Si ukae kimya tu chief...au unalipwa kwa huu upupu unaoandika hapa. Mbona mnakua kama wanyama..hamna ubinadamu kabisaKabendela amevuna alichopanda ,mchuma majanga hula na wakwao
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Nijibu kwanza..Ongelea mlichokiweka humu,hao wahujumu uchumi walisamehewa ili wakazike mama zao?mbona mnakuwa hamna akili jamani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Inayo ila vitu vinatakiwa kufanyika kwa usawa sio huyu aruhusiwe mwingine asiruhusiwe
Kwanini huwa huvitumii vizuri hivyo vidole vyako vyenye ukoma kuandika vitu vya maana,nyani wa kijani weKabendela amevuna alichopanda ,mchuma majanga hula na wakwao
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Kamtukana nani na wapi? Mbona kwenye mashtaka take hakuna sehemu ameambiwa ametukana? Ufafanuzi pleaseKumbe kabendera huwa analia?
Huyu kibaraka ni kweli kwamba ipo siku atayalipa matusi yake?
nilimsikia jaji mkuu akisema zipo sheria kandamizi lakini sio jukumu la mahakama kuzirekebisha wao niwatekelezaji, wabunge ndio wenye wajibu wakuzirekebisha na mahakama watazitekeleza, sasa wabunge wetu akina zitto mnyika sugu nao wanalalamika kama sisi tunavyolalamika, pia ipo haja ya kupima uelewa wa watu tunaowapeleka bungeni tunapeleka watu wa ajabu mno wanakalia kulumbana tu badala ya kuisimamia serikaliNi mahabusu wangapi hufiwa na watoto,wake au wazazi wao wakiwa mahabusu? Je,hawa huruhusiwa kwenda kuwaaga/kuwazika ndugu zao ila Kabendera pekee akanyimwa haki hiyo kiuonevu? Kama sivyo basi,kwa nini mjadala usijikite kutafuta haki hii ya mahabusu kwa ujumla wao na sio Eric peke yake? Wasomi tuko sawa hapa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakubali, na nimesema Kabendera kafanyiwa dhulma. Hawakupenda anachoandika wakambambika kesi. Serikali zetu dhalimu za dunia ya tatu ndivyo zinavyo operate.
Lakini napinga kusema apewe fursa kuzika kwa sababu tu wanahabari wenzie wamekuwa wakimpazia sauti.
Wangapi wamefungwa kwa dhulma hatuwasikii wakifiwa?
Ukitetea haki tetea ya kila mtu, sio ya mwenye sauti tu.
Inayo ila vitu vinatakiwa kufanyika kwa usawa sio huyu aruhusiwe mwingine asiruhusiwe
Inayo ila vitu vinatakiwa kufanyika kwa usawa sio huyu aruhusiwe mwingine asiruhusiwe
Umewasikia hao wanafiki wanasema eti nao wanasikitika kwa kifo cha Mamaye Kabendera, natamani kuona Hasira ya Mungu ikiwageukia na wao ili watie akili.
Sio tu mshitakiwa, huyo ni mtuhumiwa, tena tuhuma za kupika, ndio maana mpaka leo bado wanaunganisha dots ili kupata ushahidi, wanyama hao tunaishi nao.Umeshasema mshtakiwa kwa maana bado hajakutwa na hatia.
Vipi ikitokea akaachiwa huru kwa kukosekana ushahidi wa kumtia hatiani.
Usiwe unajitoa ufaham tu mwenzio amefiwa na bi mkubwa wake!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo kama na nchi zingine zinafanya hivyo ndo na sisi tuigeHaya mambo yapo nchi nyingi tu sio Tz pekee
Hivi kwa siku zijazo upande wa serikali ukiamua kujitoa kwenye kesi hii vp hatutasema kuwa kesi hii ni ya kutengeneza kwa lengo la kumkomoa Bw Erick???Nimewaza hivi, niko upande wa Erick na sipendi jinsi watu wanavyobambikiwa kesi ili kuwakomoa lakini anajua hasa nini alikuwa anakifanya, labda nia yake ilikuwa nzuri lakini alivyofanya haikuwa yenye kupendeza. Yeye mwenyewe anajua hatari iliyokuwa inaweza kumkabili na hata mtakumbuka siku aliyochukuliwa kwake, ukweli alikuwa anapotea ila alikuwa 'amejiandaa' ndio mpaka leo yupo.
Mnakumbuka vifo vya maafisa kama wa tatu Wizara ya mambo ya nje kitengo Misaada kutoka EU? Walikufa ndani muda mfupi sana?
Na mmeona jinsi wanachama wa EU na US kupitia balozi zao wanavyolifatilia kwa umakini hii suala la mashtaka dhidi ya Erick na hata kuonyesha Sympathy kwa msiba wa mama yake?
Nimewaza tu
huko baadae nadhani tutashtakiana sana