera tunakulilia. Nchi inaongozwa na washamba.
 
Hapa ni baada ya Mkoloni na Mkoloni mamboleo kuondoka na sisi kujitawala...
 
Binafsi mimi siyo Mwanasheria. Kisheria huwezi kumtoa mtu mahabusu ili kuhdhuria tukio fulani halafu tena umrudishe mahabusu. Suala la Kabendera kweli inasikitisha lakini Mahakama haina la kufanya zaidi ya kumpa pole sana.
 

Simtetei kama yeye bali kama jamii yeyeto mimi wewe utakuwa kule jela ni mtakuja haina mwenyewe.Kama wanawezapewa haki ya matibabu nje ya gereza wakakaa zaidi ya masiku hospitalini nn masaa machache tu ya kuaga wapendwa wao maana si jambo la kujirudia akiondoka mpendwa kaondoka arudi thus nasema tuwe kama civilized taratibu sheria sio misahafu.
 
Umeshasema mshtakiwa kwa maana bado hajakutwa na hatia.
Vipi ikitokea akaachiwa huru kwa kukosekana ushahidi wa kumtia hatiani.
Usiwe unajitoa ufaham tu mwenzio amefiwa na bi mkubwa wake!

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio tu mshitakiwa, huyo ni mtuhumiwa, tena tuhuma za kupika, ndio maana mpaka leo bado wanaunganisha dots ili kupata ushahidi, wanyama hao tunaishi nao.
 
Kweli mahakama ilifungwa mikono? Kweli kisheria mtuhumiwa haruhusiwi kuhudhuria mazishi ya mwanafamilia? Angalia mfano mmoja kati ya mingi:

Aug 16, 2019
TWIN FALLS — A woman charged with murder in the death of her child will be allowed to attend the baby’s funeral.
Amanda Dunlap, 24, faces eight counts of felony injury to a child, one count of misdemeanor injury to a child, and one count of murder in the first degree. She was charged shortly after the October 2017 death of her 20-month-old daughter, Lyryk Altom, from serious injuries
.
 
Hivi kwa siku zijazo upande wa serikali ukiamua kujitoa kwenye kesi hii vp hatutasema kuwa kesi hii ni ya kutengeneza kwa lengo la kumkomoa Bw Erick???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…